mkuu kama una litimu la Angola likubwa huyu atakufaa ila kama huna sizani kama atakufaa hawa wanpenda kupigwa pump kisawasawaAje kwangu apate pumziko..... hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kama una litimu la Angola likubwa huyu atakufaa ila kama huna sizani kama atakufaa hawa wanpenda kupigwa pump kisawasawaAje kwangu apate pumziko..... hahaha
Wapi binamu? Leo nina hamu na league wanipe BAN niifunge hii account nifungue warumi, ebu nielekeze mitaa gani hiyo tukalianzishe
Kaangalie uturn blog picha za chaga bebi ni balaaa kawekwa katii anachambwajeeee
Nasikia mange anachamba balaa watu wote kule insta wamemvulia kofia, mmh nyie mange yule atakuwa ana mapepo sio bure
Mange kabugi sababu chaggabarbie kila siku hizo picha anatupia mwenyewe.
Anamsema mwenzie ziwa kafanya surgery yeye je hajafanya surgery.
Nasikia mange anachamba balaa watu wote kule insta wamemvulia kofia, mmh nyie mange yule atakuwa ana mapepo sio bure
Pepo chambachamba
Mkuu siku hizi kuna some sort of improvement kwenye uandishi wako, hongera sana umejitahidi sana mkuu!! Ila nakuomba kitu kimoja tu ukifanyie kazi - kuweka space kati ya neno na neno (angalia baadhi ya hayo maneno yenye rangi nyekundu), vinginevyo umejitahidi hasa kwenye kuandika kiswahili. Zamani ulikuwa unaandika KiDRC kitupu mpaka tukafikia hatua ya kuomba operation kimbunga irudi upya!Src..mpekuzi.blogspot.com
Nasoma habari ya dadayetu Irene uwoya kumfanyia fujomumewamtu
Pengine hili likawa fundisho kwawale wanaume wasioweza kujizuia nakuangukia kaugonjwa cha michepuko
Irene najua unatamani ndoa nyingine nilishawahi kusema tena kuivunja ndoa ni rahisi sana kuliko kuitafuta ndoa nyingine
Nisomapo blog hii inaandika huyu Bwana alikuwa bfriend wake then akamhaidi kumuwowaaa
Lakini jamaa akaamua kuoa msichanamwingine mrembo baadyakutonywa hapo unataka kubebeshwa mimba ya mtu
Jibaba likala Kona...cha ajabu anaenda kumfanyia fujo nyumbanikwake tena akiwa na mkewee Loh
Aiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hata Hivyo ireneuwoya mama we farasi amekiri kufanyafujo ila src si kuolewa mwingine Bali kuna kitu alifanyiwa na huyo mwanaume sio cha kiungwana kipi
Siriyake
USHAURI TU
Hata kama alikuwa xbfriend
Akishakuwa nanmke huyo ni mume wa mtu Pengine huyo mke alikuwa mstaarabuzaidilakini utokee ulikuwa na pdidy ukaja kufanyafujo walahi m sikugusi kichapo cha madidy kingebaki historia kwako
Sty tuned
Mkuu siku hizi kuna some sort of improvement kwenye uandishi wako, hongera sana umejitahidi sana mkuu!! Ila nakuomba kitu kimoja tu ukifanyie kazi - kuweka space kati ya neno na neno (angalia baadhi ya hayo maneno yenye rangi nyekundu), vinginevyo umejitahidi hasa kwenye kuandika kiswahili. Zamani ulikuwa unaandika KiDRC kitupu mpaka tukafikia hatua ya kuomba operation kimbunga irudi upya!
Mwanaume kakosa, nyumba kakosa, kubabeki ndo maana siku izi kakonda halaf kachoka kishenzi