Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

Bunge kila kitu hata huyu amejua ndege zenyu mmeuza Kenya, hamna abiria.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anahoji hana uhakika na ilipo ndege, ila mbunge wenu alitoa taarifa za uhakika kwamba KQ ina ndege 3 pekee, na serikali ya Kenya haijakanusha, hivyo hii taarifa imeingizwa katika kumbukumbu za Bunge kwamba ni taarifa halali za bunge la Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huyo wenyu ametoa taarifa ya uhakika, wewe umekodoa macho hapo Tandale anabishana kitu hujui.
Huyo anahoji hana uhakika na ilipo ndege, ila mbunge wenu alitoa taarifa za uhakika kwamba KQ ina ndege 3 pekee, na serikali ya Kenya haijakanusha, hivyo hii taarifa imeingizwa katika kumbukumbu za Bunge kwamba ni taarifa halali za bunge la Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A220 ilishauzwa kitambo don't even bother yourself dreaming about it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zingine zipo njiani zinakuja, sisi tunanunua by Cash, ninyi tunawauzia kwa mkopo kwasababu nchi yenu ndio baba wa madeni. Pesa yetu ya nahindi tuliyowauzia 2014 hamjalipa, mnataka ndege yetu mpya kwa mkopo, tutawatia mimba msipokua makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zingine zipo njiani zinakuja, sisi tunanunua by Cash, ninyi tunawauzia kwa mkopo kwasababu nchi yenu ndio baba wa madeni. Pesa yetu ya nahindi tuliyowauzia 2014 hamjalipa, mnataka ndege yetu mpya kwa mkopo, tutawatia mimba msipokua makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta link enye inainyesha bado haijalipwa? On other news, Urogi nation is the only country being given donations by fellow East African country.
KAZUNGU-DONATE.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ni kweli na kuna uhaba wa transport ya nyama na inalipa kwanini wasingenunua cargo air plane ?
 
Back
Top Bottom