Iringa: Moto wateketeza sehemu ya eneo la soko la Mashine Tatu

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Usiku wa jana tarehe 26 Oktoba moto umerindima na kuunguza sehemu ya soko la Mashine Tatu. Inasemekana moto huo ulianzia katika moja ya vibanda.

Chanzo bado hakijajulikana.

Pole sana kwa waliopoteza mali zao.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Wale Wapuuzi akina Kiugali wangesema ni Mbowe, Mungu nakusihi mwisho wa akina Afande Kei uwe mbaya sana, aungue kwenye moto kama huu, fire wachelewe kufika kuzima, wakifika wakose maji, wakienda kujaza maji gari ipate ajali, yaani majivu yake yasionekane kabisa.

Na iwe hivyo
 
Nimekuja mbio nkijua soko la mjini kumbe huko madongo kuinama, habari za mkoani wala hazina mvuto na masoko ya huko hayana impact yoyote.
 
Nimekuja mbio nkijua soko la mjini kumbe huko madongo kuinama, habari za mkoani wala hazina mvuto na masoko ya huko hayana impact yoyote.
Nadhani hata hukuona ni post ya lini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…