Is Education Better Than Money? Elimu shule za gharama vs Asset kwa mtoto wako ipi itamfaidisha ukubwani

Is Education Better Than Money? Elimu shule za gharama vs Asset kwa mtoto wako ipi itamfaidisha ukubwani

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Najua wengi tunaikumbuka hii Debate Topic "Is Education Better Than Money?

Kipindi tunashiriki hii debate tulikuwa wadogo na wategemezi. Nina imani sasa tumekuwa na tumeona mengi kwenye maisha.

Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa kujitegemea na kukuona baba yake ama mama yake ulikuwa na akili sana.

Kumsomesha shule za private za milion 2 ama 3 mpaka milion 5 kwa mwaka toka chekechea mpaka la saba ama sekondari. Ama kumsomesha shule za serikali na kisha hizo milion 2 ama 3 ama 5 za ada yake kila mwaka ukawa unamnunulia Asset za kudumu kama viwanja na Ardhi kila mwaka sehemu tofauti.

Njia ipi hapo unaona itampa mtoto uhakika wa maisha.
 
Education is better than money. I remember this debate was popular during secondary level.
Straight to the point 👉

Mimi naamini katika elimu kwanza Kisha pesa , ukiwa na elimu itakupa akili ya kufikiri kwa upana na kuboresha vitu kulinganisha na ambae hajasoma.

Wengine watakuja kuniambia, kuna matajiro ambao hawajasoma and bla bla IPO hivi kwa wasio soma na wenye pesa zao mostly pesa ndo inafanya kazi na sio wao kama kuajiri mtu wa fedha, management and so forth.
Good package comes with education+ Money= Success
 
Education is better than money. I remember this debate was popular during secondary level.
Straight to the point 👉
Mimi naamini katika elimu kwanza Kisha pesa , ukiwa na elimu itakupa akili ya kufikiri kwa upana na kuboresha vitu kulinganisha na ambae hajasoma.
Wengine Watakuja kuniambia, Kuna matajiro ambao hawajasoma and bla bla IPO hivi kwa wasio soma na wenye pesa zao mostly pesa ndo inafanya kazi na sio wao kama kuajiri mtu wa fedha, management and so forth.
Good package comes with education+ Money= Success

Thanks. Japo swali la mada hujalipa jibu la straight.

Swali ni

Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa kujitegemea na kukuona baba yake ama mama yake ulikuwa na akili sana.

Kumsomesha shule za private za milion 2 ama 3 mpaka milion 5 kwa mwaka toka chekechea mpaka la saba ama sekondari. Ama kumsomesha shule za Serikali na kisha hizo milion 2 ama 3 ama 5 za ada yake kila mwaka ukawa unamnunulia Asset za kudumu kama viwanja na Ardhi kila mwaka sehemu tofauti.
 
Thanks. Japo swali la mada hujalipa jibu la straight.

Swali ni

Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa kujitegemea na kukuona baba yake ama mama yake ulikuwa na akili sana.

Kumsomesha shule za private za milion 2 ama 3 mpaka milion 5 kwa mwaka toka chekechea mpaka la saba ama sekondari. Ama kumsomesha shule za serikali na kisha hizo milion 2 ama 3 ama 5 za ada yake kila mwaka ukawa unamnunulia Asset za kudumu kama viwanja na Ardhi kila mwaka sehemu tofa

Thanks. Japo swali la mada hujalipa jibu la straight.

Swali ni

Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa kujitegemea na kukuona baba yake ama mama yake ulikuwa na akili sana.

Kumsomesha shule za private za milion 2 ama 3 mpaka milion 5 kwa mwaka toka chekechea mpaka la saba ama sekondari. Ama kumsomesha shule za serikali na kisha hizo milion 2 ama 3 ama 5 za ada yake kila mwaka ukawa unamnunulia Asset za kudumu kama viwanja na Ardhi kila mwaka sehemu tofauti.
Am paying and I will pay whatever it takes for my kids to have better education.
 
Ningerudi nyuma kuchagua ningechagua shule ya kulipiwa 1M per year kama ada day school hapo msingi. Sekondari 2M kwa day school na A level serikalini. Ingekuwa ni combination nzuri sana kwangu mimi
 
Habari wadau.

Najua wengi tunaikumbuka hii Debate Topic "Is Education Better Than Money?

Kipindi tunashiriki hii debate tulikuwa wadogo na wategemezi. Nina imani sasa tumekuwa na tumeona mengi kwenye maisha.

Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa kujitegemea na kukuona baba yake ama mama yake ulikuwa na akili sana.

Kumsomesha shule za private za milion 2 ama 3 mpaka milion 5 kwa mwaka toka chekechea mpaka la saba ama sekondari. Ama kumsomesha shule za serikali na kisha hizo milion 2 ama 3 ama 5 za ada yake kila mwaka ukawa unamnunulia Asset za kudumu kama viwanja na Ardhi kila mwaka sehemu tofauti.

Njia ipi hapo unaona itampa mtoto uhakika wa maisha.
Elimu ni kwa faida ya Taifa na jamii kwa ujumla haijamanishwa kutengeneza utajiri. Kama umeshindwa kusoma usitafute namna ya kujustify kushindwa kwako. Isingekuwa elimu leo kusingekuwa na Computer, kusingekuwa na magari, mindege, kusingelikuwa na Ma-internet na vikolombwezo vyote vizuri unavyoviona. Usitake kubishana na Mungu kuwa "MTAFUTE SANA ELIMU ANGALIA USIMWACHE AKAENDA ZAKE" Acha kuwa wakala wa SHETANI.
 
Elimu ni kwa faida ya Taifa na jamii kwa ujumla haijamanishwa kutengeneza utajiri. Km umeshindwa kusoma usitafute namna ya kujustify kushindwa kwako. Isingekuwa elimu leo kusingekuwa na Computer, kusingekuwa na magari, mindegE, Kusingelikuwa na Ma-internet na vikolombwezo vyote vizuri unavyoviona. Usitake kubishana na Mungu kuwa "MTAFUTE SANA ELIMU ANGALIA USIMWACHE AKAENDA ZAKE" Acha kuwa wakala wa SHETANI

Kuna sehemu hii mada imezuia watu wasisome. Ama imeongelea elimu ya private vs ya shule za serikali? Plus kununua Assets
 
Hivi huwezi kumsomesha hio shule ya 2-5m kwa mwaka halafu ukamnunulia au ukawekeza 5m kwa mwaka? Unaweza kufanya hivyo vyote na si lazima umsomeshe Kayumba ndio uweze kufanya hivyo.
 
Hivi huwezi kumsomesha hio shule ya 2-5m kwa mwaka halafu ukamnunulia au ukawekeza 5m kwa mwaka? Unaweza kufanya hivyo vyote na si lazima umsomeshe Kayumba ndio uweze kufanya hivyo.

Ni kweli. Mada hii ni kama debate. Ime assume mtu hana uwezo wa kufanya vyote kwa pamoja. Je options ipi ni sahihi?
 
Kwangu mimi ni swali ninalojiuliza sana kuhusu wanangu, uchumi wangu sio mzuri sana je niwafanyie kipi watoto, japo nimeamua kwa kiasi flani ntawasomesha shule za kawaida though ni englissh medium, kisha ntaendelea kuwekeza kwenye assets, sababu hata tuliosoma nao walitoka mashule mazuri ila tumeajiriwa nao na salary yetu na yao ni sawa tu.
 
Ni kweli . Mada hii ni kama debate. Ime assume mtu hana uwezo wa kufanya vyote kwa pamoja. Je options ipi ni sahihi?
Tatizo la mjadala huu ni hili kuwa rigid kwamba ni lazima uchague moja, maisha hayako hivyo.
 
Pesa na elimu ni vitu ambavyo vinatakiwa viende pamoja, pesa na elimu vyote hivyo ni mfumo tu wa maisha aliyo jiwekea binadamu.

Elimu inahitaji fedha na fedha inaihitaji elimu, hivyo viwanja utakavyomnunulia mwanao vitahitaji wenye elimu kuanzia kuvipima mpaka ujenzi.
 
Vyote vinategemeana kwa upande mmoja au mwingine

Unasomaje bila Hela? elimu itakusaidia kupata hela itakusaidia kupata elimu
 
Kwa elimu yangu nilichoambulia ni kuitwa Mheshimiwa. Mheshimiwa ila mifuko mikavu balaa. Ngoja nieendelee kutombanisha mijusi tu. Fedha ndio kila kitu.
 
Kama kipato chako ni kidogo, mpeleke shule za Serikali, kwa sababu hata huko walikosoma bado tatizo la ajira ni kubwa na wanaofaidi nchi huko ni wale ambao wazazi wao walifanya kitu duniani, halafu ulipe pesa nyingi kwa mtoto ambaye hajui hata maana ya elimu na maisha, you have to invest seriously kwenye elimu y mtoto kuanzia o level kwenda juu, huku primary hakuna mantiki yoyote
 
Pesa na elimu ni vitu ambavyo vinatakiwa viende pamoja, pesa na elimu vyote hivyo ni mfumo tu wa maisha aliyo jiwekea binadamu.

Elimu inahitaji fedha na fedha inaihitaji elimu, hivyo viwanja utakavyomnunulia mwanao vitahitaji wenye elimu kuanzia kuvipima mpaka ujenzi.

Vipi kuhusu elimu ya shule za serikali vs private. Maana mada haijapinga elimu ila imesema asome shule za serikali then anunuliwe asset kwa kutumia hizo hizo milioni ambazo zingelipwa shule za private
 
Vipi kuhusu elimu ya shule za serikali vs private. Maana mada haijapinga elimu ila imesema asome shule za serikali then anunuliwe asset kwa kutumia hizo hizo milioni ambazo zingelipwa shule za private
Kumbuka kwamba Shule zinatofautiana kwa ubora kuanzia majengo,ufundishaji,vifaa na mengineyo,

Pia hapa kitu muhimu ni jitihada za Mwanafunzi ni muhimu pia,

Unaweza ukasoma Shule za ghali ila kutokana na akili yako au kutokua serious na masomo ikawa kazi bure,pia mtoto anaweza akasoma Shule za kawaida ila kutokana na juhudi zake akapata elimu bora tu,

Ubora wa Shule pia hutegemea na jitihada za Mwanafunzi,

Haya ni maoni yangu tu na sio formula.
 
Back
Top Bottom