bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
HABARI Idadi ya wanaume waliofanyiwa vitendo vya ukatili ikiwemo vipigo wilayani Mufindi mkoani Iringa, imepungua kutoka wanaume 811 mwezi Januari mwaka huu hadi kufikia wanaume 407 mwezi June.
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt Linda Salekwa amesema kuwa hayo ni matokeo mazuri ya elimu inayoendelea kutolewa kwa wananchi jinsi ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia.
"Vipigo kwanaume vimepungua zaidi ya asilimia 50 imetoka 813 mpaka 407 lakini bado narudia kusema namba hii ni kubwa na tuna kazi ya kuhakikisha mimi na wewe tunazidi kupunguza," amesema DC huyo.
Chanzo: East Africa TV
==========
Maoni yangu:
Ujumbe toka chama cha wanaume wanaopigwa na wake zao nchini unawaasa wakina mama waache kuwapiga waume zao ikiwemo kuwafanyia ukatili wa jinsia yakiwemo maneno makali na machafu yanayochoma hisia na kupelekea wanaume kufa mapema kwa kushindwa kuyahimili.
Inayowafanya wawe wajane na kuishi maisha ya tabu mateso na watoto. Wanawake waache ukatili wa kijinsia wanazitesa bure familia wakiwa wao ndio wahanga wa madhara.
Ukimfanyia ukatili mwanaume ataikimbia nyumba na kwenda kuanza upya na mwanamke mwingine ampae amani na utulivu wanaoteseka ni watoto kukosa upendo wa baba.
Wanawake rejeeni kwenye misingi ya nafasi zenu kwenye ndoa nyie ni wasaidizi acheni kunyanyasa waume zenu kisa mnawalaumu michepuko eti kakukuchukulia mme,je unazikagua njia zako? Kazi ya mchepuko ni kuziba gap.Je unatosha Sio Kila mwanaume anao moyo wa kuvumilia maumivu.
Moyo wa mwanaume ni sawa na mkate. Utii ni Bora kuliko dhahabu,utii ni kwa faida yako mwanamke.
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt Linda Salekwa amesema kuwa hayo ni matokeo mazuri ya elimu inayoendelea kutolewa kwa wananchi jinsi ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia.
"Vipigo kwanaume vimepungua zaidi ya asilimia 50 imetoka 813 mpaka 407 lakini bado narudia kusema namba hii ni kubwa na tuna kazi ya kuhakikisha mimi na wewe tunazidi kupunguza," amesema DC huyo.
Chanzo: East Africa TV
==========
Maoni yangu:
Ujumbe toka chama cha wanaume wanaopigwa na wake zao nchini unawaasa wakina mama waache kuwapiga waume zao ikiwemo kuwafanyia ukatili wa jinsia yakiwemo maneno makali na machafu yanayochoma hisia na kupelekea wanaume kufa mapema kwa kushindwa kuyahimili.
Inayowafanya wawe wajane na kuishi maisha ya tabu mateso na watoto. Wanawake waache ukatili wa kijinsia wanazitesa bure familia wakiwa wao ndio wahanga wa madhara.
Ukimfanyia ukatili mwanaume ataikimbia nyumba na kwenda kuanza upya na mwanamke mwingine ampae amani na utulivu wanaoteseka ni watoto kukosa upendo wa baba.
Wanawake rejeeni kwenye misingi ya nafasi zenu kwenye ndoa nyie ni wasaidizi acheni kunyanyasa waume zenu kisa mnawalaumu michepuko eti kakukuchukulia mme,je unazikagua njia zako? Kazi ya mchepuko ni kuziba gap.Je unatosha Sio Kila mwanaume anao moyo wa kuvumilia maumivu.
Moyo wa mwanaume ni sawa na mkate. Utii ni Bora kuliko dhahabu,utii ni kwa faida yako mwanamke.