Atupe kwanza majibu ya afya yake halafu ndio tuendelee na mjadala, usiwe kama zuzu kuunga mkono kila kauli ya kahaba.
Imekuchomaa eheee!! nyambafu kabisa, mwambieni alete majibu ya afya yake kwanza.Hii imekaa kama "chuki binafsi" vile??
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Imekuchomaa eheee!! nyambafu kabisa, mwambieni alete majibu ya afya yake kwanza.
Ndio amewahi kuniuzia, je unataka kujuwa na bei?Narudia tena.. Hii imekaa kama chuki binafsi. Unamwita kahaba je alishawahi kukuuzia? Kweli banza stone alisema " Elimu ya mjinga ni majungu"
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Ndio amewahi kuniuzia, je unataka kujuwa na bei?
Ndio amewahi kuniuzia, je unataka kujuwa na bei?
Atupe kwanza majibu ya afya yake halafu ndio tuendelee na mjadala, usiwe kama zuzu kuunga mkono kila kauli ya kahaba.
Atupe kwanza majibu ya afya yake halafu ndio tuendelee na mjadala, usiwe kama zuzu kuunga mkono kila kauli ya kahaba.
Atupe kwanza majibu ya afya yake halafu ndio tuendelee na mjadala, usiwe kama zuzu kuunga mkono kila kauli ya kahaba.
Atupe kwanza majibu ya afya yake halafu ndio tuendelee na mjadala, usiwe kama zuzu kuunga mkono kila kauli ya kahaba.
''wote''(sijui na nani sasa!?)mnataka kuigiza nae!???.........kasema 'kila atakaegiza nae apime'..sasa majibu ya afya yake akupe wewe unataka kuigiza nae?halafu anakuwaje kahaba mkuu,waweza thibitisha?...au ''alikunyima'' so roho inauma kwamba anampa kila mtu lakini wewe umekosa!?hebu heshimuni utu na heshima za wenzenu bana,sio mradi tu umesikia stori yake kwenye magazeti ya shigongo basi kawa kahaba wakati huna undani wa mtu husika.........hatui great thinkers kwa kupinga ila kitu na kutukana kila mtu ilimradi wengi wanamtukana!