Irene Uwoya na Tessy chocolate wana msongo wa mawazo wanahitaji msaada

Wanawake wanasemaga wanapenda mwanamme mwenye hofu ya Mungu ukweli wengi wanapenda wanaume wauni ambao hawajatulia
Pesa na umaarufu tu hakuna cha hofu ya mungu wala nn amini nikwambiacho usipoamini leo utaamini cku demu wko akitongozwa na mwenye hela ama staa ntakukuta unalia ndg yng!
 
asikudanganye mtu " sehemu kubwa ya wanawake huvutiwa na wanaume wa aina 2 tu ....mwenye pesa na maarufu "... pigana uwe na uchumi wa kati " wanawake utakuwa unawakimbia wewe mwenyewe
Uchumi wa kati na kibamia je?
 
alafu wewe jamaa mbona muongo muongo wewe 😂😂😂😂

hivi demu kama irene anapatia wapi stress mjini hapa stress tutazipata sisi tunaomuona insta

she is just a go getter..money talks and daddy pay..

sasa stress zitoke wapi daddy's girl huyo mzee pancras humwambii kitu hapo
 
Hayo manyonyo yamezira hayataki tena kusimama..!
 
Mi namkubali sana Beckham na uhandsome wote ule yupo tuli na kadem kake Victoria mwingine ni Will smith hawa wanawake sijui wamewapa nini kuwatuliza hawa jamaa


Hao watu wanateseka sana lakini hawataki kusema tu. Yaani mademu waliojaa kwenye Dunia hii, Beckham na pesa zote zile lakini yupo na kile kimifupa na ngozi! Mateso bila chuki.
 
Hao watu wanateseka sana lakini hawataki kusema tu. Yaani mademu waliojaa kwenye Dunia hii, Beckham na pesa zote zile lakini yupo na kile kimifupa na ngozi! Mateso bila chuki.
Amna wenzetu hawawazi sana chini moyo ukishapenda tu wanaridhika
 
Wa kishua Irene!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…