Mzee Mzima
Senior Member
- Mar 31, 2008
- 159
- 47
huyu binti kumba alikuwa na ndg yake padre? huyo padre alikuwa ana aibikaje afadhali ameenda kupumzika huko mbinguni ameachana na karaha za maskendo ya kabinti chake kafuska
huyu binti kumba alikuwa na ndg yake padre? huyo padre alikuwa ana aibikaje afadhali ameenda kupumzika huko mbinguni ameachana na karaha za maskendo ya kabinti chake kafuska
kati ya mapadre wa jimbo la moshi mweye heshima,upole,utashi ni fr uwoya
he was my teacher nikiwa O level katika seminary ndogo jimbo la moshi.
sina hakika kama kweli ni ndugu yake Irene Uwoya ila majina yanafanana
ametujenga wengi kimaadili na taaluma hasa hesabu na muziki.
hadi kifo chake alikuwa mkuu idara ya hesabu chuo kikuu Mwenge
kati ya mapadre wa jimbo la moshi mweye heshima,upole,utashi ni fr uwoya
he was my teacher nikiwa O level katika seminary ndogo jimbo la moshi.
sina hakika kama kweli ni ndugu yake Irene Uwoya ila majina yanafanana
ametujenga wengi kimaadili na taaluma hasa hesabu na muziki.
hadi kifo chake alikuwa mkuu idara ya hesabu chuo kikuu Mwenge
huyu binti kumba alikuwa na ndg yake padre? huyo padre alikuwa ana aibikaje afadhali ameenda kupumzika huko mbinguni ameachana na karaha za maskendo ya kabinti chake kafuska