Is Diamond Platnumz good as he is au kuna mengine?? Mbinu za kutoboa kimataifa.

Ndio sababu ya Kiba kuto kutoa video ya nagharamia???
Sababu kumbe unataka na inaweza isitoke kabisaa yani labda letter 2016 director kagoma nayo umeridhika au bado??
 
Sababu kumbe unataka na inaweza isitoke kabisaa yani labda letter 2016 director kagoma nayo umeridhika au bado??

Sijaridhika, mi ninachotaka ni video ya nagharamia sio mambo ya director yamekwenda yamerudi hayana ishu... Nadhani ni wakati muafaka wa kufanya maamuzi magumu, kutimua mameneja wooote maana hakuna la maana wanalofanya au we unaonaje mkuu? Weka mahaba pembeni, muheshimu msanii wako utaona anachofanya ni kinyume na anachostahili...!!
 
Huyu ndo walewale unaowasema vichwa mizigo kazi kuwaza majungu.....aisee nenda.mirembe....
 
Et mara waganha, mara freemason, mara ccm......hivi hao waganga wasanii wengine hawawaoni? Na nenda kaangalie viewer wa diamond kam utakuta ccm tupu bu th? way we wenyew unaesema koz yupo ccm umeangalia n'a unamsapoti je n'a w? ni ccm? Au wasanii wengine si ccm? Hapo vha msingi ni kujituma, mungu, wakati huu mziki kibiashara zaidi n'a Ye anacheza n'a soko, so soko laziki ni watu, anagharamia kazi kwa kuziandaa n'a kupromote ndani n'a nje, so unategemeaje w? kam Ali kiba anatoa nyimbo kam zamani nyimbo mwka huu vid?o mwakan, nani atamsapoti akati watu wanataka hivi Ye anafanya vile....tuwasapoti wasanii wetu kA yeyote anaetoa nyimbo nzuri n'a tusishabikie tu.....DIAMOND ANA JUHUDI N'A KAZI...KUNA MDA ANAFAIL VITU VYAKE LAKIN HAKATI TAMAA ANATAFUTA NJIA NYINGINE..
 
Unaijua kwanza management ya ali kiba ?? Tuanze hapo
 

Wanatapatapa mkuu
wamezoeleka hao
 

Mkuu uzi mzima sijaona neno ALI KIBA

inamaana KIBA hafanyi poa kabisa au vile uko mtaa wa pili?

kiukweli hizi mbio zishamshinda KIBA fans wanampa psychological suffering
 
Unaijua kwanza management ya ali kiba ?? Tuanze hapo

Hilo swali kila siku unauliza utafikiri kuna jipya wanalofanya.. Yupo chini ya Rockstar, na Keko anataka kuwapiga chini amelalamika wamemkwamisha mambo mengi, so hawezi kuendelea nao...!!
 
Namshauri kiba ajiunge kwa akina HARMONIZE BABY-AIYOLA atoka veery fastest.
 
Namshauri kiba ajiunge kwa akina HARMONIZE BABY-AIYOLA atoka veery fastest.

Tatizo mashabiki wake mkuu hawatakubali hata kidogo, wanaichukulia poa WCB afu wanamuangalia kwa mbali harmonize yuleeeee anatoboa kimataifa
 
Hilo swali kila siku unauliza utafikiri kuna jipya wanalofanya.. Yupo chini ya Rockstar, na Keko anataka kuwapiga chini amelalamika wamemkwamisha mambo mengi, so hawezi kuendelea nao...!!
Kumbe unajua kila kitu sasa unauliza tena pigia mstari
 
Muuza sembe

ushabiki samtaimz unakufanya uwe kipofu.Kwahyo unataka kuniambia kuuza sembe ndo kumemfanya apate matuzo yote yale,na zile youtube views je,vipi lile nyomi la burundi na kongo miaka kadhaa iliyopita,kama ingekuwa ni sembe tu bas wauza unga wote bongo wangekuwa masupastaa maana wanapesa nyingi kuliko yeye.Mafanikio ya daimond ni kutokana na work ethic yake
 

mkuu hapo kwenye vijana kujiongeza kwenye international jobs nimekuelewa sana na mi ni mmoja wa chasers wa hzo mavitu sema nna less acces na support,,vp naeza kukuchek ukaniongezea mwanga?
 
mkuu hapo kwenye vijana kujiongeza kwenye international jobs nimekuelewa sana na mi ni mmoja wa chasers wa hzo mavitu sema nna less acces na support,,vp naeza kukuchek ukaniongezea mwanga?



Mkuu nakubaliana nawe kwa baadhi ya point za msingi ulizozianisha hapa, na nyingine sikubalin aiseee,

Kuna watu wasanii wanajituma na wana kazi nzuri, kuna vijana hao hapo buni na kinu wana bidhaa nzur tu, na sio kwamba wana chat tu FB kama unavyosema but, hawatoki ktk mainstream kama wenzao wa Kenya na Rwanda
 
Unamjua dallas ??
 
mkuu hapo kwenye vijana kujiongeza kwenye international jobs nimekuelewa sana na mi ni mmoja wa chasers wa hzo mavitu sema nna less acces na support,,vp naeza kukuchek ukaniongezea mwanga?
Mimi ukinicheki nitakupa websites tu za kua unaangalia vitu vinavyohusiana na kozi ulizozisomea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…