🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
Wewe unapenda wanaume wa aina gani?Wanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
Mnapenda wanaume wenye sura ngumu na pasonooo..Pigeni yope....
Baba akiwa mweusi inanoga.... mweupe ni pisi kama pisi zingineMnapenda wanaume wenye sura ngumu na pasonooo..
Ila wakati mnataka kutotoa mnapenda mpate vitoto vi-cuteee.. Vyeupeee.. Ila baba mnapenda mweusi.
Dah.. Hatari sana wallah..
Baba akiwa mweusi na mama unataka watoto weupe si ndio kuchanganyiana betri huko...Baba akiwa mweusi inanoga.... mweupe ni pisi kama pisi zingine
Nimeitikia kwa niaba...Ugumu udumishweeWanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
Kwani nyani hawaoni au ni vunga tu? Unaweka masharti kama nani na una nini wakati umeri umekwenda binti yangu? Mnalewa usupa staa msijue maisha siyo huo usupa staa wenu uchwara.Sijui kama ni tabia ya wanawake wote ama ni hawa mastaa wa hapa kwetu kutamka vitu ambavyo hata wao hawaviamini, au kutoa kauli zenye kuleta maswali.
Huyu dada aliwahi katika moja ya mahojiano yake kusema hapendi kabisa mwanaume mwenye sura nzuri. Sijui walimkera nini wanaume hao.
Leo napenda kujua je aliweza kuisimamia kauli yake?
Bottom lineAnajua kabisa asilimia kubwa ya wenye sura nzuri hawana pesa
[emoji12]Wanaume wenye sura ngumu nawasalimu.
Mnapenda wanaume wenye sura ngumu na pasonooo..
Ila wakati mnataka kutotoa mnapenda mpate vitoto vi-cuteee.. Vyeupeee.. Ila baba mnapenda mweusi.
Dah.. Hatari sana wallah..
Wanawake ni viumbe wasioeleweka , we akikupa mbunye mgonge tu Ila usiamini kwamba anakupenda.hawa viumbe ni hatari sana, wanapenda kugongwa na wanaume wenye sura ngumu ila wanataka kuzaa na mwanamme mwenye sura nzuri.
Mario ana sura nzuri?Wanaume wenye sura ngumu Wana mkuyenge mzito na wanajua kuwakunja hawa maslay qeen mpaka wanaongea kimbombo huko sita kwa sita .........
Tofauti na hawa chips mayai kina Mario .....