wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Nimemtafakari nikajikuta nacheka tu .Sio hasara huyu punda akili Hana ,mzunguko ulikua mrefu Sana masaa kibao katumia njaini ,muda ambao tumbo limeaza kumgonga ndomuda sahihi alitakiwa awe bandarini akipakua mzigo ,jiulize Angelipita njia ya mtwara ambapo ,nimikoa miwili TU kaingia dar , sidhani kama alipakiwa mzigo mkubwa kushusha Mikoa yahuko alikopita
Kona za mlima kitonga kabla kufika MtandikaKWA MOVEMENT ZA GARI, HALAFU UKIMEZA KETE TUMBONI EMPTY, LAZIMA UTEME BUNGO.
❤️🙏Eeeeeh walimbwende weeeenhi walioko mjini wallulize lounge flan mjini kati hapo pakuitwa posta wanajllua habar yake
Yani kuna Drugs dealer wapuuzi sana, hawana Plan, na kwa sasa Mozambique ndo Source ya Madawa, sasa nikipiga hesabu kutoka Mozambique huyu mtu kalala Malawi, kesho yake kaibukia Mbeya, Mbeya aanze kuitafuta Dar, kwanza mpaka Mbeya tu ni mwastani wa masaa 48 madawa yapo Tumboni....!Si ndio hapo. Yani huo anapita nao na backpack kiulaini kabisa.
Yeye na hao Drugs Lord wao, mpaka na huyo Mpokeaji wote Wapuuzi...!KWA MOVEMENT ZA GARI, HALAFU UKIMEZA KETE TUMBONI EMPTY, LAZIMA UTEME BUNGO.
Pia kitendo cha kuingia Tanzania tu basi haikuwa na haja ya kuendelea kutunza mzigo tumboniYani kuna Drugs dealer wapuuzi sana, hawana Plan, na kwa sasa Mozambique ndo Source ya Madawa, sasa nikipiga hesabu kutoka Mozambique huyu mtu kalala Malawi, kesho yake kaibukia Mbeya, Mbeya aanze kuitafuta Dar, kwanza mpaka Mbeya tu ni mwastani wa masaa 48 madawa yapo Tumboni....!
Utasafirije na madawa tumboni kwa wastani wa Masaa 48 mpaka 72...!?
Huyo Mbebaji nae alikua kiazi, pale alipohisi kuna dalili ya Shida tumboni, mapema angetafuta Guest, kuna Dawa angetumia, Angeyatoa yote hayo Madawa kwa kuharisha, angesafisha tumbo, baada ya kuwa sawa siku 3 ama week angeyachimbia Nadawa yake na kuendelea na safari!
Sasa miaka 30 inamsubiri!
Wamezingua sana wangekula mgao watu wanalamba bilions huko giverment wao wameleta biashara za kanisa..Itakuwa aliwakuta madoctor walokole.....walokole wakuda kweli wakati Kwa church full kukulana[emoji849]
🤣 Ujingaujinga tu....shauri zaoWamezingua sana wangekula mgao watu wanalamba bilions huko giverment wao wameleta biashara za kanisa..
Sijui jamaa aliwapangaje lakini..
Ni mjinga angepita LindiKona za mlima kitonga kabla kufika Mtandika
Zilivyo nyingi na kali tumbo lazima lichafuke gari ikiwa inashuka kama alimeza tumboni
Zile kona sio cha mtoto gari ikishuka ikikata kons na tumbo linakata kona lazima angetapika tu au zimpasukie tumboni afe
Ndomana wafanyabiashara wa madawa wanawatumia watu aka kihongweYani kuna Drugs dealer wapuuzi sana, hawana Plan, na kwa sasa Mozambique ndo Source ya Madawa, sasa nikipiga hesabu kutoka Mozambique huyu mtu kalala Malawi, kesho yake kaibukia Mbeya, Mbeya aanze kuitafuta Dar, kwanza mpaka Mbeya tu ni mwastani wa masaa 48 madawa yapo Tumboni....!
Utasafirije na madawa tumboni kwa wastani wa Masaa 48 mpaka 72...!?
Huyo Mbebaji nae alikua kiazi, pale alipohisi kuna dalili ya Shida tumboni, mapema angetafuta Guest, kuna Dawa angetumia, Angeyatoa yote hayo Madawa kwa kuharisha, angesafisha tumbo, baada ya kuwa sawa siku 3 ama week angeyachimbia Nadawa yake na kuendelea na safari!
Sasa miaka 30 inamsubiri!
Jamaa alishindwa kuoffload na kupumzisha tumbo for some days, atakuwa junior huyu.Yani kuna Drugs dealer wapuuzi sana, hawana Plan, na kwa sasa Mozambique ndo Source ya Madawa, sasa nikipiga hesabu kutoka Mozambique huyu mtu kalala Malawi, kesho yake kaibukia Mbeya, Mbeya aanze kuitafuta Dar, kwanza mpaka Mbeya tu ni mwastani wa masaa 48 madawa yapo Tumboni...
KazinguaNimemtafakari nikajikuta nacheka tu .
Hizo ndiyo hasara za kuuza nyumba za urithi eti kila mtu afe na chake , sasa punda kapata hela kaingia kichwa kichwa kwenye kazi .
Jamaa ameferi sana
Kila mtu na fani yake mkuu..Umeze kete na usafiri kwa basi hii ngumu sana
Nadhani alihisi vimempasukia tumboni,,Kama ni kwa haja kubwa alishindwa vipi kuzitolea porini mwenyewe
Hizo pipi zikianzaa kuchenguwa tumboni ni hatari sana, maana zikipata katundu kidogo tu basi lazima zikukaushe maji mwili mzima! Bora alivyo jiwai kwa Dr maana angalau ame save uhai wake japokua atakula kifungo!!Amenyoosha moja kwa moja mpaka kwa daktari famasiala nini