Hivyo vyeo hawapewi kwa merits.Huo mtumbo ni rushwa na ujambazi.I will bet my life on it!hata vyeo huwa wanapandishwa kwa mazingira ya ufanyaji kazi kama alivyofanya yeye.
Kamanda wa mauaji Iringa Michael Kamuhanda!
Eti mkuu wa polisi mkoani...kashiba rushwa hadi shati halimtoshi, shenzi type!
Huu mkakati ya serikali kupitia polisi ni MKAKATI HATARI. ITS WHAT WE CALL BAD POLITICS!
Dada Bajabiri inaelekea Arusha hukuangalia au ulikuwa unamlisha mtoto?
Maneno hayo hapo juu niliyasema wakati wa mauwaji ya Morogoro.Kwangu mimi it was already too much!Hakika chadema nawasihi lazima kitu kifanyike, hii haikubaliki. Naamini kwa vichwa vyenu, this is too much....!
RIP my friend Mwangosi!
Hakika chadema nawasihi lazima kitu kifanyike, hii haikubaliki. Naamini kwa vichwa vyenu, this is too much....!
RIP my friend Mwangosi!
Siwezi kuingia kwenye upolisi maana hawana akili.
Hivyo polisi wakaamua kumuua mwandishi wa habari!!Sasa kama waliambiwa watawanyike wao wakakaidi ni vipi tuwalaumu police?
Chadema ni chama cha mauaji viongozi wake wawekwe ndani haraka iwezekanavyo
Nashauri waandishi wa habari muungane na wamiliki wa vyombo vya habari msiandike kabisa habari za Wizara ya Mambo ya ndani na zile za SSM. Kweli kifo hiki hakikuwa cha lazima, tear gas zilitosha tu kuwakimbiza hao CDM. Ogopeni damu, polisi, hizo damu zitawalilia. Mtalaanika. Naogopa mno kifo sembuse kuua. So sad.
Mwanakijiji aliwahi kuilalamikia Chadema kwa kutochukua hatua juu ya mauaji yanayofanyika kila kukiwa na mikutano yao! Manake it seems Chadema wakiomba kibali cha mkutano tu, polisi wanatia mafuta na kusafisha bunduki zao!
Kwa kweli ni wakati wa kuchukua hatua!
Mkuu think twice before you say anything what you have said isnt correct as far as common sense is concerned.Dr Slaa aliposema nchi haitatawalika nilidhani ni jazba na hasira za kukosa urais ambao anauota siku zote,lakini sasa hivi ninapata picha kamili ya dhamira yake.Anatumia kila njia kuhalalisha ujambazi wake wa siasa kufikia malengo yake,shime watanzania tukatae siasa za aina hii, Dr Slaa ni Foday Sankoh mwengine anatoa kafara watu ili afanikiwe katika malengo yake.Nilishangaa kuona wanafanya party kwa mchungaji Msigwa baada ya mauaji ya Morogoro sitostaajabu sasa hivi akiwa anakunywa mvinyo kujipongeza kwa kifo cha Daudi Mwangosi.Roho za watanzania hawa zitakuandama popote uendako..
Inabidi itumike nguvu ya umma ili Igp Mwema na waziri wa mambo ya ndani wajiuzuru bila hivyo mauaji yataendelea na pia tunataka vyombo huru sio polisi wanaua halafu wanajiundia wao tume Tanzania haiwezi kuwa nchi ya amani kama tunauana ovyo kwa kisingizio cha siasa