Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wewe ndo hakuna unaloelewa.. Alaf kwanini mtu akiwa na mawazo tofauti mnamuita hater, kwanini usijibu hoja!! Ina maana hujawawahi ona post zake zimeandikwa sponsored?
Unaleta ujuaji huku hujui hata kama likes, subscribes wananunuliwa/convisiwa kuangalia video ama kulike/kufollow page husika?
Hivi nyie mnaishi dunia gani? Qwy,
Unaleta ujuaji huku hujui hata kama likes, subscribes wananunuliwa/convisiwa kuangalia video ama kulike/kufollow page husika?
Hivi nyie mnaishi dunia gani? Qwy,