TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Hakuna namna magamba yanaweza kuichonganisha CDM na wananchi kwani wananchi walio wengi sasa wameelimika wanajua kuwa chadema haimiliki mabomu wala hainajeshi na kwanini watu wafe wakiwepo polisi tu?
 
RIP Daud mwangosi,
Nimeumizwa sana na taarifa hizi ambazo mpaka sasa hazieleweki tukio lilivyokuwa lakini itoshe kusema kuwa amekufa.

M.Byabato
Channel ten Kagera
 

thanks, ngoja nikasome upya
 
Reactions: FJM


Kamanda wa mauaji Iringa Michael Kamuhanda!
Eti mkuu wa polisi mkoani...kashiba rushwa hadi shati halimtoshi, shenzi type!
 
[ msifananishe hata kidogo maandaman yenu na yale yaliyotokea kule Misri kwa sababu zifuatazo:
. maandamano ya misri yalikuwa yanaongozwa na wananchi wa kati( middle class)
.maandamano ya cdm yanahusu vijana ambao hawajui watapata nini siku ya mwisho[/QUOTE]
Mkuu umeona mbali, thts ndivyo inavyopaswa kujudge mambo na sio kukurupuka tu!
 
Hakika chadema nawasihi lazima kitu kifanyike, hii haikubaliki. Naamini kwa vichwa vyenu, this is too much....!
RIP my friend Mwangosi!
 

unazungumzia waandish wa habari wa nchi gani wewe????hebu toa ufafanuz???kama ni tanzania hilo usilitegemee
 
Kama wao wanafanya hivi badala ya kulinda raia,washtakiwe wapi?



Sio washitakiwe mkuu hawa polisi wanaishi mitaani kwetu chakufanya nikuviziana tu, kwa nondo, kwa sululu si tunalalanao. Hawawezi kuchukuliana hatua wao kwa wao.
 
Dada Bajabiri inaelekea Arusha hukuangalia au ulikuwa unamlisha mtoto?
 
unazungumzia waandish wa habari wa nchi gani wewe????hebu toa ufafanuz???kama ni tanzania hilo usilitegemee
Mkuu nime-assume wana umoja kwa hiyo mambo ya njenje sikuyafikiria!!! Ila pia sikuwaza kuwa kuna vyombo vya habari kama magazeti ya serikali, na TBC zote kuwa ni pro SSM, na pia magazeti kama ya New habari Corporation ni fisadi ambao wanaogopa CDM. The list is long but tufika wakati hata kwa muda waandishi wasitishe huduma. Ingekuwa nchi za wenzetu wangetoa msimamo. Ngoja tusikie MOAT na MCT kama watasema chochote.
 
Hiv askari siku hiz kazi yao ipi, kwenye uharif huwa hawatokei ila wanaongoza kwa kuomba rushwa, kuuwa raia wasio na hatia na kuanzisha vurugu. Hili jeshi halina faida hata kidogo bora lisingekuwepo km wameongezewa jukumu la kuua raia basi itangazwe. wauaji wakubwa
 


Kamanda wa mauaji Iringa Michael Kamuhanda!
Eti mkuu wa polisi mkoani...kashiba rushwa hadi shati halimtoshi, shenzi type!

kweli huyu KAMANDA,,,,,,DUH ANAFANYA MAZOEZ KIAS KWAMBA HAD SHAT HALIMTOSHI
 
Kama walikuwa wanafungua ofisi kijijini nani aliwaita hao polisi? Walitokea wapi? Nani kamada wa kikosi hicho? Walikuwa wangapi?

Wanachama wa CDM au watu wote kwenye eneo walikuwa wangapi? Wanafanya nini?

Polisi wanatoa amri ya kutawanyika kwa sababu gani? Je walipata muda gani kuandika hilo tambara?

Je walitoa amri au ni baada ya kuwasiliana na uongozi?



JAKAYA MRISHO KIKWETE damu hii ya watanzania itakudai, usijifanye hujui, honi husikii yanayotokea. KAMA UMESHINDWA KULINDA WANANCHI ACHIA NGAZI KIUNGWANA

(Mod naomba hata nitukane kimoyo moyo labda hasira yangu itapingua kwa serikali hii uaji)
 
Pole kwa familia ya marehemu Daudi Mwangosi.
Jeshi la policcm limeamua kuwaua wananchi wasio na hatia wakidhani kwa kufanya hivyo watainusuru ccm na kifo mwaka 2015.
Natarajia kuona makali ya kalamu za wanahabari katika tukio hili. Hawa jamaa wamewatumia sana na sasa wameamua kuanza kuwaua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…