Is It Possible?

Is It Possible?

April am telling you, hiyo level niliyokuwa nimeiweka I was struggling to death, sasa bado mtu ananiambia niongeze?? Hivi nyie kina baba, umuabuse mwenzi wako, including vipigo vya kila mara na bila kuangalia ni barabarani au la, umfanye atake responsibilities zako simply because anafanya kazi, na bado umdhalilishe but yeye aendelee kukuheshimu kwa kukupa nafasi ya kuja kuwaona wanao, wanao wanaumwa wewe hujui wanatibiwaje (na si kuwa huambiwi, ila ukiambiwa ndo unakata mawasiliano only to wait usikie kuwa wanaendelea vema au wamepona ndio unakuja kuwachukua kwa matembezi na show offs, hujui wanao wanakula nini, wanavaa nini sana sana ukija ukakuta wamevaa nguo ulizowahiziona unakazana kuuliza hivi hawa hawana nguo nyingine??- unatizamwa kimya bila hata kufanyiwa vurugu. Halafu bado unatoka unalalamika kuwa unaonewa ! ah kusema ukweli najiona nimekuwa malaika vya kutosha, now I need that Devil in Me, kwa kweli

.........and then bado unakuja kutuuliza kama is it possible, wacha nikupe vidonge vyako umeze au uteme, i am your brother and i have to call it like it is, HAIWEZEKANI KWA HIYO CASE YAKO NA KAMA UTARUDI HAPO UTAKUA MPUUZI WA WAHED!!

sijakutukana, nimeongea tu kama loving brother
 
MTM my bro, I deserve that kabisa! Keep ur eyes open kama ni kiboko kimenifanya niwe sugu sasa. Iam the she-devil.

....ooopppssssss! slow down bana.,..haya mambo hayahitaji jazba, hasira na kukurupuka kwenye maamuzi yake.
mwj1... huyu ni funza kwenye akili yako, na mabandiko yako mengi yanajionyesha jinsi ulivyonasa kwenye utando wa bui bui,...
tink_caught_in_web_by_brado23-d3deiz2.jpg
...
'panic buttons' hazitakusaidia kujing'amua...! Relax and conquer your demons kwanza...jikubalishe kwamba unataka na unaweza kum face off....start from there!...

angalizo muhimu;

usinitaje huko ati mbu kakufundisha...enhee, nisijegeuziwa kibao na hivi mbu nisivyo na bahati, lol...
 
....ooopppssssss! slow down bana.,..haya mambo hayahitaji jazba, hasira na kukurupuka kwenye maamuzi yake.
mwj1... huyu ni funza kwenye akili yako, na mabandiko yako mengi yanajionyesha jinsi ulivyonasa kwenye utando wa bui bui,...
tink_caught_in_web_by_brado23-d3deiz2.jpg
...
'panic buttons' hazitakusaidia kujing'amua...! Relax and conquer your demons kwanza...jikubalishe kwamba unataka na unaweza kum face off....start from there!...

angalizo muhimu;

usinitaje huko ati mbu kakufundisha...enhee, nisijegeuziwa kibao na hivi mbu nisivyo na bahati, lol...
swahiba MJ1 ni kamanda, i truly believe kwamba atanasuka tu kwenye utando huo

ingawa ni vigumu lakini she is a strong darling
 
Maty na Nyamayao, nimewaweka akiba. Siku yakinikumba ntawakodisha na mdundiko nyuma nyie mbele mie kati. MJ1 atakua mpiga picha wetu,kha!
MJ1,pole. Lakini ukaribu na huyo baba sarawili unakuchelewesha ku-move on. Jiulize unamkaribisha becoz u ar single ama hata ukiwa na mahusiano/ndoa still utamkaribisha? Kama jibu la kwanza ni applicable,it is nt worth it.
 
swahiba MJ1 ni kamanda, i truly believe kwamba atanasuka tu kwenye utando huo

ingawa ni vigumu lakini she is a strong darling

images
...inshaallah, mwenyezi mungu amtie nguvu, amzidishie ujasiri, na amfungulie kila yaliyo na heri naye soulmate wangu maskini,...!
 
Maty na Nyamayao, nimewaweka akiba. Siku yakinikumba ntawakodisha na mdundiko nyuma nyie mbele mie kati. MJ1 atakua mpiga picha wetu,kha!
MJ1,pole. Lakini ukaribu na huyo baba sarawili unakuchelewesha ku-move on. Jiulize unamkaribisha becoz u ar single ama hata ukiwa na mahusiano/ndoa still utamkaribisha? Kama jibu la kwanza ni applicable,it is nt worth it.

hahahahahah!....king'asti ulisema utaanza kupuliza wikiendi?
kwa hii post yako tu, yajionyesha kuna mahala ulinusa moshi wake...
dahhh...umenichekesha sana!
 
hehehehe,mbu bana sijaanza kulipuliza. mtm ndo alikua anipe supply kanichunia sasa sijui itakuaje. manake ukiacha si unapoteza all contacts, well mpaka friday akinichunia my petrol tank will do. hahaha

hahahahahah!....king'asti ulisema utaanza kupuliza wikiendi?
kwa hii post yako tu, yajionyesha kuna mahala ulinusa moshi wake...
dahhh...umenichekesha sana!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Biblia inakataza kabisa kabisa kuachana. Nashauri kutafuta namna ya kureconcile badala ya
hii ya kuwa na term interactions.
 
]Maty na Nyamayao,[/COLOR] nimewaweka akiba. Siku yakinikumba ntawakodisha na mdundiko nyuma nyie mbele mie kati. MJ1 atakua mpiga picha wetu,kha!
MJ1,pole. Lakini ukaribu na huyo baba sarawili unakuchelewesha ku-move on. Jiulize unamkaribisha becoz u ar single ama hata ukiwa na mahusiano/ndoa still utamkaribisha? Kama jibu la kwanza ni applicable,it is nt worth it.


hahahaha mie namuona maty kachizika zaidi aise, ntamuweka mbele yangu mie nimfate kwa nyuma,hahahah....mie nasemaje kuhusu huyu kaka kwamba kweli alipata mwanamke.....
 
hahahaha....ushachizika wewe!...
hehehe hivi haujaskia kesi watu wanavusha vitabu vitakatifu kimagendo??
halaf nimekumic wajameni, hivi msukuma sio memba wa jf?

Bek to ze topik: mapwenti yameniishia, nyie endeleeni tu
 
hahahaha mie namuona maty kachizika zaidi aise, ntamuweka mbele yangu mie nimfate kwa nyuma,hahahah....mie nasemaje kuhusu huyu kaka kwamba kweli alipata mwanamke.....

Bahati mbaya jitu lenyewe halijui...!!! Hata miongoni mwetu (wanaume) huwa kuna wakati unamwona mwanamke (mke wa mtu na jinsi alivyo star quality) unatamani kungekuwa na ruhusa ya kuhamisha line kama vile mitandao ya simu...!

Mijitu mingine walaaa, haioni kitu....Kweli kizuri ni cha mwenzio!
 
Aisee nilipoona hii nikajua mambo ya Lerionka yemerudi tena, "Is it possible to hold a spear in one hand and a book in the other"?...
 
hehehe hivi haujaskia kesi watu wanavusha vitabu vitakatifu kimagendo??
halaf nimekumic wajameni, hivi msukuma sio memba wa jf?

Bek to ze topik: mapwenti yameniishia, nyie endeleeni tu

halafu juzi kati aliniuliza swali kuhusu JF nikapotezea, soon atanibamba/ananish2kia aisee na mie ctaki bana......mic u 2 darlin!
 
halafu juzi kati aliniuliza swali kuhusu JF nikapotezea, soon atanibamba/ananish2kia aisee na mie ctaki bana......mic u 2 darlin!
hehehe Siku akiibamba paswedi yako ya JF nishtue, nisije nikajileta PM kwa mbwembwe halaf ikawa habari ya kubadilisha ID lol

Dah! hebu nisichakachue sredi ya mjukuu mtiifu, nimeskia MJ1 akikupiga laana yake hata perfume unaiskia harufu ya kinyesi.
 
Mkuu, INAWEZEKANA kabisa wazazi waliotengana kushiriki/ participate pamoja mambo ya jamii kama arusi, misiba n.k. Haya mambo tunayaona ktk jamii zetu, ndugu, marafiki, majirani hata na sisi wenyewe! Anyway suala la kuwatoa out watoto wenu, mmh, hiyo nadhani ni dalili au kiashiria cha mwanzo wa kurudiana tena.
 
Back
Top Bottom