Irene Uwoya azua timbwili kwa mume wa mtu

Irene Uwoya azua timbwili kwa mume wa mtu

Wapi binamu? Leo nina hamu na league wanipe BAN niifunge hii account nifungue warumi, ebu nielekeze mitaa gani hiyo tukalianzishe

Kaangalie uturn blog picha za chaga bebi ni balaaa kawekwa katii anachambwajeeee
 
Kaangalie uturn blog picha za chaga bebi ni balaaa kawekwa katii anachambwajeeee

Mange kabugi sababu chaggabarbie kila siku hizo picha anatupia mwenyewe.
Anamsema mwenzie ziwa kafanya surgery yeye je hajafanya surgery.
 
Kaangalie uturn blog picha za chaga bebi ni balaaa kawekwa katii anachambwajeeee

Nasikia mange anachamba balaa watu wote kule insta wamemvulia kofia, mmh nyie mange yule atakuwa ana mapepo sio bure
 
Mange kabugi sababu chaggabarbie kila siku hizo picha anatupia mwenyewe.
Anamsema mwenzie ziwa kafanya surgery yeye je hajafanya surgery.

Nashangaa hivi nae alifanya surgery ya ninii halaf huyo chaga anafanya kazi ganii majuu
 
Nasikia mange anachamba balaa watu wote kule insta wamemvulia kofia, mmh nyie mange yule atakuwa ana mapepo sio bure

Na akiandika anaandika gazeti kama la mwana---halisi------ii we acha tu
 
Src..mpekuzi.blogspot.com


Nasoma habari ya dadayetu Irene uwoya kumfanyia fujomumewamtu

Pengine hili likawa fundisho kwawale wanaume wasioweza kujizuia nakuangukia kaugonjwa cha michepuko

Irene najua unatamani ndoa nyingine nilishawahi kusema tena kuivunja ndoa ni rahisi sana kuliko kuitafuta ndoa nyingine


Nisomapo blog hii inaandika huyu Bwana alikuwa bfriend wake then akamhaidi kumuwowaaa

Lakini jamaa akaamua kuoa msichanamwingine mrembo baadyakutonywa hapo unataka kubebeshwa mimba ya mtu

Jibaba likala Kona...cha ajabu anaenda kumfanyia fujo nyumbanikwake tena akiwa na mkewee Loh

Aiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Hata Hivyo ireneuwoya mama we farasi amekiri kufanyafujo ila src si kuolewa mwingine Bali kuna kitu alifanyiwa na huyo mwanaume sio cha kiungwana kipi

Siriyake

USHAURI TU
Hata kama alikuwa xbfriend
Akishakuwa nanmke huyo ni mume wa mtu Pengine huyo mke alikuwa mstaarabuzaidi lakini utokee ulikuwa na pdidy ukaja kufanyafujo walahi m sikugusi kichapo cha madidy kingebaki historia kwako

Sty tuned
 
Manina, papuchi mpaka itaota makunyanzi!!!
 
Src..mpekuzi.blogspot.com


Nasoma habari ya dadayetu Irene uwoya kumfanyia fujomumewamtu

Pengine hili likawa fundisho kwawale wanaume wasioweza kujizuia nakuangukia kaugonjwa cha michepuko

Irene najua unatamani ndoa nyingine nilishawahi kusema tena kuivunja ndoa ni rahisi sana kuliko kuitafuta ndoa nyingine


Nisomapo blog hii inaandika huyu Bwana alikuwa bfriend wake then akamhaidi kumuwowaaa

Lakini jamaa akaamua kuoa msichanamwingine mrembo baadyakutonywa hapo unataka kubebeshwa mimba ya mtu

Jibaba likala Kona...cha ajabu anaenda kumfanyia fujo nyumbanikwake tena akiwa na mkewee Loh

Aiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Hata Hivyo ireneuwoya mama we farasi amekiri kufanyafujo ila src si kuolewa mwingine Bali kuna kitu alifanyiwa na huyo mwanaume sio cha kiungwana kipi

Siriyake

USHAURI TU
Hata kama alikuwa xbfriend
Akishakuwa nanmke huyo ni mume wa mtu Pengine huyo mke alikuwa mstaarabuzaidilakini utokee ulikuwa na pdidy ukaja kufanyafujo walahi m sikugusi kichapo cha madidy kingebaki historia kwako

Sty tuned
Mkuu siku hizi kuna some sort of improvement kwenye uandishi wako, hongera sana umejitahidi sana mkuu!! Ila nakuomba kitu kimoja tu ukifanyie kazi - kuweka space kati ya neno na neno (angalia baadhi ya hayo maneno yenye rangi nyekundu), vinginevyo umejitahidi hasa kwenye kuandika kiswahili. Zamani ulikuwa unaandika KiDRC kitupu mpaka tukafikia hatua ya kuomba operation kimbunga irudi upya!
 
Mkuu siku hizi kuna some sort of improvement kwenye uandishi wako, hongera sana umejitahidi sana mkuu!! Ila nakuomba kitu kimoja tu ukifanyie kazi - kuweka space kati ya neno na neno (angalia baadhi ya hayo maneno yenye rangi nyekundu), vinginevyo umejitahidi hasa kwenye kuandika kiswahili. Zamani ulikuwa unaandika KiDRC kitupu mpaka tukafikia hatua ya kuomba operation kimbunga irudi upya!

Well noted for action

Cc:*MatolA
Cc.Hoe
 
Mxiiiu hivi hawa wasanii wa kike akili zao ziko wapi yaan.wanakua hawajielewiiii wanaona waume.za watu dili sku hizi watapazwa
 
Mxiiiu hivi hawa wasanii wa kike akili zao ziko wapi yaan.wanakua hawajielewiiii wanaona waume.za watu dili sku hizi watapazwa

Mwanaume kakosa, nyumba kakosa, kubabeki ndo maana siku izi kakonda halaf kachoka kishenzi
 
Back
Top Bottom