SOWETO MAN
Member
- Jan 3, 2025
- 8
- 12
Utawala ulio fitinika!View attachment 3191465
Watuhumiwa watano akiwamo katibu wa Mbunge wa jimbo la Kilolo Kefa Walles, Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi kupitia CCM wilaya ya Kilolo Hedikosi Kimwaga, Diwani kata ya Nyanzwa Boniface Ugwale maarufu kama 'Katili...
Ni unyama mkubwa sana aliofanyiwa kiongozi wetu .Sheria ichukue mkondo wake na adhabu kali sana iyakayowabubujisha machozi ya majuto itolewe kwa wote watakaokutwa na hatia.Lucas Mwashambwa njoo uone matukio ya ndugu zako
Huyo karibu wa mbunge ni mbunge yupi?..kama wamefanya hayo kwa mwana-ccm mwenzao, tena mwanamke, fikiria hatima yako ukiwa mpinzani, na uko katika mikono yao.
Safari hii tunashukuru Viongozi wa Chadema hawakusingiziwaView attachment 3191465
Watuhumiwa watano akiwamo katibu wa Mbunge wa jimbo la Kilolo Kefa Walles, Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi kupitia CCM wilaya ya Kilolo Hedikosi Kimwaga, Diwani kata ya Nyanzwa Boniface Ugwale maarufu kama 'Katili'...
Hivi Hao ni kutoka chama gani?Kwenye siasa kuna ushenzi mwingi sana. Wakikutwa na hatia wanyongwe hao.
Hujui kusoma?Hivi Hao ni kutoka chama gani?
Kilolo Kuna watu katili sana, lolote linawezekana πΌNgoja tuusubiri ukweli.Lakini hao watuhumiwa/washtakiwa watakuwa "the long time jail birds" kama wahuni wenzao wasipoingilia ushahidi kuuharibu na kuhonga wasimamiaji wa kutoa haki.
Kuna wawili nimewaonna ni kama majirani zako wa Mtwivila na Mlandege.Kilolo Kuna watu katili sana, lolote linawezekana πΌ
Ninachoipendea CCM haifichagi WauajiKuna wawili nimewaonna ni kama majirani zako wa Mtwivila na Mlandege.
CNDD-FDD hao.Hivi Hao ni kutoka chama gani?
Wauaji wa Mawazo hapa Mwanza waliachiwa mbona?Ninachoipendea CCM haifichagi Wauaji
Tofauti na chama Fulani ππ
So sad for sure πView attachment 3191465
Watuhumiwa watano akiwamo katibu wa Mbunge wa jimbo la Kilolo Kefa Walles, Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi kupitia CCM wilaya ya Kilolo Hedikosi Kimwaga...
SijaelewaView attachment 3191465
WATU watano wamefikishwa mahakamani wilayani Iringa kwa mashtaka ya mauaji ya aliyekuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki.
Akisoma hati ya mashtaka katika kesi hiyo ya jinai namba 34404 ya mwaka 2024