Iringa-Halmashauri ya Iringa yaanzisha ushuru wa wanaonunua pumba ya kuku

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,390
Halmashauri ya wilaya ya Iringa imeanza kutekeleza ushuru kwa mtu yeyote anayenunua pumba inayotokana ama na mahindi au mpunga kwa kuanzia kg 10 kwenda juu. mtu ambaye hatakuwa na kibali cha kusafirisha hiyo pumba faini yake ni tsh 200,000.

Aidha watendaji wameanza kuitekeleza na inaelezwa kuwa itaongeza mapato ya halmashauri hiyo.

Tazama hapa chini
 
Huyo shahidi mbona hajaanguka signature.
 
Hawana ubunifu wa vyanzo vya mapato
 
Aisee instead of kuhimiza watu wafuge wawe wajasi wao wanadiscourage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…