Irene Uwoya Abadili Dini Sasa kuitwa Sheila.

Irene Uwoya Abadili Dini Sasa kuitwa Sheila.

Huyo mwanaume ana sura mbaya kama hamorapa maana wewe dada yetu sheila huwa hupend wanaume wenye sura nzur

Ila tu isije kuwa unacheza move za ray na stev kanumba
hahahah mwenyew alishasemaga hapendi wenye sura nzuri anapenda mabandidu
 
181dda7e7415a92cd5c6067520bb691a.jpg
 
Anaenda kuzini tu huyo. Ndoa ya kanisani haivunjiki. No wonder kabadilisha dini sababu hamna kanisa litamfungisha ndoa wakati mume wa kwanza yu hai.
 
Msanii wa Bongo Movie Irene Uwoya Sasa rasmi amebadili Dini yake ya awali na kuwa Muislamu na kutumia Jina la Sheila. Msanii huyu amechukua uamuzi Huu baada ya kupata bwana Mwenye Imani ya Kiislam Ambao bado hajaweka wazi Kama ndoa tayari ishafungwa Ila Kuna sherehe ya ndoa yao itayofanyika Ijumaa Ya 27.10.



Ikumbukwe Irene ni mtalaka Wa mwanamichezo WA mpira wa miguu Ndikumana Kutoka nchini Rwanda na walibarikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume.



Hizi ni baadhi ya picha katika maandalizi ya ndoa Yake mpya
View attachment 616620 View attachment 616621

Hii ni kadi ya Mwaliko wa Reception aliyowapatia watu wake wa Karibu watakaojumuika naye Kwenye sherehe yake.
View attachment 616623 View attachment 616624
Piere Huyo siyo Mkongo Kweli
 
Mwanamke umeshasikia ameburuzwa na mtu fulani...fulani na fulani wameburuza halafu na wewe eti unaenda kabisa kutangaza ndoa,hii ndiyo inayotusababishia wanaume wa Dar tunadharauliwa.kwamba unaenda okota concord halafu unajiona kidume kumbe kwa wanaomjua wanajua hata wakim-text mkiwa honeymoon wakamwambia njoo hotel fulan room fulani nikugonge viwili nikupe 100,000/= anakuaga kwenda kununua vocha akifika anamanua mtu anamaliza anarudi kwako.vitu vingine mwanaume ufiche sio kila kitu cha kutangaza utadharaulika.
 
Back
Top Bottom