'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

Hizbullah wako kwenye stage ya kutapatapa soon mtaona matokeo ya operation northern Arrow kule Lebanon
Yalikuwa mahubiri ya jana hayo kanisani? Bendera ya Israel ilikuwa ikipepea kanisani huku makondoo mkipiga makofi kwa fiksi mnazopigwa na wachungaji uchwara.

Wale ni Hezbollah hawajaanza leo kujipigia Israel.

Hiyo operation unayozungumzia hujaona video jinsi asikari wa Kiyahudi walivyovunwa kwa wingi na Hezbollah huku wakizikanyaga maiti vichwani.

Hiyo operesheni hawajafanikiwa kuvuka hata kilomita 5 tangu Oktoba mosi kila wakijaribu kusogea wanakutana na mkuki wa Hezbollah.
 
Post za kujifariji za Kobazi😁😁😁 hayo makombora yameanza kurushwa tangu 2006, tangu Oct 7 pekee makombora zaidi ya 30,000 yamerushwa kuelekea Israel na hakuna kilichotokea to date Kobazi wanaendelea kuteketea endeleeni kuweka post za hivi kuishi Kwa matumaini ni muhimu sana🤓

1728284602052.png

An unknown assailant attacked pedestrians in Beersheba, Israel.

Initially, police reported three injuries, but medics later stated that at least nine people were injured, one critically.

The incident occurred near the central bus station, and authorities suspect it may have been a terrorist attack. The attacker has been neutralized.
 
Yalikuwa mahubiri ya jana hayo kanisani? Bendera ya Israel ilikuwa ikipepea kanisani huku makondoo mkipiga makofi kwa fiksi mnazopigwa na wachungaji uchwara.

Wale ni Hezbollah hawajaanza leo kujipigia Israel.

Hiyo operation unayozungumzia hujaona video jinsi asikari wa Kiyahudi walivyovunwa kwa wingi na Hezbollah huku wakizikanyaga maiti vichwani.

Hiyo operesheni hawajafanikiwa kuvuka hata kilomita 5 tangu Oktoba mosi kila wakijaribu kusogea wanakutana na mkuki wa Hezbollah.
Akili finyu hizi Sasa kanisani kunahusiana Nini na vita ya Hizbollah na Israel, Kobazi mkiishiwa hoja mnaandika chochote kama wapuuzi vile
 
Hezbollah has attacked an Israeli base south of Haifa with drones, group says

Lebanon’s Hezbollah movement "launched an air assault with a squadron of attack drones on the maintenance and rehabilitation base south of Haifa," the group said in a statement.

📌Source: @SputnikInt
 
View attachment 3117516
An unknown assailant attacked pedestrians in Beersheba, Israel.

Initially, police reported three injuries, but medics later stated that at least nine people were injured, one critically.

The incident occurred near the central bus station, and authorities suspect it may have been a terrorist attack. The attacker has been neutralized.
Unasherehekea mtu mmoja kufa Israel wakati tumbili 40k wamepotezwa Gaza, 1k West Bank na 2k Lebanon 😁
 
Unasherehekea mtu mmoja kufa Israel wakati tumbili 40k wamepotezwa Gaza, 1k West Bank na 2k Lebanon 😁
Mmoja mmoja mpaka wataisha:

Islamic Jihad's military wing says it has fired rockets at Israel's Ashkelon, settlements near Gaza border

Video taken from social media. Source: @SputnikInt
 
Nadhani sasa baada ya kujionea udhaifu wa Iron Dome atakuwa hana hamu tena ya kuagiza kimeo hicho.

Dunia sasa imeoneshwa ukweli wa porojo za Israel na mabwana zake ni uongo mtupu.
Israel Ina mifumo mingi ya ulinzi Siyo Iron Dome pekee Ina David Sling, Arrow 3, C-dome... Sijui kama mnajua inavyofanya kazi au mnaropoka tu 😁 hata drone za Ukraine zimeweza kushambulia ndani ya Urusi licha ya wao kuwa na mifumo imara ya ulinzi Rudini shule mjifunze kwanza hiyo mifumo inavyofanya kazi kabla ya kuexpose ignorance hapa
 
Akili finyu hizi Sasa kanisani kunahusiana Nini na vita ya Hizbollah na Israel, Kobazi mkiishiwa hoja mnaandika chochote kama wapuuzi vile
Kwani hatujui tabia yenu ya kutokuwa independent thinking badala yake hadi mlishwe matango pori kanisani ndiyo mje mharishe humu?

Nimehudhuria makanisani kwa malengo fulani nikashuhudia mahubiri ya uongo wa wazi na makondoo yanashangilia na kupiga makofi hadi yanagaragara.
 
Mmoja mmoja mpaka wataisha:

Islamic Jihad's military wing says it has fired rockets at Israel's Ashkelon, settlements near Gaza border

Video taken from social media. Source: @SputnikInt
Waache kuisha wanaopotezwa 1000 baada ya wiki waishe wanaokufa mmojammoja kukimbia shule huku
 
Back
Top Bottom