Is Atheism Satanism?

Is Atheism Satanism?

Those are false accusations. read my posts about my stand
You don't believe in God, in contrast, not believing in God is believing in Satan. That means, you are a Satanist. Impugn if you can.

I told you already, there is no Ground Zero in the issues of God. You either Believe in God or You do not believe in God which is believing in Satan by default.
 
you don't believe in god, in contrast, not believing in god is believing in satan. That means, you are a satanist. Impugn if you can.

I told you already, there is no ground zero in the issues of god. You either believe in god or you do not believe in god which is believing in satan by default.
je pense,donc je suis: I think, therefore, i am.
 
I do not belief in Satan, what is satan? that should be the first question. What do people believe about satan? Then if you mention all the attributes of satan you just find that satan is merely an imaginary being. It is not a substance only exist as far as human mind exists. In other words satan is not a being which exist independent. is not I tend to think people hold the view of Satan because they do not want to accept their moral responsibility and natural occurrence of event on earth.
Kwa mujibu wa haya maelezo yako hujui Shetani nu kitu gani,unawezaje kupinga usichokijua?Kama kuna sifa zake ambazo wewe hukubaliani nazo na unadai ukiziona zinaonekana ni za kufikirika zaidi,kwanini unadhani hivyo?Kitu gani kinakufanya ufikie hilo hitimisho?
 
Kwa mujibu wa haya maelezo yako hujui Shetani nu kitu gani,unawezaje kupinga usichokijua?Kama kuna sifa zake ambazo wewe hukubaliani nazo na unadai ukiziona zinaonekana ni za kufikirika zaidi,kwanini unadhani hivyo?Kitu gani kinakufanya ufikie hilo hitimisho?

sorry for not answer question but i would like to know what is satan. what is the essence of that being
 
You know people pretend to know things which we cannot by our intellect. we are limited, question of either god exists or not is the matter of faith but if you use reasons to establish his existence then there the problem starts. You said that"Hivi inakuwaje kama Mungu yupo lakini watu wanashindwa tu kutoa maelezo mazuri yanayohusu uwepo wake?" First when you use the word Hivi,it is already a presumption so you cannot assert something based on presumption in order to get the results you want.
Umejuaje kwamba hatuwezi kuyatafakari baadhi ya mambo na kuyaelewa kwa uwezo wetu wa kufikiri?Ni sawa nimeanza na assumption kwenye swali langu,lakini sijafanya hivyo ili kujenga hoja ya uwepo wa Mungu bali nilitaka nikuoneshe matatizo ya msimamo wako
"Kujenga msimami kutokama na misimamo ya watu kuhusu Mungu ni hatari sana!" I am agree with you to some extent. i am agree in sense that one should be able to give his own reasons on something he believe to be true however i disagree in the sense that our knowledge is shared so it sound strange for someone to believe sth even if you see ur counter argument is powerful. Therefore,It is not the matter of being rigid and seal yourself from your beliefs but rather to be open minded and be objective and honest enough.
Inawezekana ni kweli mtu akatia hoja ambayo ikaonekana ina nguvu,still,kutafakaribna kujenga msimamo wako mwenyewe ni jambo la.msingi sana,huwezi kujenga msimamo wako kutokana na mtazamo au hoja ya mtu kwasababu hujatumia muda wako kutafakari na kupata majibu,hili litakufanya uonekane wa ajabu pale ambapo itaulizwa swali ambalo liko nje ya kile ulichoambiwa na ukakosa kabisa jibuKutafakari kwa wakati na uwezo wako ni jambo jema sana kwa afya ya akili!
 
Umejuaje kwamba hatuwezi kuyatafakari baadhi ya mambo na kuyaelewa kwa uwezo wetu wa kufikiri?Ni sawa nimeanza na assumption kwenye swali langu,lakini sijafanya hivyo ili kujenga hoja ya uwepo wa Mungu bali nilitaka nikuoneshe matatizo ya msimamo wako Inawezekana ni kweli mtu akatia hoja ambayo ikaonekana ina nguvu,still,kutafakaribna kujenga msimamo wako mwenyewe ni jambo la.msingi sana,huwezi kujenga msimamo wako kutokana na mtazamo au hoja ya mtu kwasababu hujatumia muda wako kutafakari na kupata majibu,hili litakufanya uonekane wa ajabu pale ambapo itaulizwa swali ambalo liko nje ya kile ulichoambiwa na ukakosa kabisa jibuKutafakari kwa wakati na uwezo wako ni jambo jema sana kwa afya ya akili!

We human being we are limited in terms of what we can know. for example we cannot know whether there is life after death,we cannot know when the world begun. we cannot know where do we come from.These questions are beyond the capacity of our mind.
 
Umejuaje kwamba hatuwezi kuyatafakari baadhi ya mambo na kuyaelewa kwa uwezo wetu wa kufikiri?Ni sawa nimeanza na assumption kwenye swali langu,lakini sijafanya hivyo ili kujenga hoja ya uwepo wa Mungu bali nilitaka nikuoneshe matatizo ya msimamo wako Inawezekana ni kweli mtu akatia hoja ambayo ikaonekana ina nguvu,still,kutafakaribna kujenga msimamo wako mwenyewe ni jambo la.msingi sana,huwezi kujenga msimamo wako kutokana na mtazamo au hoja ya mtu kwasababu hujatumia muda wako kutafakari na kupata majibu,hili litakufanya uonekane wa ajabu pale ambapo itaulizwa swali ambalo liko nje ya kile ulichoambiwa na ukakosa kabisa jibuKutafakari kwa wakati na uwezo wako ni jambo jema sana kwa afya ya akili!

I do agree with you completely. I like that. we are sharing that opinion together. ONE SHOULD THINK FOR HIM OR HERSELF.
 
Kwa mujibu wa haya maelezo yako hujui Shetani nu kitu gani,unawezaje kupinga usichokijua?Kama kuna sifa zake ambazo wewe hukubaliani nazo na unadai ukiziona zinaonekana ni za kufikirika zaidi,kwanini unadhani hivyo?Kitu gani kinakufanya ufikie hilo hitimisho?
Kiongozi, Salama lakini? Naona unakata nyasi kwa Buldoza. Safi sana Kiongozi.
 
I do not know what you are talking about.
young man, i am the captain of my life. I do not take things for granted
Atheist-are-blind-willingly-135108121869.jpeg
 
Kwa mujibu wa haya maelezo yako hujui Shetani nu kitu gani,unawezaje kupinga usichokijua?Kama kuna sifa zake ambazo wewe hukubaliani nazo na unadai ukiziona zinaonekana ni za kufikirika zaidi,kwanini unadhani hivyo?Kitu gani kinakufanya ufikie hilo hitimisho?

After all that can you tell me what is satan? which nature does he or she have
 
Back
Top Bottom