Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?
Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.
Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.
Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.
Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.
Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.