Irene Uwoya na Tessy chocolate wana msongo wa mawazo wanahitaji msaada

Irene Uwoya na Tessy chocolate wana msongo wa mawazo wanahitaji msaada

Well said mkuu si unakumbuka bifu ya T.I.D na Hashim thabit pale bill's. Maana ishu ilikua ni demu wa tid kumshobokea hashim ile kinomanoma afu tid akaleta umwamba akala kichapo akatolewa club na kupigwa suspension, na aliporudi alienda na mzazi na elf 19 ya dawati alilovunja.
Haaaaaahaaaaa hakuna ktu inakera km kujua ama kuona demu wko anamshobokea jamaa flan yaani wazi wazi!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukutaka tuu!humuoni dogo janja anajilia utamu!!!
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli 😂
 
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli [emoji23]
Sasa je?uoga wako ndo umaskini wakoo[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]!!!ungeenda front mbona angekupaa
 
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli [emoji23]
Una pesa? km huna poa umaarufu je? km vyote hvyo huna plz bro njoo utulie na mm hp kwenye tairi tuangalie wapita njia!
 
Baada ya mabinti hawa kupoteza wenza wao mmoja akimpoteza mmewe wa kwanza baada ya kufariki na mwingine ambaye ni trace chocolate kuachika kutoka kwa mpenzi wake msanii Aslay
Huyu naye ni binti 😱
ireneuwoya8-20180907-0002.jpg
 
AIBUUU wanawake sisi ni vichwa vya kuku,unaona kabisaa huyu sio wa kutulia na wewe unajipeleka hapo...ooh well I hope ulitumia kondom..irene si una ndoa wewe?mbona unamkosea aliyekusitiri?
 
Well said mkuu si unakumbuka bifu ya T.I.D na Hashim thabit pale bill's. Maana ishu ilikua ni demu wa tid kumshobokea hashim ile kinomanoma afu tid akaleta umwamba akala kichapo akatolewa club na kupigwa suspension, na aliporudi alienda na mzazi na elf 19 ya dawati alilovunja.
😀😀😀
Alikuwa mshamba tu T.I.D angemtema tu demu, maana moyo ushaenda kwa mwingine.
 
Japokuwa mileage ina digits 7 ila dogo Janja inabidi apewe tuzo ya Yesbel kwa kusebenza hilo zigo UKWELI NA USEMWE mnyonge mnyongeni
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
AIBUUU wanawake sisi ni vichwa vya kuku,unaona kabisaa huyu sio wa kutulia na wewe unajipeleka hapo...ooh well I hope ulitumia kondom..irene si una ndoa wewe?mbona unamkosea aliyekusitiri?
Mpk sasa siamini ndoa yake na dogo janja!
 
Japokuwa mileage ina digits 7 ila dogo Janja inabidi apewe tuzo ya Yesbel kwa kusebenza hilo zigo UKWELI NA USEMWE mnyonge mnyongeni
Na vyuo vikuu havijui tu,huyu dogo ndo wa kutunukiwa shahada ya uzamifu ya heshima kwa mchango wake kwa vijana ya kuondo fikra potofu juu ya kumiliki makarandinga,Nobel nao wampe hata tuzo ya heshima
 
Irine Uwoya!!!? Huyu kila nikiona picha yake lazima dushe litikisike, cjui kwanini!!
 
Uwoya aliumia sana alipoona kibanda cha shilole,mpaka akaenda kununua ubwabwa ili apate kumuuliza kafikaje
Kwa usongo kapaa Dubai,subiri muone alizopata huko matunda yake
 
Kwani mkuu embu thibitisha kauli yako kuwa Uwoya aliitwa Basata kwa picha zisizo na maadili. Ebu ziweke hapa hizo picha maana nasikia hii ishu anasingiziwa.
 
Back
Top Bottom