Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🤔🤔🤔View attachment 2403295
Hilo dude hilo. missles 46 kati ya 50 zimechakazwa. zilikua zinalenga miundo mbinu na makazi ya raia
Mbona mnatuchanganya nyie pro Russia? Mashambulizi yaliyofanyika wiki 2 zilizopita mlituamisha kwamba yameiacha ukraine gizan..,mkadai kwamba Ukraine imeachwa bila umeme Wala miundombinu ya majiYaani missiles 4 tu ndio zipelekee kukosekana Kwa maji Kwa asiliamia 80?Za kuambiwa tuchanganye na zetu jamani!
Halafu heading umeweka 44,halafu huku ndani umeandika 46!
Punguza mihemko,kwani miundombinu ikiharibiwa haitengenezeki?Mbona mnatuchanganya nyie pro Russia? Mashambulizi yaliyofanyika wiki 2 zilizopita mlituamisha kwamba yameiacha ukraine gizan..,mkadai kwamba Ukraine imeachwa bila umeme Wala miundombinu ya maji
Leo hii Tena mnadai mashambulizi ya Leo yameharibu miundombinu ya maji na umeme kwa asilimia 80
Siku nyingine yakifanyika mashambulizi kama haya mtakuja Tena kutuambia mashambulizi yameiacha ukraine bila umeme Wala miundombinu ya maji.., hamuoni kwamba mnaruka na kukanyagana?
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
UthibitishoView attachment 2403295
Hilo dude hilo. missles 46 kati ya 50 zimechakazwa. zilikua zinalenga miundo mbinu na makazi ya raia
Watapelekewa maji kama kipindi hiko watu wagoba walivokua wakipelekewa maji ma maroli [emoji1787][emoji1787]So makombora 6 yamesababisha nchi kukosa maji kwa asilimia 80, umeme kwa asilia 90..basi makombora ya Urusi ni moto wa kuotea mbali.
View attachment 2403308