Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

mimi kwa maoni yangu hao watoto hakuna cha kusoma, yaani unakuta wanakaa chumba moja kaa wife na hubby, watasoma lini, na ndio sababu siku hizi wanamaliza vyuo na hauwezi kuwapa ajira, nimehoji kadhaa ambao wako na degrees na unakuta kuna ile tunaita MISMATCH, between kile kiko kwa karatasi yaani hio degree na kile kiko kwa kichwa cha huyu ambae ako na hiyo degree kwa karatasi, kazi kweli, ndio wanakaa miaka wakiwa mitaani, kazi ni ngono na mambo kaa hayo huko chuoni
Wanatupa wakati mgumu sana sisi wazazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye imeishia hivi.
FB_IMG_16228367684403654.jpg
 
Aliyemnyonga mwenzie anaitwa PRUDENCE. Dah! Ama kweli Jina si jinali!!!
1 : the ability to govern and discipline oneself by the use of reason. 2 : sagacity or shrewdness in the management of affairs. 3 : skill and good judgment in the use of resources. 4 : caution or circumspection as to danger or risk
 
Pole yao sana wafiwa...

Itakua jamaa alipekua simu ya huyo mwanamke na kilichofuata ni kunyongana...
 
Back
Top Bottom