Is it true kwamba serikali Iko answerable kwa maaskofu au maaskofu ndo wako answerable kwa serikali?

Is it true kwamba serikali Iko answerable kwa maaskofu au maaskofu ndo wako answerable kwa serikali?

Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?

Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.

Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.

Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
CCM wanachama wake ni akina nani?
 
Mnawaoverate tu. Kwani tukilifuta kanisa hili nchini kwetu itakuwaje mbona Korea kaskanlzini kiduku alilifutilia mbali
Raia wengi wa Korea Kaskazini ni wafuasi wa dini za Kienyeji na wapagani wasio na dini karne na karne, Ukristo haujawahi kushika mizizi au kuwa dini yenye ushawashi kwao.
 
Kitima alitaka kupima uwezo wa serikali ukweli kitendo alichofanya kusambaza waraka kanisani ilikua ni uhaini yaani kwamba wakatoliki waiasi serikali?
Kwamba Walutheri au Anglican au Moravian au Wasabato changanya na Waislamu wawe watazamaji tu?
Ilikua ni TEC, sio kitima
 
Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?

Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.

Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.

Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
Unawaonya wewe kama nani? Futa kanisa Catholic kama una huo uwezo. Kuna watu hamjui chochote. Mmekosa uelewa mpaka hekima, mmebakia kuropoka.

Watu wenye upeo duni mnahangaika sana na RC chuch wakati RC church halijihangaishi na watu wenye upeo na uelewa duni kama wewe.
 
Mnawaoverate tu. Kwani tukilifuta kanisa hili nchini kwetu itakuwaje mbona Korea kaskanlzini kiduku alilifutilia mbali
Tatizo una akili ndogo, na umenyimwa uelewa unabaki unabwabwaja, Korea Kaskazini mbona hakuna makanisa.

Ungekuwa una uwezo wa kuchambua mambo japo kwa weledi mdogi tu, kwanza ungejiuliza, wakati Korea kaskazini inazuia uwepo wa makanisa, kulikuwa na wakristo wangapi na makanisa mangapi nchini humo?

Unapozuia au kuruhusu kitu, ujue unawaruhusu au kuwazuia watu. Yaani uwafute watu zaidi ya milioni 30, na unaamini unaweza kufanya hivyo, lazima uwe mwendawazimu kupindukia.
 
Hamtafanya lolote m ajimwambafy tu. Kwanza Hawa mapadre wanatuharibia watoto tu. Eti huoi, lini binadamu aliyekamilika akaacha kusex. Ndo mana kitima ana wake wawili hapa Tanga na kila mtu anajua na amewazalisha wote
Umeambiwa nenda kafute haraka. Unabakia kubwabwaja. Nenda kafute mara moja.
 
Mbona kiduku aliweza kulifutilia mbali? Yaani hapa kwetu tukiweza kulifutilia mbali ndo tutaendelea vinginevyo tusahau maendeleo kwa kulikumbatia Hilo kanisa la kinafiki eti Hawaii wakati Wana t.omba kila siku
Kumbe wewe ni punguani!! Watu wamekuwa wakijibishana nawe, wakiamini ni mzima wa akili.

Pole sana kwa matatizo unayoyapitia. Magonjwa ya akili bahati mbaya, ni vigumu kupona kwa 100%, lakini kama umebakiwa na akili japo kidogo ya kufahamu namna ya kufika hospitali, uwahi mapema, kabla ya kufikia kutembea na suruali kichwani.
 
Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?

Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.

Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.

Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
Hata serikali ikizingua wananchi tunaweza kuifutilia mbali....saa miamoja zote ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]tu

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom