Tumechelewa Sana Ndugu ZanguSafi sana,maana Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo,au nasema uongo ndugu zangu?
Wataelewa tu...Safi Sana mpaka mpate akili
Kwa sababu Chadema imekufa tunaweza kuwahi kupata maendeleo.Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
1.Kodi ya mahindi yakisafirishwa kutoka shambaniLipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako
Ndiyo ubunifu wenyewe huo mkuu..Hawana ubunifu wa vyanzo vya mapato
Mwagito hili unalisemeaje?Hadi 2025 kila mtu atakiri kuwa Hangaya ni Chifu wa Wadanganyika
Tunywe mtori nyama zipo chiniMwagito hili unalisemeaje?