AmorePowers
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 700
- 1,142
hapo tu ndio napokupendea..hukubali kupitwa wewBeckham ashawahi chiti sema Vick mzungu wa roho!!
Pesa na umaarufu tu hakuna cha hofu ya mungu wala nn amini nikwambiacho usipoamini leo utaamini cku demu wko akitongozwa na mwenye hela ama staa ntakukuta unalia ndg yng!Wanawake wanasemaga wanapenda mwanamme mwenye hofu ya Mungu ukweli wengi wanapenda wanaume wauni ambao hawajatulia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani wewe!si unajua tena!hapo tu ndio napokupendea..hukubali kupitwa wew
Vitu adimu gani hivyo vilivyowatuliza, alaf videm vyenyewe basi vyembambaaa....angalau basi wangekuwa na mfanano wa kama Kim KadashianV2 adim
Uchumi wa kati na kibamia je?asikudanganye mtu " sehemu kubwa ya wanawake huvutiwa na wanaume wa aina 2 tu ....mwenye pesa na maarufu "... pigana uwe na uchumi wa kati " wanawake utakuwa unawakimbia wewe mwenyewe
Tatizo moyo...!!!Vitu adimu gani hivyo vilivyowatuliza, alaf videm vyenyewe basi vyembambaaa....angalau basi wangekuwa na mfanano wa kama Kim Kadashian
Hayo manyonyo yamezira hayataki tena kusimama..!Baada ya mabinti hawa kupoteza wenza wao mmoja akimpoteza mmewe wa kwanza baada ya kufariki na mwingine ambaye ni trace chocolate kuachika kutoka kwa mpenzi wake msanii Aslay
View attachment 859831
Hivi sasa hawa mabinti ukiwaangalia hawapo sawa kama walivyokuwa mwanzo, wanahitaji ushauri maana wanaonekana wana stress, na wanalazimisha tu kuonekana wapo ok, Irene na trace wanatumia nguvu kubwa sasa kuonekana ni warembo na wana chura, wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuachia picha za ajabu ajabu insta yote ni kujaribu kuonyesha kuwa bado wapo vizuri
View attachment 859832
Lakini ukweli halisi ni kuwa wanafosi furraha lakini haipo moyoni mwao, irene nae baada ya kuona uzee unakuja anatumia nguvu kubwa kujifanya binti wa miaka 18, hadi akafikia kuitwa na basata kwa kupost picha zisizo na maadili hii yote kuonyesha watu kuwa bado kigoli lakini lumbe kashazeeka, tuwashauri hawa watu
View attachment 859833
Mi namkubali sana Beckham na uhandsome wote ule yupo tuli na kadem kake Victoria mwingine ni Will smith hawa wanawake sijui wamewapa nini kuwatuliza hawa jamaa
Licha ya uzuri wake,pia anafaa kwa matumizi asee..! Hatari hii.Sema irene uwoya mzuri tuache utani
Amna wenzetu hawawazi sana chini moyo ukishapenda tu wanaridhikaHao watu wanateseka sana lakini hawataki kusema tu. Yaani mademu waliojaa kwenye Dunia hii, Beckham na pesa zote zile lakini yupo na kile kimifupa na ngozi! Mateso bila chuki.
Amna wenzetu hawawazi sana chini moyo ukishapenda tu wanaridhika
Kweli ndio maana uislaam unaruhusu hivyoHakuna hiyo kitu, sisi wanaume wote in nature we're the poligamies. Sema society ndio imetuchagulia tuishi hivyo.
Kwa uzuri mzuri kweli!!!Sema irene uwoya mzuri tuache utani
Wa kishua Irene!!!alafu wewe jamaa mbona muongo muongo wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hivi demu kama irene anapatia wapi stress mjini hapa stress tutazipata sisi tunaomuona insta
she is just a go getter..money talks and daddy pay..
sasa stress zitoke wapi daddy's girl huyo mzee pancras humwambii kitu hapo
yap toto la kishua lile.... mama ake na baba wote vigogo ila mzee wake nahisi atakuwa ameshastep down maana alikuwa anafanya kazi na mzee na mzee alishastep down na walikuwa rika mojaWa kishua Irene!!!