Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Status
Not open for further replies.
22802762_173157056598458_5195346892560531456_n.jpg
 
Mbona hadi caption za Intsa wanaiganaa..!??? Uwoyaa angekuwaa anaolewa na huyo jamaa asingekuwa na haja ya kufichaaa... hana lolotee dogo janja ndo anamlaaa
 
Mjini kuishi kwa dili hadi raha

Nasubiria wivu umpande bibi usipitwe ili ashushe maumbea ya ndoa ya uwoya naona saiv ka paste post ya zama na kupongeza kinafiki

Maana danube wamemlima barua hamisa aache kuchezea video zao
Si inabidi waseme hivyo kama walivyoambiwa na uwoya ila hii ndoa dogo janja atakua kapewa hela nyingi sana na salaah
 
Mkuu nani haogopi talaka kabla au usiku wa ndoa wee lazima awe mpole kwanza. Kucharuka baadae(picha atazisambaza mwenyewe kwa global maana hao ndo anawatumia sana kujipaisha)
Mbona hadi caption za Intsa wanaiganaa..!??? Uwoyaa angekuwaa anaolewa na huyo jamaa asingekuwa na haja ya kufichaaa... hana lolotee dogo janja ndo anamlaaa
 
Mjini kuishi kwa dili hadi raha

Nasubiria wivu umpande bibi usipitwe ili ashushe maumbea ya ndoa ya uwoya naona saiv ka paste post ya zama na kupongeza kinafiki

Maana danube wamemlima barua hamisa aache kuchezea video zao
Mange mpaka awe na uhakika na vitu ngoja tuone
 
Huyo si unajua na yule mbongo flavour walivyo maswahiba eenh tunaongea kwa code ujue ndio anamuweka mjini
Mmmmh ndio maana bi tukinao akapewa ubalozi ama,?halaf huyu kaka kuna kipindi alitoka na wema wakaenda hadi china ,wema ,wolper na dada yake huyu kaka yule sweet rola nadhan kama sijakosea
 
Mmmmh ndio maana bi tukinao akapewa ubalozi ama,?halaf huyu kaka kuna kipindi alitoka na wema wakaenda hadi china ,wema ,wolper na dada yake huyu kaka yule sweet rola nadhan kama sijakosea
Sio mbongo flavour wa bi tukinao ujue mbongo flavour yule mwenye vishimo ujue si wanasemaga ndio sponsor wake huyo wa kila kitu
 
Wait a minute; huyu si mke wa mchezaji wa Burundi sijui Rwanda [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mkuu nani haogopi talaka kabla au usiku wa ndoa wee lazima awe mpole kwanza. Kucharuka baadae(picha atazisambaza mwenyewe kwa global maana hao ndo anawatumia sana kujipaisha)
Sasa apewe talakaaa na nani..!?? Picha za irne na dogo janja au!!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom