Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Status
Not open for further replies.
Uongo mtupu hivi watu wanamwamini sana mange, irene anatoka na mkulu wa kenya ishu ipo wazi hivi wewe kwa akili zako waarabu wanaweza kumwaga pesa hivyo???!! Fatilia waarabu matajiri ndipo utoe yako, ungesema mzungu ndio anaweza kufanya hivyo, irene anatoka na mkulu kenya nakupa hilo
 
Eti kuna mwanaume na yy yupo serious analipia app ya Mange kimambi, Daaah
Mkuu Kama tunavaa mpaka hereni tunashindwaje kumfollow au kudownload hyo app ya mange?
Tena ukute wengi ni wanaume sijui tjnaenda wp
 
Mkuu Kama tunavaa mpaka hereni tunashindwaje kumfollow au kudownload hyo app ya mange?
Tena ukute wengi ni wanaume sijui tjnaenda wp
Inshort vijana wa kiume nowdays wamepungua sana na wanaelekea kuisha kabisa

Huku mtaani tunakoishi, Vijana Machoko wamekuwa wengi sana. I don't know why?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom