IRIS-T limedungua cruise missle 44 kati ya 50 zilizorushwa na Urusi kwenye maeneo ya Raia na miundo mbinu

Yaani missiles 4 tu ndio zipelekee kukosekana Kwa maji Kwa asiliamia 80?Za kuambiwa tuchanganye na zetu jamani!
Halafu heading umeweka 44,halafu huku ndani umeandika 46!
ya very likely. kumbuka hizo ni cruise missles
 
Kwahiyo nawee umeamin?

Alafu hapo hapo Zelensky analiaa na Kutangaza Kukosekana Kwa huduma za Umeme ,NCHI nzima Kwa muda Fulan !!
 
Yaani missiles 4 tu ndio zipelekee kukosekana Kwa maji Kwa asiliamia 80?Za kuambiwa tuchanganye na zetu jamani!
Halafu heading umeweka 44,halafu huku ndani umeandika 46!
Mbona mnatuchanganya nyie pro Russia? Mashambulizi yaliyofanyika wiki 2 zilizopita mlituamisha kwamba yameiacha ukraine gizan..,mkadai kwamba Ukraine imeachwa bila umeme Wala miundombinu ya maji

Leo hii Tena mnadai mashambulizi ya Leo yameharibu miundombinu ya maji na umeme kwa asilimia 80

Siku nyingine yakifanyika mashambulizi kama haya mtakuja Tena kutuambia mashambulizi yameiacha ukraine bila umeme Wala miundombinu ya maji.., hamuoni kwamba mnaruka na kukanyagana?
 
So makombora 6 yamesababisha nchi kukosa maji kwa asilimia 80, umeme kwa asilia 90..basi makombora ya Urusi ni moto wa kuotea mbali.
 
Punguza mihemko,kwani miundombinu ikiharibiwa haitengenezeki?
Halafu hizo taarifa ni Kwa mujibu wa mamlaka za Ukraine,sio taarifa zangu!
 
Kievy wameshindwa hesabu report nyingi wanasema "missile fired 50 na 44 zimezuiliwa na maeneo 18 yameharibiwa" swali linaulizwa kwenye media zote je missile 6 ndio zimepiga maeneo 18?

Taarifa zingine zinasema only one ndio ilitunguliwa na ndio iloyodondokea nchi jirani.
Hivyo mpaka sasa hakuna report ya maana kwa babu Kievy tu yamegonga maeneo 5
Na pia wamekiri miji 10 ilipigwa na makombora hayo.

Hizi propaganda za west sasa zinakaribia mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…