Yaani ni vilaza waliopitiliza.Hawana ubunifu wa vyanzo vya mapato
Habari za sikuπππ
Karibu tutatozwa na za kupumua
Anahusika kwani hayapati anashindwa kuyakemea?Lakini huyo hausiki
Shahidi Stanley hajui kuliandika jina lake! Miaka 60 ya uhuru.Halmashauri ya wilaya ya Iringa imeanza kutekeleza ushuru kwa mtu yeyote anayenunua pumba inayotokana ama na mahindi au mpunga kwa kuanzia kg 10 kwenda juu. mtu ambaye hatakuwa na kibali cha kusafirisha hiyo pumba faini yake ni tsh 200,000.
Aidha watendaji wameanza kuitekeleza na inaelezwa kuwa itaongeza mapato ya halmashauri hiyo.
Tazama hapa chini
View attachment 2040368View attachment 2040369