Is our president serious?

sasa Kelly which is which?lugha ndiyo hicho chombo cha mawasiliano ambacho skills zake ni speaking,reading,writing and listening.unaposema tatizo siyo lugha ni communication skills yaani sikuelewi unamaanisha nini.

Namaanisha both nilianza na lugha alafu nikaona kuwa not only lugha bali ni kila kitu that is why nikamalizia kwa kusema communication skills zake ni poor.
 
Halafu nashindwa kabisa kuelewe watu waliona nini/ kipi kwa Kikwete kiasi cha watu kuzimia na kupagawa! Really...what did they see in him?
 
just curious wakuu:hivi rais angekuwa sumaye tena kabla hajaenda havard kwenye mijadala kama hii ingekuwaje??

Ingekuwa haya haya tunayoyashuhudia sasa....heheheheheheee
 
Kama kuna mshauri wake anaingia huku anasoma inabidi ajaribu kusoma vizuri ushauri wa tu and take into consideration na ikiwezekana aweze kurekebisha mapungufu yake...
 


Kikwete akijaribu kutoa jibu la jinsi ya serikali inavyofanya kuvutia wawekezaji/uwekezaji katika mazingira haya ya kiuchumi.

Mtangazaji ambaye alikuwa kama mwalimu darasani:




 
Mara nyingine kinachowafanya watu waamue siyo kile wanachokiona, bali kile wasichokiona.

Kikwete was a do nothing minister, hivyo hakuwa na chance ya kuji expose, na watu ambao hawakufanya naye kazi hawakumjua. Alipanda ngazi si kwa merit, bali kwa kujifanya mtoto mzuri asiye makuu, mtu wa watu, mtoto wa mjini etc.

Sasa tunaona.
 
just curious wakuu:hivi rais angekuwa sumaye tena kabla hajaenda havard kwenye mijadala kama hii ingekuwaje??

Ingekuwa haya haya tunayoyashuhudia sasa....heheheheheheee
 
mi nilifikiria muzee hapo zaidi yakuwepo kwa hiyo policy angezungumzia, amani?? ujenzi wa barabara, energy like electricity kuwepo, cheaply na readily available, railway network ambayo sasa tume privatise na ipo efficient kuliko ilivyo kuwa ??? ticts ??/. kuwa na wafanyakazi competent especially if paid appropriately, hivi ndio basic vichocheo vya investment
 


acha ku spin mkuu.ni katika mjadala gani Mr.Pesident alishawahi kutoa majibu mazuri?walau Mkapa kwenye hizi economic forums alikuwa anatoa majibu mazuri tena ya uhakika.hilo halina ubishi pamoja na madudu yote aliyofanya.
embu ona hii hapa:[ame=http://www.youtube.com/watch?v=R8CF4EoXjD0]YouTube - Davos Annual Meeting 2005 - Funding the War on Poverty[/ame]
 
Sijui kama ni lugha tu au nini! Hakujiandaa vizuri na huo mdahalo mzito..
 
P53,
Mkuu heshima mbele...
Sio swali la ku spin unless wewe pia hukuelewa kilichoulizwa.. Sasa wewe unayefikiria unajua tuambie ungejibu kitu gani?...
I bet, utazidi ku prove Miafrika ndivyo Tulivyo!..
 
Ni lugha, uwezo wake binafsi, maandalizi mabovu, hakuna serikali yake inachofanya au ilichofanya cha kujivunia (kitu ambacho wanaweza wakanyooshea kidole na kusema we accomplished that)....na worse zaidi...Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
 
Hivi mmeona hapa JK (wa nne kutoka kulia) alivyonyoosha mkono kizushi. Ananikumbusha mambo ya skuli. Unanyoosha mkono ili mradi uonekane humo (wakati kumoyo unaomba mwalimu asikuchague).....gademu!!

 
P53,
Mkuu heshima mbele...
Sio swali la ku spin unless wewe pia hukuelewa kilichoulizwa.. Sasa wewe unayefikiria unajua tuambie ungejibu kitu gani?...
I bet, utazidi ku prove Miafrika ndivyo Tulivyo!..


Yaani unaniweka katika nafasi moja na JK?Mkuu taratibu mkuu!mimi nafasi moja na JK mwenye uzoefu wa miaka chungu nzima serikalini,katika siasa na uongozi.Nafasi moja na mtu aliyewahi kuwa luteni kanali,naibu waziri nishati,waziri fedha,waziri wa mambo ya nje kwa miaka kumi... sasa ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa miaka 3.unataka kumfananisha na mimi?mkuu haya ni masihara sasa!
 
Hapana siyo mbong😵riginally from Sierra Leone ila kazaliwa na kuishi sana UK.

She is cute! Ana confidence du!

Confidence inakuja na knowledge hiyo, ukijua unachozungumza, ukijua kukizungumza halafu ukiwa na uzoefu confidence rahisi sana kuwepo.

Sasa kama mayai hayapandi, uchumi haupandi, communication skills hazipandi unafikiri confidence itatoka wapi?
 
Hivi mmeona hapa JK (wa nne kutoka kulia) alivyonyoosha mkono kizushi. Ananikumbusha mambo ya skuli. Unanyoosha mkono ili mradi uonekane humo (wakati kumoyo unaomba mwalimu asikuchague).....gademu!!



Umeniacha hoi, yaani kama ulikuwa akilini kwake, Mara Aisha akaanza naye, mtumee....
 
Halafu hii habari ya kunyoosha mikono iko very sensitive, yaani swala lenyewe alilouliza ilibidi wakuu kwanza wakae cabinet meeting wa discuss foreign policy ya Tanzania inasemaje kuhusu hili swali halafu wanyooshe au wasinyooshe mkono according to foreign policy yetu inavyosema, siyo swali personal, sasa huyu mdada kawachota limekuwa personal.

Sometimes I think she was not only confident, but over confident, which is not a compliment by the way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…