Irene Uwoya: Sipendi wanaume wanene na wenye vitambi

Irene Uwoya: Sipendi wanaume wanene na wenye vitambi

Ha hahah RC KLMNJR na last week mkulu alienda muona ha ha minjinguuuu

Chezea minjingu unaambiwa alikua anatoka jasho macho yamelegea rc w chuga n rpc roho juu cz akifa ingekua kashfa balaa.kumtoa ingebidi watumie forklift au crane
 
Chezea mbolea nini unaambiwa ilikua patashika hotelini rc wa chuga n rpc walikua roho juu mana angekufa bonge l kashfa kumtoa rum ingebidi waje na forklift au crane

Hahaaaa...una maneno wewe...
 
Khaaa...nimeona picha zake, kwa limwili lile mbolea lazima...

Ilikua noma unaambiwa rc w chuga n rpc walipanic kwa hali waliyomkuta nayo,wakaita ambulance n madokta ndio kuambiwa n dokta sema ukweli nikusaidie muzee akasema kala mbolea.ndio dk kumchoma masindano gani afta 6yrz hali ikapungua.
Akapewa n dawa z usingizi kesho yke akarudi ms si ndio gari ikaanza mis mara rejeta inapandisha temperature mara plug zinaleta mis ikabidi apelekwe muhi2.

Ila siri imefichwa sana ila ndio hivyo mwili mkubwa bila mbolea no mechi wanaume tu tabu ebu chukulia lile zigo lingefia chumbani kulitoa mpka wavunje mlango au dirisha
 
Ilikua noma unaambiwa rc w chuga n rpc walipanic kwa hali waliyomkuta nayo,wakaita ambulance n madokta ndio kuambiwa n dokta sema ukweli nikusaidie muzee akasema kala mbolea.ndio dk kumchoma masindano gani afta 6yrz hali ikapungua.
Akapewa n dawa z usingizi kesho yke akarudi ms si ndio gari ikaanza mis mara rejeta inapandisha temperature mara plug zinaleta mis ikabidi apelekwe muhi2.

Ila siri imefichwa sana ila ndio hivyo mwili mkubwa bila mbolea no mechi wanaume tu tabu ebu chukulia lile zigo lingefia chumbani kulitoa mpka wavunje mlango au dirisha

Hahahaa eti wangevunja dirisha...Mola amuafu apone....ila afanye mazoezi, ule mwili sio kabisaa...
 
Shosti Komba , Le mutuz , JB , Bigi wale ni Wagonjwa sio wanene , Diamond & Ali ndio hao siksi paki , No me Nehine

Ahahhah diamond ana miguu kama fito au fimbo.. Mwili wote kaupandisha majuu.. Ipo siku atajuta

mwili lazima uwe na balance.. Sasa mwili wa diamond kivyovyote nguvu zipo juu... Miguu haina nguvu
 
Chezea minjingu unaambiwa alikua anatoka jasho macho yamelegea rc w chuga n rpc roho juu cz akifa ingekua kashfa balaa.kumtoa ingebidi watumie forklift au crane

hahaaaaa
afu si mapacha wale mmoja sijui kafa sijui yuko yuko wapi
wote wana na ukoo G
 
hahaaaaa
afu si mapacha wale mmoja sijui kafa sijui yuko yuko wapi
wote wana na ukoo G

Huyohuyo chezea mbolea nini alikua n kabinti kadogo kanasoma muccobs,mara gari ikaanza kupandisha temperature mara engine inakua weak cjui hiyo aibu ccm wangejificha wapi uke mwili lazma crane ibebe au wavunje dirisha cz ilikua ghorofani
 
Ila ndomo ukimuona kwenye picha nyingi anaonekana bonge la mtu halafu kajazia hatar, ukumuona live kama nguchiro ana mwil mdogo, sijui ndo application maana na wao mhh
Juzi alivaa pensi bwana,gazeti fulan la udaku wakamfotoa!yani utadhan kasimamia mikono!hawachekani na wa huku mtaani...anyanyue na chuma cha ugoko
 
Ilikua noma unaambiwa rc w chuga n rpc walipanic kwa hali waliyomkuta nayo,wakaita ambulance n madokta ndio kuambiwa n dokta sema ukweli nikusaidie muzee akasema kala mbolea.ndio dk kumchoma masindano gani afta 6yrz hali ikapungua.
Akapewa n dawa z usingizi kesho yke akarudi ms si ndio gari ikaanza mis mara rejeta inapandisha temperature mara plug zinaleta mis ikabidi apelekwe muhi2.

Ila siri imefichwa sana ila ndio hivyo mwili mkubwa bila mbolea no mechi wanaume tu tabu ebu chukulia lile zigo lingefia chumbani kulitoa mpka wavunje mlango au dirisha
Kumbe unene ni janga kwa afya ya kuijaza dunia..pole yake
 
Juzi alivaa pensi bwana,gazeti fulan la udaku wakamfotoa!yani utadhan kasimamia mikono!hawachekani na wa huku mtaani...anyanyue na chuma cha ugoko
hahahaaaaaaaa ooop hahahaaaaaaaaaaa mbavu zangu mie
 
Huyohuyo chezea mbolea nini alikua n kabinti kadogo kanasoma muccobs,mara gari ikaanza kupandisha temperature mara engine inakua weak cjui hiyo aibu ccm wangejificha wapi uke mwili lazma crane ibebe au wavunje dirisha cz ilikua ghorofani

Mh,jamani umalaya huu ni hatari sana...sijui huyo binti angeli handle vipi hilo jizee jamani!!!
 
Mh,jamani umalaya huu ni hatari sana...sijui huyo binti angeli handle vipi hilo jizee jamani!!!

C mnasema vijana hatutoi hela mnataka wazee wakti wanatumia mbolea kwa hisani y wa2 w marekani,shauri yenu mtafungwa kwa kuua wazee w mbolea
 
C mnasema vijana hatutoi hela mnataka wazee wakti wanatumia mbolea kwa hisani y wa2 w marekani,shauri yenu mtafungwa kwa kuua wazee w mbolea

Ndio hivyoo kazi ndogo,matumiz makubwa heheee
 
Back
Top Bottom