Uchaguzi 2020 Iringa: Mgombea Urais wa chama cha ADC, Queen Sendiga adai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake

Angekuwa kapigwa Lissu basi humu pangekuwa hapotoshi ila huyo mama anaambiwa et anatumika na ccm hivyo watu hawajali,Lissu aliisema ACT si chama cha upinzani bali ni chama ambacho kinatumika na serikali kuharibu upinzani ila et sasa Lissu anamuunga mkono mgombea wa ACT na anataka ACT imuunge mkono yeye mgombea wa chadema.

MiMi ndio maana naona kabisa hata huyu Chadema akishika dola hatokuwa na utofauti na ccm,maana mambo yao ni yaleyale tu.
 
Haya matukio yamekua mengi mnoo
 
Swali: Mpaka kupigwa makofi, je hakuwa na walinzi? Mtu apenye ampige makofi asikamatwe na walinzi? Muangalie sana huyu binti anatafuta "kiki" kwa niaba ya CCM
Kwa hiyo una watuhumu walinzi kuwa hawajulikani ama waliacha lindo lao!?
 
Hutu tu vyama ni kichefu chefu tu hawa ndo hutumika kuangamiza wapinzani kamati ya maadili!! Hovyo sana hawa
Mfumo wa siasa zetu umeruhusu uwepo wao hivyo wana haki ya kufanya kampeni kulingana na ratiba na si vinginevyo. Haya ya kuvunja vioo vya magari na kushambuliwa kwa kupigwa ni vitendo vya kihuni, kijinga na kishamba mno katika karne hii. Kwa bahati mbaya wanaojihusisha na uvunjifu huu wa amani wanajulikana ni wafuasi wa chama gani . Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.
 
Hongera Queen Sendiga kuteuliwa RC.
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…