warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Staa classic wa bongo movie irene pancras uwoya, ameandika kwenye mtandao wa instagram kuwa msanii anayefanya vizuri bongo fleva,nassib abdul au diamond ndiye msanii atakayemrithi mkali wa pop duniani michael jackson,kauli iliyozua utata kwa baadhi ya mashabiki ambao wali comment kuwa diamond hawezi fikia level za michael hata afanyaje...
SOURCE:instagram
SOURCE:instagram