Is Mufuruki suffering the colonial legacy or nobility syndrome?

Is Mufuruki suffering the colonial legacy or nobility syndrome?

Wewe endelea kulia lia eti kasichana wakati ameaminiwa na big company.... Watu siku hizi wanataka mtu anayeweza ku deliver na pia ambaye tayari ameonyesha wonders in related business.
Kame deliver wapii! Unaweza kudeliver kwa theory! We vipi? Kamtu kanaletwa kufanya sabotage we unasema delivery! Mawazo kama haya ndo yanamfanya huyu mzembe adhalau elimu yetu nini?
 
Kame deliver wapii! Unaweza kudeliver kwa theory! We vipi? Kamtu kanaletwa kufanya sabotage we unasema delivery! Mawazo kama haya ndo yanamfanya huyu mzembe adhalau elimu yetu nini?
Safaricom.... Uliza kingine.
 
How many many do you want? 1 million? a half ...... Many is immeasurable!

Same as saying sufficient; while it is immeasurable suggests ready availability. And the opposite holds true.
 
Hili la kuchukua mtu mwenye kadegree kamoja tena ka sayansi na mapishi ya chakula na ndio awe CEO wa Vodacom ilikuwa ni kujilipua sana. Kuna maelfu ya Watanzania wenye qualification hiyo tena na zaidi. Bodi ya uajiri ya Vodacom walijiandaa kushindwa kabla mchezo haujaanza, maana sasa hivi kupata kibali cha kazi kwa sifa za kawaida kabisa kama za huyu binti ni ngumu sana.

Sidhani kama mtanzania mwenye CV ya hivi angeweza hata kuwa mkuu wa kitengo kwenye shirika kubwa huko Kenya!!!
 
Hili la kuchukua mtu mwenye kadegree kamoja tena ka sayansi na mapishi ya chakula na ndio awe CEO wa Vodacom ilikuwa ni kujilipua sana. Kuna maelfu ya Watanzania wenye qualification hiyo tena na zaidi. Bodi ya uajiri ya Vodacom walijiandaa kushindwa kabla mchezo haujaanza, maana sasa hivi kupata kibali cha kazi kwa sifa za kawaida kabisa kama za huyu binti ni ngumu sana.

Sidhani kama mtanzania mwenye CV ya hivi angeweza hata kuwa mkuu wa kitengo kwenye shirika kubwa huko Kenya!!!

Tatizo la Watanzania ni kuthamini vyeti. Ndio maana mnafukuza watu competent (kwa kuwa hawana vyeti japo wana-deliver) na kuajiri incompetent (kwa kuwa wana vyeti haijalishi wali-cram au kuiba mitihani). Matokeo yake ndiyo haya yanayoonekana sasa, blunder after blunder after blunder.
 
Hili la kuchukua mtu mwenye kadegree kamoja tena ka sayansi na mapishi ya chakula na ndio awe CEO wa Vodacom ilikuwa ni kujilipua sana. Kuna maelfu ya Watanzania wenye qualification hiyo tena na zaidi. Bodi ya uajiri ya Vodacom walijiandaa kushindwa kabla mchezo haujaanza, maana sasa hivi kupata kibali cha kazi kwa sifa za kawaida kabisa kama za huyu binti ni ngumu sana.

Sidhani kama mtanzania mwenye CV ya hivi angeweza hata kuwa mkuu wa kitengo kwenye shirika kubwa huko Kenya!!!
Sisi Tulijua tu mara moja. Kangekuja na viatu virefu na kujidai mizunguko ya hapa na pale bila ufanisi. Lengo ilikuwa ni kuimaliza Vodacom na kutuletea Safaricom. Sasa eti huyu anayejiita 'succeful' analaumu kwa kutumia vijineno vya kiingereza. Na mimi narudia, kwa sifa za nyuma za mtu huyu, lazima alikuwa pamoja na Wakenya ktk njama hizo.
 
Tatizo la Watanzania ni kuthamini vyeti. Ndio maana mnafukuza watu competent (kwa kuwa hawana vyeti japo wana-deliver) na kuajiri incompetent (kwa kuwa wana vyeti haijalishi wali-cram au kuiba mitihani). Matokeo yake ndiyo haya yanayoonekana sasa, blunder after blunder after blunder.
Siyo Tatizo la TZ ni Dunia nzima. Huwezi kuingia Hospitali ukasema una ufanisi wa kazi ya tiba bila cheti! Huwezi kuleta nesi achore jengo kwa sababu ya ufanisi wake sijui wa wapi!
 
Hili la kuchukua mtu mwenye kadegree kamoja tena ka sayansi na mapishi ya chakula na ndio awe CEO wa Vodacom ilikuwa ni kujilipua sana. Kuna maelfu ya Watanzania wenye qualification hiyo tena na zaidi. Bodi ya uajiri ya Vodacom walijiandaa kushindwa kabla mchezo haujaanza, maana sasa hivi kupata kibali cha kazi kwa sifa za kawaida kabisa kama za huyu binti ni ngumu sana.

Sidhani kama mtanzania mwenye CV ya hivi angeweza hata kuwa mkuu wa kitengo kwenye shirika kubwa huko Kenya!!!
CEO wa Safaricom hana degree bosi. Kutumia kigezo cha ELIMU inatufanya tushindwe kuona picha kubwa
 
Siyo Tatizo la TZ ni Dunia nzima. Huwezi kuingia Hospitali ukasema una ufanisi wa kazi ya tiba bila cheti! Huwezi kuleta nesi achore jengo kwa sababu ya ufanisi wake sijui wa wapi!

Sir Alex Ferguson anafundisha Business Management (Sports Psychology) universities kadhaa. Ana degree ngapi? Bill Gates ana degree ngapi? Unaweza kuwalinganisha hao wawili na dr jiwe kwa ufanisi?
 
Katika maarifa huwa wanasema kuna wale wanaojua maarifa fulani na kuna wale wanaoujua kutumia maarifa waliyonayo. Kuwa na maarifa hakumaanishi kwamba unajua kuyatumia hayo maarifa. Kujua jinsi ya kuwamobilize watu wenye maarifa nayo ni moja ya sifa za kiongozi mzuri kwenye corporate world regardless ya background yake kielimu. Elimu inaweza kukufanya ukajua lakini ukashindwa kujua kutumia unachojua. Sifa moja kubwa ya kuwa change agent kwenye corporate world ni uwezo wa kujenga trust kwa wale wanakutazama na kuwafanya wawe inspired na mawazo bunifu unayoyaleta sababu wanaona kila unachosuggest kinaifanya kampuni izidi kunawiri. Trust haijengwi na elimu ya darasani bali yale ambayo tayari umeyafanya kwa nafasi uliyopewa (track record). Lazima uoneshe umahiri katika kidogo unachokisimamia ili uweze kuaminiwa kwa majukumu makubwa zaidi. Mfano, je ulivyokuwa head of Marketing or product development katika organization yako, kitengo ulichoongoza kilileta mambo gani mapya au yenye tija yaliyongeza ufanisi na pengine kuongeza mapato ya kampuni? Kwa hiyo kuwa na degree ya Telecomunication Engineering hakukufanyi wewe kuwa mtu sahihi kuongoza kampuni ya simu. Je una kiwango gani cha ubunifu? Je unapopaongoza pameonesha ubunifu wa kiwango gani. Ukitaka kufanikiwa kuwa kiongozi mzuri kwenye corporate world unahitaji asilimia 15-20 ya technical skills, asilimia zilizobaki ni soft skills. Soft skills zinajumlisha skills za ku handle watu. How do you inspire people working under you to bring the best out of themselves? Lazima uwe na hiyo track record na si vyeti va darasani. Business world inataka mtu very sharp na mwenye maono, anayeweza kuwahandle watu wake wakaleta best products kwenye market. Soft skills ni muhimu sana ndo maana college drop outs kama kina Zuck wamefanikiwa not because of their technical expertise but their ability to lead their companies to the right direction.
 
Huyu jamaa ndo wale wanakuibia baadae anakuita fala,hafai
Roho ya kukosa.Tatizo la Wabongo kuwa na chuki dhidi ya walio nacho kuwazidi.Angekuwa mzungu au mwarabu husikii kashfa akiwa tajiri zaidi ya kumpamba kwa misifa kedekede.Acheni Roho korosho
 
Roho ya kukosa.Tatizo la Wabongo kuwa na chuki dhidi ya walio nacho kuwazidi.Angekuwa mzungu au mwarabu husikii kashfa akiwa tajiri zaidi ya kumpamba kwa misifa kedekede.Acheni Roho korosho
Hakuna mtu anayemuonea wivu,hapa tutema fact!,chanzo cha ukwasi ni pesa iso halali ikaendelezwa
 
Hakuna mtu anayemuonea wivu,hapa tutema fact!,chanzo cha ukwasi ni pesa iso halali ikaendelezwa
Nasisitiza hayo ni mawazo ya kimaskini ndugu yangu.Tunayo waswahili tu.Unahalalisha umaskini wako kwa kusagia walio nacho.Hilo halikusaidii kabisa.
 
Kama Kiingereza ulichoandika na cha wahitimu wengi wa sasa ni kigezo, Mufuruki may be justified.

Na jinsi ulivyomsifia, mtu ambaye kayumba mpaka kumsifia jiwe kisiasa saaana tu, wakati tulijua jiwe atamnyuka huyu malaika naye aishi kama shetani, halafu akamnyuka kweli, unaonesha sio wewe tu hujielewi.

Sio tu hao wahitimu wetu wengi hawana sifa.

Hata Mufuruki mwenyewe ni kati ya wale wale wasio na critical thinking ya kusoma mchezo na kujua huyu jiwe hana akili nzuri na si mtu wa kumshabikia.

Sasa huyo ndiye veteran wa enzi ya Nyerere, chairman wa CEO Roundtable.

Hao Johnny come lately watakuwaje?

Mufuruki alivyomshadadia jiwe nilimshngaa sana.

Serikali ya jiwe ilivyomnyuka mpaka akalalamika nikamsikitikia sana.

Lakini nikasema it serves him right for being "bendera kufuata upepo".

Huyu na Reginald Mengi wananishangaza sana
 
Huyu na Reginald Mengi wananishangaza sana
Kivipi mkuu?

I know the guy personally. Perhaps far too well. There are English sayings about familiarity bringing contempt and advise on how to not get too acquainted with your heroes (maybe that's why the British have a reputation for having such tight upper lips).

I think he sacrificed his integrity in the expectations of being in favor of the powers that be, only to look like a fool because the powers that be have more shouts of "we're the craaaziest" than a certain Naughty by Nature hit from the nineties.
 
Sir Alex Ferguson anafundisha Business Management (Sports Psychology) universities kadhaa. Ana degree ngapi? Bill Gates ana degree ngapi? Unaweza kuwalinganisha hao wawili na dr jiwe kwa ufanisi?
Una kiwewe, huna hoja!
 
Una kiwewe, huna hoja!

Kama kawaida yenu. Mnajijua kuwa nyie ni mbumbumbu, so you'll do all you can to avoid responding to real issues huku mkiendelea kujidanganya na kwa kujisifia you are "the right track" as if blunders zenu zitabadilika kuwa ukweli.
 
Business leadership si kitu cha utani tani hasa kama unatafuta a visionary leader who is expected to set a new direction for the company. Unaweza kupata managers wa kutosha lakini kupata leaders ni ngumu maana hao ni rare specie. Leaders who can disrupt status quo are not easy to find. Na pia leaders hawapimwi kwa kiwango cha elimu. CEO wa Safaricom sidhani kama amemaliza hata chuo, mtanisahihisha kama nimekosea. So I can understand Mr Mufuruki's furstrations to some extent. Such positions should not be restricted by a sense of nationality if you want to get a pool of best candidates. Naomba tusome vitabu vya Richard Branson kuona how he sometimes picks people to head Virgin's subsidiaries. Muda mwingine inabidi ulete mtu tofauti ili kubadilisha culture ya kampuni. Vitu vinabadilika, ushindani unaongezeka, kwa hiyo kuchukua tu mtu sababu ni manager na kigezo cha uzawa vinaweza fanya mkashindwa kukua.

Sekta ya Telcos inazidi kuwa ngumu. Kutegemea Data na Voice pekee inaweza isiwe na future kubwa. Kwa mtazamo wangu labda walimchukua Sylivia kwa kuangalia ambacho amefanya akiwa Safari com. Safaricom wapo vizuri sana upande wa innovation. Ukiangalia trend ya product mpya za safari com zimejikita kwenye content na huko ndo kwenye future. Mfano wana music app inaitwa Songa na pia wameingia kwenye social network.

Tunahitaji kujitathmini kwa kweli. Hili jambo lipo reflected kwenye mambo mengi. Mfano recent kumekuwa na hela nyingi kwenye mambo ya innovation lakini tatizo vijana wetu wengi hawana soft skills. Kwa hiyo tusiishi kwenye denial kuna tatizo kubwa. Kwani kinachofanya tusite site kwenye EAC ni nini? Ni kwamba our people are not ready kushindana na wenzetu hasa wakenya. Kwa hiyo tuyafanyie kazi madhaifu yetu badala ya kuhudhunika. Negative feedback is heart breaking lakini kuna muda inabidi tu tuambiane ukweli tusioneane aibu. Tufanye kazi kwa bidii na tuwe wabunifu. Nazisisitiza ukitaka uonekane kama kiongozi mzuri sehemu unayofanya kazi, acha kufanya kazi kwa mazoea, kuwa mbunifu. Pia wahimize waliochini yako wawe wabunifu na wape nafasi ya kuonyesha vipaji vyao. Tutafika tu taratibu. Tuchukulie haya yote kama ni changamoto ili tuwe bora zaidi.
Huijui EAC.Jipe nafasi ya kusoma au hata kusikiliza hali ay EAC. Ukitaka kujua kwa nini TZ inasita ktk maamuzi ya EAC, jiulize mwenyewe kwa nini TZ hiyo hiyo inaongoza vizuri ndani ya SADC!
 
Kama Kiingereza ulichoandika na cha wahitimu wengi wa sasa ni kigezo, Mufuruki may be justified.

Na jinsi ulivyomsifia, mtu ambaye kayumba mpaka kumsifia jiwe kisiasa saaana tu, wakati tulijua jiwe atamnyuka huyu malaika naye aishi kama shetani, halafu akamnyuka kweli, unaonesha sio wewe tu hujielewi.

Sio tu hao wahitimu wetu wengi hawana sifa.

Hata Mufuruki mwenyewe ni kati ya wale wale wasio na critical thinking ya kusoma mchezo na kujua huyu jiwe hana akili nzuri na si mtu wa kumshabikia.

Sasa huyo ndiye veteran wa enzi ya Nyerere, chairman wa CEO Roundtable.

Hao Johnny come lately watakuwaje?

Mufuruki alivyomshadadia jiwe nilimshngaa sana.

Serikali ya jiwe ilivyomnyuka mpaka akalalamika nikamsikitikia sana.

Lakini nikasema it serves him right for being "bendera kufuata upepo".
Kumbe naye alinyukwa?,inaonekana kuna malaika wengi wanafinywa kimya kimya nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom