Irene Uwoya azua timbwili kwa mume wa mtu

Irene Uwoya azua timbwili kwa mume wa mtu

Mmh uwoya naye kawa malaya siku izi, mara ababuu,mara mwami mara msami mmh, ghorofa lenyew la maana binamu ana haki ya kufanya timbwili, mwenyew kadanganywa wataishi wote watu wamejichukulia vitu vipya, anayetaka kuweka ndan malaya kama uwoya nani, bongo movie wote kinyaa tu

Yaan aoe presha ameona aoe mke mwema alie tuliaaa,uwoyaa sio wa kuoa ni wa mapumziko
 
Halafu huyo ababuu alikuwaga wa Wolper akatemwa akachukuliwa uwoya. Ndiyo hapo bifu likaanza uwoya na wolper huwa haziivi kisa Ababuu.
 
Yaan aoe presha ameona aoe mke mwema alie tuliaaa,uwoyaa sio wa kuoa ni wa mapumziko

Mi amenichekesha tu anavyolia eti ana mambo mengi, unafanya masihar na kuachwa nini, mwenyew kashajihesabia anahamia maghorofani awarushe roho akina wema na wolper naona mambo yamemgeukia watu wamechukua wanawake wenye hadhi ya kuitwa wake, kamuacha uwoya aendelee na ukahaba wake
 
nsalu kwani wolper na uwoya bado ni paka na panya? Mbona juzi nimeona wolper ka post picha za uwoya na mtoto wake kama mbili ivi au ndo alikuwa anajipendekeza
 
Last edited by a moderator:
Yaan aoe presha ameona aoe mke mwema alie tuliaaa,uwoyaa sio wa kuoa ni wa mapumziko

Mama shipping cost naona leo atalazwa kwa pressure, kwanza kala vichambo vya haja pili biashara yake imeharibiwa yani simpatii picha hiyo mi hasira yake na watu washajua janja yake
 
Mama shipping cost naona leo atalazwa kwa pressure, kwanza kala vichambo vya haja pili biashara yake imeharibiwa yani simpatii picha hiyo mi hasira yake na watu washajua janja yake

Leo mpaka atataja member wote wa jamii bila kuacha hata mmojaa
 
Leo mpaka atataja member wote wa jamii bila kuacha hata mmojaa

Mama shipping cost anakwambia mnigeria anatafuta kick kupitia mgongo wake, mmh ila binamu namuonea huruma kweli mama shipping cost yani leo blog ya mwafulani siipatii picha vichambo
 
Mama shipping cost anakwambia mnigeria anatafuta kick kupitia mgongo wake, mmh ila binamu namuonea huruma kweli mama shipping cost yani leo blog ya mwafulani siipatii picha vichambo

Wee yule mnigeria hamfikii tena mnigeria ndio kampaishaaa,maana kasema hamjuii na hakumjibu email teh. Tehhhhhhh
 
Wee yule mnigeria hamfikii tena mnigeria ndio kampaishaaa,maana kasema hamjuii na hakumjibu email teh. Tehhhhhhh

Mmh ila mange mtata nyie mh anavyochamba sasa dah halafu mkavu huyo hatar
 
Warumi labda wameshapatana ila waligombana sana kwa ajli ya huyo mpemba.
 
Nyumba anayodaiwa kufanya fujo


1.JPG
 
Me mwenyewe ningelia jamani, yani nimesimamia mjengo hadi umeisha, nshaanza kujipiga na selfie ndani ya mjengo afu leo anakuja kuletwa mtu mwingine jamani inaumaaaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wanawake wengi wa bongo muvi ni nipe kidogo nchamgamshe damu
wife material niwakumulika na tochi
 
Me mwenyewe ningelia jamani, yani nimesimamia mjengo hadi umeisha, nshaanza kujipiga na selfie ndani ya mjengo afu leo anakuja kuletwa mtu mwingine jamani inaumaaaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mmmh alikuwa na haki ya kupigana mwenzangu hata kuua mtu unaua mtu, maana mjengo si mchezo huo, uwoya mwenyew toka azaliwe hajawah kukaa maghorofani alitaka kuondoa gundu uzeeni sema ndo yamemkuta, dah kweli una haki ya kulia uwoya, mwanzo nilifikir umeugua ukichaa ila kwa yaliyokukuta hata presha ingeshuka dah
 
Mkavu kama mapank yaan mswahili ni mswahili tu hata akiishii US miaka miaa,yaan.mange mswahilii yulee

Mama shipping cost naoa hana habare toka saa kumi na mbili hasubuhi ana post mipicha tu ya biashara yake mmh mange kweli kiboko yule
 
Mama shipping cost naoa hana habare toka saa kumi na mbili hasubuhi ana post mipicha tu ya biashara yake mmh mange kweli kiboko yule

Binamu katuhamishie maubuyu huku kule kwa mange kaweka mapicha ya kufa mtuu anachamba yuleeee kama una moyo mdogo unaweza kufaa haki ya naniii
 
Binamu katuhamishie maubuyu huku kule kwa mange kaweka mapicha ya kufa mtuu anachamba yuleeee kama una moyo mdogo unaweza kufaa haki ya naniii

Wapi binamu? Leo nina hamu na league wanipe BAN niifunge hii account nifungue warumi, ebu nielekeze mitaa gani hiyo tukalianzishe
 
Back
Top Bottom