Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

Tafuta usajiri wa hiyo dreamliner, halafu nenda mtandaoni tafuta iko wapi, utaona kila kitu.
Siku hizi hata husikii tena juu ya DREAMLINER sijui imekwenda CHINA haijarudi!!!! Mwenye taarifa ya DREAMLINER tafadhali atujuze kwani hata pale JNIA ilipokuwa inapark haionekani tena. Wananchi tuna haki ya kujua kwani hela yetu nyingi sana imetumika kununua lile dege!
 
Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat? Watz nataka jibu.

====

“Airbus iliyokuja juzi shughuli zote zilisimama, leo hatuelewi kwamba hadi sasa imezalisha shilingi ngapi? Zipo taarifa inaonekana inabeba nyama kutoka Mwanza, tunataka tuambiwe kwa sababu
zimenunuliwa na fedha za Watanzania."- Mbunge Devota
Minja akihoji ilipo Airbus ya ATCL
View attachment 1063874
Watu mna akili za kipuuzi sana,utangaziwe kila kitu kikusaidie nini mtu mwenye akili kama hii?kuna siku Magufuli mtamkumbuka,juhudi ya muda mchache zinaonekana lakini eti mnaponda kwa mapenzi ya vyama vya siasa.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Tz ni full commedy show(Nchi ya viwonder) yani nikiingia humu ni kama niko Churchill show. joto la jiwe 😀😀😀😀 Jichekelee kiasi usizeeke mapema kwa huzuni na kuirushia KQ mashida ya kwenu kwani hata hizo 3 hazibebi minofu 😀😀
 
Tz ni full commedy show(Nchi ya viwonder) yani nikiingia humu ni kama niko Churchill show. joto la jiwe 😀😀😀😀 Jichekelee kiasi usizeeke mapema kwa huzuni na kuirushia KQ mashida ya kwenu kwani hata hizo 3 hazibebi minofu 😀😀
Kabla ya ATCL kununua hizi ndege, KQ na Emirates ndizo zilizokua zinabeba nyama ya Tanzania kwenda Dubai. Sasa hivi hii cargo haipo tena, tegemeeni kupata hasara zaidi, endeleeni kubeba maua ambayo sio mazito hivyo hayalipi sana kwa KQ. teh..teh...teh...teh...teh..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwhyo hyo mbunge kuongelea hilo swala tz one hajui kitu wewe ndio unajuwa zaidi...unatuletea vitu vya kijinga hapa..kwhyo nyinyi mnajua kuliko huyo mbunge...bwahahaaa
Yule mbunge anajua nini sasa, ni wale wabunge wapo kwa ajili ya kuwaburudisha wakubwa kuondoa uchovu mida ya jioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani anamaanisha kwamba, pamoja na KQ kuwa hewani kwa zaidi ya miaka 40, lakini inamiliki ndege 3 pekee, na inaendelea kutengeneza hasara year in year out.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujiliwaza na hiyo chorus yako, kwenye umiliki wa ndege KQ sio saizi yenu.
tapatalk_1552293334614-jpeg.1053964
 
Jf imempa ban JPM na madege sasa yanaanza kuwa meat van. Soon palace itaitwa makumbusho kwake
 
Siku hizi hata husikii tena juu ya DREAMLINER sijui imekwenda CHINA haijarudi!!!! Mwenye taarifa ya DREAMLINER tafadhali atujuze kwani hata pale JNIA ilipokuwa inapark haionekani tena. Wananchi tuna haki ya kujua kwani hela yetu nyingi sana imetumika kununua lile dege!
Mbaya zaidi, we pay cash
 
Siku hizi hata husikii tena juu ya DREAMLINER sijui imekwenda CHINA haijarudi!!!! Mwenye taarifa ya DREAMLINER tafadhali atujuze kwani hata pale JNIA ilipokuwa inapark haionekani tena. Wananchi tuna haki ya kujua kwani hela yetu nyingi sana imetumika kununua lile dege!
Haters mwakani tunapokea dreamliner nyingine,hata roma aikujengwa siku 1
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom