Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hakuna jambo kama Hilo. Huyo mama Mimi namjua kibinafsi. Acha uzushi!!!CCM imefanya kazi kubwa sana na ya kipekee sana nyuma ya pazia katika kuhakikisha kuwa mama huyu mjane na mnyonge anaachiliwa huru
Na mm nilijua hivyo mkuu. Hao wengine, Mhh!Ni TLS siyo UWT.
Sawa bhana, yaishe.Haki ya yule mama mnyonge ilikuwa inapigaiwa mahakamani na UWT na siyo kusema unapiga kelele humu halafu mtu anaendelea kusota gerezani.hakuna jambo linalofanikiwa pasipo kuchukua hatua kwa Vitendo. UWT imeongoza njia katika kurejesha furaha na tabasamu kwa Maria Ngoda.
Broo; Tumesikia kwa masikio yetu hapo kwenye vid.clip. CCM na UWT walikuja kama wasikilizaji wengine. Acha kupotosha Taarifa.😎Acha wivu wewe.kwa hiyo unataka kusema kuwa huyo mama mjane na mnyonge hajaachiliwa huru? Unataka kusema kuwa hujasikia kazi kubwa iliyofanywa na CCM nyuma ya pazia kama alivyotamka mhusika? Usicheze na CCM Wewe. CCM Ni dude kubwa sana ambalo likiamua kuingia vitani lazima lipate ushindi wa kishindoo
Kwani kumjua kwako na yeye kufungwa kunahusiaana nini ndugu yangu.Hakuna jambo kama Hilo. Huyo mama Mimi namjua kibinafsi. Acha uzushi!!!
UWT imefanya kazi kubwa sana nyuma ya pazia ya kuhakikisha mama huyu mnyonge na mjane anaachiliwa huru kabisaBroo; Tumesikia kwa masikio yetu hapo kwenye vid.clip. CCM na UWT walikuja kama wasikilizaji wengine. Acha kupotosha Taarifa.😎
Kwani hizo kero zinasababishwa na serikali ya chama gani? Mbona kama vile unajitejenya ndugu?CCM Ni mtetezi wa wanyonge.hata wewe kama kuna mahali unaona kuwa umeonewa na umenyiwma haki yako basi lete kero yako ndani ya CCM ili usaidiwe kupata haki yako.
Hakuna mahali ambako serikali imetoa majibu ya aina hiyo.hiyo ni mtu kabandika tu maneno yake kwa juu ya hiyo picha ya Mheshimiwa naibu waziri nishati.Nchi yangu pendwa!!! Ila hii nchi hii acha tu!!
Serikali ya CCM Ni mtatuzi wa kero na siyo mtengenezaji wa kero kwa wananchi wake.ndio maana inapambana usiku na mchana pale panapojitokeza kero ya aina yoyote ile.Kwani hizo kero zinasababishwa na serikali ya chama gani? Mbona kama vile unajitejenya ndugu?
Serikali ya CCM Ni mtatuzi wa kero na siyo mtengenezaji wa kero kwa wananchi wake.ndio maana inapambana usiku na mchana pale panapojitokeza kero ya aina yoyote ile.
Wewe siyo bure utakuwa na tatizo kichwani, yaani Ccm inatengeneza matatizo ya maksudi kwa wananchi kisha unawadanganya kwamba inatatua hayo matatizo.Serikali ya CCM Ni mtatuzi wa kero na siyo mtengenezaji wa kero kwa wananchi wake.ndio maana inapambana usiku na mchana pale panapojitokeza kero ya aina yoyote ile.
CCM Ndio iliyompigania huyo mjane kuweza kuachiliwa huru.imefanya kazi kubwa na nzito nyuma ya pazia katika kuhakikisha kuwa ushindi unapatikana kwa mama Maria NgodaWewe siyo bure utakuwa na tatizo kichwani, yaani Ccm inatengeneza matatizo ya maksudi kwa wananchi kisha unawadanganya kwamba inatatua hayo matatizo.
Ni mara ngapi na kwa kipindi kirefu sana hadi sasa wananchi wamekuwa wakiuliwa na hao wanyama pori tena nje ya hifadhi, wananchi wanapojitetea kwa kumuua mnyama husika wananchi hao hufungwa jela miaka lukuki.
Eti leo kwa hadaa na hofu ya uchaguzi uchwara unadandia kazi nzuri ya TLS eti ni ccm. Shenzi kabsa!!!
Nimeishi Dodoma zaidi ya miaka 35,nina lodges na guest houses, mikutano mikuu ya CCM Kizota, Chimwaga, JKICC huwa nashiriki kibiashara, najua nini wanawake wa CCM wanafanya.Acha mawazo finyu .
Serikali ya CCM inamfunga, halafu wanajumuia ya wanawake wa CCM wanajifanya kutaka kumsaidia kukata Rufaa. Wakati kesi imeanza kuendeshwa UWT mlikuwa wapi kumpa usaidizi wa mawakili wa kumtetea?? Acheni UNAFIKIMahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemwachia huru Maria Ngoda aliyehukumiwa miaka 22 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala Novemba 3, 2023, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), Jokate Mwegelo ameeleza.
Bi. Ngoda ameachiwa baada ya kushinda rufaa iliyosimamiwa na UWT.
Pia soma > Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara
----
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa wanawake wa CCM Tanzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa mama marry chatanda kama mwenyekiti pamoja na katibu mkuu wake Mheshimiwa Jokate Mwegelo, imefanikiwa kumrejeshea tabasamu na furaha mama Maria wa Iringa ambaye alikuwa amefungwa kifungo cha muda mrefu kwa madai kuwa alikutwa na nyama ya porini kinyume na sheria.
Leo februari 16 ndio ilikuwa siku ya hukumu baada ya umoja huo wa CCM kumkatia rufaa mama huyo mnyonge na aliyehitaji msaada wa hali na mali ambapo mahakama imetoa hukumu na kumuachia huru mama huyo mnyonge aliyetetewa na chama cha Mapinduzi kinachowajali, kuwatetea na kuwasemea wanyonge.
Hii ndio sababu ya CCM kuendelea kuwa kimbilio la wanyonge na kuendelea kuungwa mkono na kupigiwa kura za ndio kwa kishindo kila uchaguzi. Sasa unafikiri ni vipi mama huyu ambaye amebubujikwa machozi ya furaha baada ya kutolewa gerezani atashindwa kuipigia kura CCM?
Ni vipi ataacha kuiunga mkono CCM? Ni vipi ndugu, jamaa, marafiki na watoto wake wataacha kuipenda CCM iliyo mtetezi wa wanyonge?
Waambie ukweli mwamba!Tuna jua
Mahakama zote zina agizwa na Ccm na ndio hizo hizo zili hukumu Maria
Leo Ccm hao hao wana jisifu ati kaachiwa. Hovyooo
Halafu Ccm msitafute kiki za kijinga
Walio kata rufaa walikuwa ni TLS. Chama cha wana sheria Tanzania.
Kweli kabisa!Tengeneza tatizo halafu litatue upate political milage. Makahama zote,mahakimu na majaji ni makada lialia wa CCM.
Ccm ni opportunists!CCM Ndio iliyo mpigania na kuhakikisha kuwa mama wa watu mnyonge mama Maria anapata haki yake.
Ninyi nyumbu wa CHADEMA endeleeni kupiga makelele yenu wakati CCM ikiendelea kugusa maisha ya watu.
He who pays the pipper calls the tuneTuna jua
Mahakama zote zina agizwa na Ccm na ndio hizo hizo zili hukumu Maria
Leo Ccm hao hao wana jisifu ati kaachiwa. Hovyooo
Halafu Ccm msitafute kiki za kijinga
Walio kata rufaa walikuwa ni TLS. Chama cha wana sheria Tanzania.