The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Usiku wa jana tarehe 26 Oktoba moto umerindima na kuunguza sehemu ya soko la Mashine Tatu. Inasemekana moto huo ulianzia katika moja ya vibanda.
Chanzo bado hakijajulikana.
Pole sana kwa waliopoteza mali zao.
Chanzo bado hakijajulikana.
Pole sana kwa waliopoteza mali zao.