IRINGA: Katibu wa Mbunge, Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM na Diwani wafikishwa Mahakamani kwa muaji ya Katibu wa CCM Kilolo

IRINGA: Katibu wa Mbunge, Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM na Diwani wafikishwa Mahakamani kwa muaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Kumbe Mbowe anaiga vitu vingi kutoka ccm!!
 
Familiarity breeds killings even of your own colleague. What familiarity can this be? Think about this!
 
Kubabake wameanza kufukunyuana wenyewe kwa wenyewe sasa.
 
Hivi usikute hata yule kiongozi wa uvccm kule Njombe aliuwawa na wanaccm wenzake, halafu kesi wakauziwa makada wa chadema. Hawa ccm siyo watu wazuri hata kidogo.
 
View attachment 3191465


WATU watano wamefikishwa mahakamani wilayani Iringa kwa mashtaka ya mauaji ya aliyekuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki.

Akisoma hati ya mashtaka katika kesi hiyo ya jinai namba 34404 ya mwaka 2024
Sijaelewa
  1. Watu watano mbona majina ni matatu hao wawili kulikoni
  2. Hii nilidhani ni kesi ya mauaji hii misamiati ya kimahakama inachanganya ...msaada wa kiufahamu tafadhali
 
Back
Top Bottom