Irene Uwoya na Tessy chocolate wana msongo wa mawazo wanahitaji msaada

Haaaaaahaaaaa hakuna ktu inakera km kujua ama kuona demu wko anamshobokea jamaa flan yaani wazi wazi!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukutaka tuu!humuoni dogo janja anajilia utamu!!!
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli πŸ˜‚
 
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli [emoji23]
Sasa je?uoga wako ndo umaskini wakoo[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]!!!ungeenda front mbona angekupaa
 
alafu kweli na dogo janja kwangu ni dogo sana tu.... sema angezingua sialikuwa anaona heshima nnayompa sis so angenichukulia kama mdogo ake..

ila ukute uoga wangu ndio ulionikosesha utamu kweli [emoji23]
Una pesa? km huna poa umaarufu je? km vyote hvyo huna plz bro njoo utulie na mm hp kwenye tairi tuangalie wapita njia!
 
AIBUUU wanawake sisi ni vichwa vya kuku,unaona kabisaa huyu sio wa kutulia na wewe unajipeleka hapo...ooh well I hope ulitumia kondom..irene si una ndoa wewe?mbona unamkosea aliyekusitiri?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Alikuwa mshamba tu T.I.D angemtema tu demu, maana moyo ushaenda kwa mwingine.
 
Japokuwa mileage ina digits 7 ila dogo Janja inabidi apewe tuzo ya Yesbel kwa kusebenza hilo zigo UKWELI NA USEMWE mnyonge mnyongeni
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
AIBUUU wanawake sisi ni vichwa vya kuku,unaona kabisaa huyu sio wa kutulia na wewe unajipeleka hapo...ooh well I hope ulitumia kondom..irene si una ndoa wewe?mbona unamkosea aliyekusitiri?
Mpk sasa siamini ndoa yake na dogo janja!
 
Japokuwa mileage ina digits 7 ila dogo Janja inabidi apewe tuzo ya Yesbel kwa kusebenza hilo zigo UKWELI NA USEMWE mnyonge mnyongeni
Na vyuo vikuu havijui tu,huyu dogo ndo wa kutunukiwa shahada ya uzamifu ya heshima kwa mchango wake kwa vijana ya kuondo fikra potofu juu ya kumiliki makarandinga,Nobel nao wampe hata tuzo ya heshima
 
Irine Uwoya!!!? Huyu kila nikiona picha yake lazima dushe litikisike, cjui kwanini!!
 
Uwoya aliumia sana alipoona kibanda cha shilole,mpaka akaenda kununua ubwabwa ili apate kumuuliza kafikaje
Kwa usongo kapaa Dubai,subiri muone alizopata huko matunda yake
 
Kwani mkuu embu thibitisha kauli yako kuwa Uwoya aliitwa Basata kwa picha zisizo na maadili. Ebu ziweke hapa hizo picha maana nasikia hii ishu anasingiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…