Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ufala wwkwa nini matukio mengi lazima mchaggga hayusike kwa aina moja au nyingine ?
Leo wamebaka mtu aliyepooza mwili Wana Lana hao, huko maraIringa tena
Mohamed Mwanjali mkazi wa Mtaa wa Kitanzini kwa tuhuma za kumbaka Mama mjamzito na kumsababishia umauti.Jeshi la Polisi Mkoani Iringa linamshikilia Mohamed Mwanjali mkazi wa Mtaa wa Kitanzini kwa tuhuma za kumbaka Mama mjamzito na kumsababishia umauti.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Maweni Kata ya Kitanzini Yassin Kisogole amesema Mwanamke huyo alitendewa ukatili huo usiku wa kuamkia September 25,2022 wakati Mumewe akiwa Mtaa wa jirani alipokwenda kushuhudia pambano la ndondi la Mandonga vs Abeid kisha la Twaha Kiduku vs Abdo kupitia TV.
Shemeji wa Marehemu aitwaye Prosper Kileo amesema Mume huyo aliporudi nyumbani baada kuangalia pambano la ngumi alipofika mlangoni alikuta mlango upo wazi wakati akiingia ndani alimuona Mtuhumiwa akitoka katika moja ya chumba na kukimbia ndipo alipojaribu kumkimbiza bila mafanikio.
Alipoingia ndani alimkuta Mtoto wa Marehemu mwenye umri wa miaka mitano ambaye alimmsimulia kwa kumwambia "Baba alikuja Mtu hapa akamziba Mama mdomo akamuangusha chini"
Baada ya taarifa hizo Mume huyo wa Marehemu alienda kutoa taarifa Polisi, taarifa za awali zinadai Mtuhumiwa alikuwa na ugomvi na Marehemu kutokana na kumripoti katika mamlaka za usalama kwa tabia za wizi, Mtuhumiwa amekamatwa na Polisi nyumbani kwake ambako amekutwa na baadhi ya vitu vya Marehemu ikiwamo simu ya mkononi na nguo (suti) ambazo alizichukua mara baada ya kutekeleza tukio hilo.
Source: Millard Ayo
Well explainedAlieua ni huyo hapo hapa iringa wanamwita muddy MT kiufup huyu dogo ni jambazi na kibaya zaid askar wanamjua kuwa ni mwizi lakn akikamatwa anatoka,huyu dogo yuko vizur kimazoez weng waliobiwa na huyu dogo haswa wanafunz wa vyuo wanaoenda club wanameng yakusimulia ana ngumi jiwe na anaruka vichwa kama mshale,huyu alikua akimlawiti dogo mmoja wa kitanzin ikatokea huyo dogo mama ake anatembea na askar mama mtu kujua mwanae analawitiwa akaenda kushtaki dogo akawekwa ndani mwez haujaisha akarud mtaa,aliwah kumbaka mdada wa guest dada alipoanza kupiga kelele akamkaba dada akamminya makende jamaa akamwachia dada akakimbia jamaa akamkatia denge uzur dada aliwah kufika geti la guest anayofanyia ile anaingia tu akala tofali la kichwa akazimia jamaa akasepa,kiufupi dogo alishindikana na eneo analotokea(kitanzini) ni eneo korofi kihistoria mana majambazi,wehu,mabondia wanapatkana huko,bangi,unga,mirungi...serikal ya mtaa inamjua kama ni mwizi,polis wanamjua pia lakn alikua hakai ndani muda anatoka licha ya uhalifu aliokua anaufanya lilikua ni suala la muda tu
Hii adhabu komesha!Hapana kumuua ni kumpunguzia adhabu, achomekwe vyuma vyuma kila kwenye mfupa...usiku asipewe blanketi, vyuma vikipata baridi atakuwa analia kila usiku mpaka uzee wake
Polisi wa huko waige ule utaratibu wa huku Dar, piga shaba tu mbwa haoAlieua ni huyo hapo hapa iringa wanamwita muddy MT kiufup huyu dogo ni jambazi na kibaya zaid askar wanamjua kuwa ni mwizi lakn akikamatwa anatoka,huyu dogo yuko vizur kimazoez weng waliobiwa na huyu dogo haswa wanafunz wa vyuo wanaoenda club wanameng yakusimulia ana ngumi jiwe na anaruka vichwa kama mshale,huyu alikua akimlawiti dogo mmoja wa kitanzin ikatokea huyo dogo mama ake anatembea na askar mama mtu kujua mwanae analawitiwa akaenda kushtaki dogo akawekwa ndani mwez haujaisha akarud mtaa,aliwah kumbaka mdada wa guest dada alipoanza kupiga kelele akamkaba dada akamminya makende jamaa akamwachia dada akakimbia jamaa akamkatia denge uzur dada aliwah kufika geti la guest anayofanyia ile anaingia tu akala tofali la kichwa akazimia jamaa akasepa,kiufupi dogo alishindikana na eneo analotokea(kitanzini) ni eneo korofi kihistoria mana majambazi,wehu,mabondia wanapatkana huko,bangi,unga,mirungi...serikal ya mtaa inamjua kama ni mwizi,polis wanamjua pia lakn alikua hakai ndani muda anatoka licha ya uhalifu aliokua anaufanya lilikua ni suala la muda tu
Watani zangu wahehe mmekutwa na nini?Alieua ni huyo hapo hapa iringa wanamwita muddy MT kiufup huyu dogo ni jambazi na kibaya zaid askar wanamjua kuwa ni mwizi lakn akikamatwa anatoka,huyu dogo yuko vizur kimazoez weng waliobiwa na huyu dogo haswa wanafunz wa vyuo wanaoenda club wanameng yakusimulia ana ngumi jiwe na anaruka vichwa kama mshale,huyu alikua akimlawiti dogo mmoja wa kitanzin ikatokea huyo dogo mama ake anatembea na askar mama mtu kujua mwanae analawitiwa akaenda kushtaki dogo akawekwa ndani mwez haujaisha akarud mtaa,aliwah kumbaka mdada wa guest dada alipoanza kupiga kelele akamkaba dada akamminya makende jamaa akamwachia dada akakimbia jamaa akamkatia denge uzur dada aliwah kufika geti la guest anayofanyia ile anaingia tu akala tofali la kichwa akazimia jamaa akasepa,kiufupi dogo alishindikana na eneo analotokea(kitanzini) ni eneo korofi kihistoria mana majambazi,wehu,mabondia wanapatkana huko,bangi,unga,mirungi...serikal ya mtaa inamjua kama ni mwizi,polis wanamjua pia lakn alikua hakai ndani muda anatoka licha ya uhalifu aliokua anaufanya lilikua ni suala la muda tu