Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
It can be turned to Korea hakuna kinachoshindikanaHii sio korea kaskazini ndugu.
It can be turned to Korea hakuna kinachoshindikanaHii sio korea kaskazini ndugu.
Serikali ndio imejipendekeza kwao,hovyo kabisaNimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?
Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.
Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.
Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?
Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.
Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.
Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
It can'tIt can be turned to Korea hakuna kinachoshindikana
Jaji Huwa anamuapisha rais ila yupo chini yake na anaweza kumuondoa akizinguaKama unaapa kwa kushika Biblia au Msahafu uko chini yao hakuna namna 😂
Katiba ya Nchi yako inasemaje?Nimeona nyuzi nyingi watu wakionesha hasira as if serikali Iko answerable kwa TEC. Hivi hamjui kwamba TEC wakizingua serikali inaweza kulifutilia mbali hata kanisa lenyewe?
Nendeni kwa kiduku kule Korea kaskazini muone ubabe wake, hamna kanisa hata moja kule especially hata imported.
Kwanza TEC wamshukuru mungu hata kuruhusiwa tu kuandika waraka na kuusambaza. Yaani ule waraka ilikuwa kama uhaini kabisa mana walitaka serikali ichukiwe na finally ipinduliwe.
Sasa nawaonya tena TEC kwamba serikali ni lijitu likubwa sana wasitunishane na serikali wataumia wao.
Hahaha..Changamoto ya akina mama wa UWT 99% hawana akili kama huyu
Jaji hamuapishi Rais bali anamuongoza kula KiapoJaji Huwa anamuapisha rais ila yupo chini yake na anaweza kumuondoa akizingua
Ni formality tu. Na ujue kwamba mungu ni WA wote na siyo kwamba ameshikiliwa na Hawa maaskofu kwamba Wana uwezo wa kumwachia au kumshikila. Huu ni utaratibu wa kijinga tu na tuliamua kuwa hako la previlege tu ila wasipoangalia tutawanyanganya na hakuna kitakachoharibika. Mwanajeshi anaweza kufanywa askofu anytimeJaji hamuapishi Rais bali anamuongoza kula Kiapo
Rais anaapa mbele ya Mungu na mbele ya Katiba ya Nchi
Muwe mnaelewa!
Unauliza Vita Gaza?Ni formality tu. Na ujue kwamba mungu ni WA wote na siyo kwamba ameshikiliwa na Hawa maaskofu kwamba Wana uwezo wa kumwachia au kumshikila. Huu ni utaratibu wa kijinga tu na tuliamua kuwa hako la previlege tu ila wasipoangalia tutawanyanganya na hakuna kitakachoharibika. Mwanajeshi anaweza kufanywa askofu anytime
Wa hivi wanakuwaga wajaneHahaha..
Ukute huyu naye ana mume kabisa na watoto juu, halafu ni jinga
Good, elimu nzuri kwa wanawake wenzio wa UWT, waige mfano wakoJaji hamuapishi Rais bali anamuongoza kula Kiapo
Rais anaapa mbele ya Mungu na mbele ya Katiba ya Nchi
Muwe mnaelewa!
Chadema InformerGood, elimu nzuri kwa wanawake wenzio wa UWT, waige mfano wako