Iringa-Halmashauri ya Iringa yaanzisha ushuru wa wanaonunua pumba ya kuku

Nchemba hana mchezo, ujinga ni kwamba itavuma maeneo yote ya nchi kama usafi wa makonda
 
Lack of innovation,ability and capacity to utilize available resources to redress national challenges.
 
Hiki chama ni wezi sana wanajinasibu kukusanya mapato ila waulize pesa zi wapi utasikia tunasubiri mabeberu watupee tujenge mashimo ya vyoo shuleni.

Bado utasikia wanasafirisha vinyesi vya kuku kulipia
 
Shahidi Stanley hajui kuliandika jina lake! Miaka 60 ya uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…