Is Atheism Satanism?

Those are false accusations. read my posts about my stand
You don't believe in God, in contrast, not believing in God is believing in Satan. That means, you are a Satanist. Impugn if you can.

I told you already, there is no Ground Zero in the issues of God. You either Believe in God or You do not believe in God which is believing in Satan by default.
 
je pense,donc je suis: I think, therefore, i am.
 
Kwa mujibu wa haya maelezo yako hujui Shetani nu kitu gani,unawezaje kupinga usichokijua?Kama kuna sifa zake ambazo wewe hukubaliani nazo na unadai ukiziona zinaonekana ni za kufikirika zaidi,kwanini unadhani hivyo?Kitu gani kinakufanya ufikie hilo hitimisho?
 

sorry for not answer question but i would like to know what is satan. what is the essence of that being
 
Umejuaje kwamba hatuwezi kuyatafakari baadhi ya mambo na kuyaelewa kwa uwezo wetu wa kufikiri?Ni sawa nimeanza na assumption kwenye swali langu,lakini sijafanya hivyo ili kujenga hoja ya uwepo wa Mungu bali nilitaka nikuoneshe matatizo ya msimamo wako Inawezekana ni kweli mtu akatia hoja ambayo ikaonekana ina nguvu,still,kutafakaribna kujenga msimamo wako mwenyewe ni jambo la.msingi sana,huwezi kujenga msimamo wako kutokana na mtazamo au hoja ya mtu kwasababu hujatumia muda wako kutafakari na kupata majibu,hili litakufanya uonekane wa ajabu pale ambapo itaulizwa swali ambalo liko nje ya kile ulichoambiwa na ukakosa kabisa jibuKutafakari kwa wakati na uwezo wako ni jambo jema sana kwa afya ya akili!
 

We human being we are limited in terms of what we can know. for example we cannot know whether there is life after death,we cannot know when the world begun. we cannot know where do we come from.These questions are beyond the capacity of our mind.
 

I do agree with you completely. I like that. we are sharing that opinion together. ONE SHOULD THINK FOR HIM OR HERSELF.
 
Kiongozi, Salama lakini? Naona unakata nyasi kwa Buldoza. Safi sana Kiongozi.
 

After all that can you tell me what is satan? which nature does he or she have
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…