Is our president serious?

Is our president serious?

kiranga, i think that was a joke! Sidhani kama kikwete alimaanisha kuwa amempatia aisha zawadi ya tanzanite. If anything, alimaanisha kuwa isha should buy some before leaving the country. Ndivyo nilivyoelewa.

katika mkutano wowote lazima kuwe jokes kidogo to easy the tension
 
mkuu kiranga,


mi mwenyewe nilivosikia hilo la kunyosha mikono nikasema eh! Hivi haka 'katoto' kanaweza kuwaaambia watu wazima wanyoshe mikono ki hivi, hata kama ni kwenye mkutano?

alivyosema watu wanyooshe mikono ni kuchangamsha kikao wewe vipi,
hapo ni kazini hamna mambo ya haka katoto

content matters and not age
 
I guess even Bob Gendolf did not understand the question. She rephrased the question by asking what are you doing different to encourage investors. Did you hear Bob talking about commercial courts etc and how no one would bring their cash to invest in Tanzania if their assetts are not safeguarded. All these is having right policies. He even went emphasizing on Land property rights, ports and thats where he held kikwete on Task. If you live in Tanzania and you follow up on the investment procedures, you will understand my emphasis on adequate policies. One of the biggest complains by TIC is our investment policies. No investor with their right mind would want to invest in such level of inefficiency. Take a look at the Dar port utaona wht I suggest reforming our own policies and look at what is not working. Actually this is a time for Africa to sell itself to private sectors, thats why revisiting our policies is importantso I am sorry you do not seem to agree with what I am saying. I am done and there is no way I can convince you otherwise.

Sorry mimi nimechemsha, how about you giving us your take on the question?
 
Tazama ndugu Mkapa akiongea kwa ufanisi zaidi ya mh JK bila kigugumizi.
Tazama kuanzia 0:32:32

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=R8CF4EoXjD0]YouTube - Davos Annual Meeting 2005 - Funding the War on Poverty[/ame]

Tazama pia kuanzia 0:52:00 uone jinsi Bi Sharon Stone alivyoanzisha harambee ya chap chap kwa ajili ya Neti za Mkapa. In 3 mins she raised 100,000 USD.
 
alivyosema watu wanyooshe mikono ni kuchangamsha kikao wewe vipi,
hapo ni kazini hamna mambo ya haka katoto

content matters and not age


Mkuu Semilog,,

content sawa, lakini na context je?

nadhani utakuwa umesoma michango ya wenzangu waliyotoa kuhusu umuhimu wa kuwa na one foreign policy na collective responsibility....kama hapo unaona mkullo kauchuna JK kanyoosha mkono...tayari ni embarrassment, mwandishi alitakiwa ajue kuwa swali hilo sio muafaka kwa hadhira ile!

kuna namna nyingi za kuchangamsha kikao sio lazima kunyosha mikono...hayo mambo ni ya kwenye semina zetu hizi (nasikia Pinda kazikataza)
 
The president looked more interested to the facilitator(the lady) yaani anaoffer Tanzanite stone sijui ya ujazo gani so cheaply!! other than any one else, ndo maana nasema hata CCM watusaidie kwa kumuheshimu Mwl.JKN wamwambie ukweli Rais Kikwete kwamba kipindi alichotumikia watanzania kinatosha!! upeo wake na tafsiri yake ya mambo ni mdogo ndo maana ukizungumzia Richomond au Dowans au mkutano kama huu haoni umuhimu wa kujua anasema nini, na wakati gani !!!!kama ktk huu mkutano hapa hata Mkapa angeshinda (pamoja ni mwizi kama kweli yanayosemwa maana wanamtandao waliwamwita Dr. Salimu mwarabu wa Oman!!) hivi unaulizwa wakati wa criss utafanyaje wewe unajeka.!!! na huyu ni baba wa nchi , Mungu ibariki Tanzania!! soma Biblia kuhusu Joseph alivyoitwa mtu wa maana wakati wa criss ya Misri ,Ukosefu wa chakula
 
alivyosema watu wanyooshe mikono ni kuchangamsha kikao wewe vipi,
hapo ni kazini hamna mambo ya haka katoto

content matters and not age

Huyo dada aliuliza lile swali kutokana na maelezo ambayo Jeffrey Sachs alikwishayatoa kwenye mkutano huo. Hivyo alikuwa anauliza kama wanakubaliana na mawazo ya Jeffrey Sachs. Na hapo utaona Kikwete anakubaliana na Mkullo hakubaliani (kwa kunyoosha mikono). Kwa hiyo halikuwa swali la policy formulation bali lilikuwa swali la kuweka uwanja tayari kwa ajili ya majadiliano na mazungumzo.
 
we didn't throughly grill our president during the campaign. we should have known how poor a communicator he is.

i know CCM hawapendi wazo la midahalo ya wagombea kiti cha rais [hata ndani ya chama chao pasipo kupambanisha wapinzani], sababu kubwa ya kuchukia huo utaratibu ni kutaka tuongozwe na dumb candidates kama huyu anayeishia kubabaisha mbele ya macho ya walimwengu.

nakubali kukosolewa, lakini kwa rais kama huyu tunadanganyana kudhani nchi inapiga hatua za kutosha kwenda mbele.shukran kwa aliyetuwekea link

naamini kuwa kujibu maswali peke yake siyo sifa za rais anayeongoza vizuri nchi yake, lakini huyu wetu bomu!!
 
we didn't throughly grill our president during the campaign. we should have known how poor a communicator he is.

i know CCM hawapendi wazo la midahalo ya wagombea kiti cha rais [hata ndani ya chama chao pasipo kupambanisha wapinzani], sababu kubwa ya kuchukia huo utaratibu ni kutaka tuongozwe na dumb candidates kama huyu anayeishia kubabaisha mbele ya macho ya walimwengu.

Kine ulichosema ni kweli kabisa. Nakumbuka wakati wa kampeni ni gazeti la Annur peke yake ambalo lilitoa katuni ya JK akikimbia mdahalo na kipanya wa Annur akisema kaka unakimbia mdahalo kuongoza nchi siyo mchezo. Kwa hiyo mdahalo ni muhimu. Lakini suala la muhimu ni kuwa na demokrasia pana zaidi katika vyama. Hawa wagombea wa CCM na vyama vingine walichaguana kwenye mikutano yao mikuu na wala hawakupigiwa kura na wanachama wote. Ingekuwa vizuri wangepita kwenye matawi wakajieleza na wakapigiwa kura na kwenye mkutano mkuu inakuwa kumtangaza aliyeshinda na kisha kumkabidhi kwa Umma. Kitu cha pili ni kwamba waandishi wetu ni washabiki mno wa watu. Kama 2005 waandishi wangeacha ushabiki, basi tungempa wakati mwafaka rais kujiandaa kwa mambo makubwa zaidi. Rais Kikwete alishabikiwa mno na hivyo ni kama alidekezwa na media yetu. Matokeo yake anatuangusha kila anapohojiwa na vyombo vya nje
 
Huyo dada aliuliza lile swali kutokana na maelezo ambayo Jeffrey Sachs alikwishayatoa kwenye mkutano huo. Hivyo alikuwa anauliza kama wanakubaliana na mawazo ya Jeffrey Sachs. Na hapo utaona Kikwete anakubaliana na Mkullo hakubaliani (kwa kunyoosha mikono). Kwa hiyo halikuwa swali la policy formulation bali lilikuwa swali la kuweka uwanja tayari kwa ajili ya majadiliano na mazungumzo.

Mkodoleaji,

Hili ni swali la kumuuliza mtu mmoja mmoja, si swali la kuwauliza watu mkutano mzima wanyooshe mikono, halafu mtu kama Prof. Sachs anaweza kulijibu swali hili bila controversy kwa sababu yeye ni academic, kina Kikwete wao ni representative wa nchi kwa hiyo kama wanaulizwa swali hili basi iwe in a one on one session, sasa Tanzania tuna foreign policy moja tu, iweje Waziri wa Fedha na rais watofautiane? Ina maana kuna mmoja hapo hafuati foreign policy.Hili ni swali na kuuliza mtu mmoja mmoja likafuatiwa na maelezo, si swali la kuuliza ukumbi mzima na kuwafanya watu kama watoto wa darasa la kwanza. Ki itifaki huyu dada alichemka kuuliza swali sensitive la foreign policy, ambalo lilihitaji jibu refu sio tu la whether Washington still leads, but why and how the answer is what it is.
 
Mkodoleaji,

Hili ni swali la kumuuliza mtu mmoja mmoja, si swali la kuwauliza watu mkutano mzima wanyooshe mikono, halafu mtu kama Prof. Sachs anaweza kulijibu swali hili bila controversy kwa sababu yeye ni academic, kina Kikwete wao ni representative wa nchi kwa hiyo kama wanaulizwa swali hili basi iwe in a one on one session, sasa Tanzania tuna foreign policy moja tu, iweje Waziri wa Fedha na rais watofautiane? Ina maana kuna mmoja hapo hafuati foreign policy.Hili ni swali na kuuliza mtu mmoja mmoja likafuatiwa na maelezo, si swali la kuuliza ukumbi mzima na kuwafanya watu kama watoto wa darasa la kwanza. Ki itifaki huyu dada alichemka kuuliza swali sensitive la foreign policy, ambalo lilihitaji jibu refu sio tu la whether Washington still leads, but why and how the answer is what it is.

Kiranga mimi siyo mtaalam wa itifaki kwa hiyo siwezi kukupinga sana. Lakini kama mtaalam wa mijadala niliangalia kiupande wa mjadala zaidi siyo kiitifaki. Na ndiyo maana nasema yule dada alitupa lile swali kuchokoza ukumbi katika majadiliano. Sasa kama lile swali lilikuwa liendane na sera za nje hilo nadhani si sahihi. Kwa sababu Prof. Sachs alikuwa ametoa maada ambayo ilionyesha utawala wa Marekani umeishiwa nguvu ya kuongoza dunia. Sasa yule dada alikuwa anataka watu waongee kuanzia hapo na nadhani aliona hiyo ingesaidia kuchokonoa mawazo mbalimbali. Angeweza kuuliza swali lolote lile kwa mfano wangapi wanaamini kuwa Afrika ni Maskini?. Kuhusu itifaki sidhani pale ilikuwa itifaki ya kwamba wale ni wakubwa wasiulizwe maswali, mbona waliulizwa na wengine wakawasema wenzao.
 
Tatizo yule dada anauliza maswali kama Larry King, anautoa mpira huku anaupeleka huku, which is fine.Lakini kuna maswali mengine yanahitaji mtu ayajibu one on one na kuyatolea maelezo.

Sasa kama sisi tungekuwa na serious press basi hiki kikao kilikuwa na headlines kibao.

"Kikwete hafanyi chochote tofauti dhidi ya janga la uchumi"

"Mkullo na Kikwete watofautiana kuhusu Washington"

Not exactly the picture of governmental unity and collective responsibility.
 
Wakati sisi tunatolea mate "stimulus plan" kutoka nje, wengine wanasema "trade, not aid"

6. Africa, Business Destination - 10 Ideas Changing the World Right Now - TIME

Togo is like much of West Africa — small, poor and an occasional producer of sensational soccer players—but for the bank. Lomé, Togo's capital, is home to Ecobank, a 21-year-old pan-African retail and corporate bank that, according to CEO Arnold Ekpe, employs 11,000 people in 620 branches in 26 countries, with a balance sheet of $8 billion.

Unlike a lot of other banks, Ecobank is expanding. It has opened 200 branches since 2006 and aims to set up in three more countries by June. What's more, it actually makes money: annual profits were up 47%, to $191 million, in 2007 and up 32%, to $104 million, for the third quarter of 2008 alone, the latest period for which figures are available. Even more extraordinary, it is managing to raise money in the "crunched" capital markets — $700 million since August. Granted, the world's banks are in a historic crisis. That does not make any less arresting the thought that some of the best-performing bankers on the planet right now come from a place called Togo. "Warren Buffett is based in Nebraska," says Ekpe. "It's not where you are. It's what you do."

Up to a point. In Africa's case, the perception has long been that where you are renders all but irrelevant what you do. Africa is hopeless, a place of war and famine seemingly populated almost entirely by tyrants and children with flies in their eyes. According to this view, if Africa generates any kind of growth, it is in suffering—and in the overseas aid sent to address that, now a $40-billion-a-year industry. Naturally, with a new appeal every year and a new disaster every other, some people have begun to wonder if all that money is doing any good. They argue that aid creates dependence, fuels corruption, undermines democracy and stifles development. They have written books with titles like The Trouble with Africa: Why Foreign Aid Isn't Working (by an ex-spokesman for the World Bank in Africa) and Dead Aid (by a Zambia-born former Goldman Sachs investment banker).

And that debate is important, no doubt. But it is drowning out a more significant development. Ecobank's success is not an isolated blip, and aid is no longer Africa's main source of foreign income. Africa is becoming a business destination.

In 2006, according to the Organization for Economic Cooperation and Development, foreign investment in Africa reached $48 billion, overtaking foreign aid for the first time. That gap has only widened, reflecting a quadrupling of foreign investment since 2000. As the senior adviser in Africa for the International Monetary Fund (IMF), David Nellor, noted in a report last September, sub-Saharan Africa today resembles Asia in the 1980s. "The private sector is the key driver," wrote Nellor, "and financial markets are opening up." War is down. Democracy is up. Inflation and interest rates are in single digits. Terms of trade have improved. Crucially, said Nellor, "growth is taking off." The IMF puts Africa's average annual growth for 2004 to '08 at more than 6% — better than any developed economy — and predicts the continent will buck the global recessionary trend to grow nearly 3.3% this year.

Yes, Africa is still a continent of commodities — with its forests, oil fields and mines — and demand for commodities has plummeted. Yes, Africa still has its Darfurs, Somalias, Congos and Zimbabwes. But commodity prices are higher than they were in the 1990s. Most Africans are not middle class, but most also no longer live in extreme poverty. The World Bank says the percentage of Africans living on $1.25 a day or less dropped from 59% to 51% from 1996 to 2005 and has decreased further since.

In an article for the online journal allAfrica in February, Oxford University economist Paul Collier and Witney Schneidman, who advised President Obama on Africa during his campaign, noted that Africa now offers the world's highest rate of return on investment. "Africa, usually the poorest performing region in the world economy, is now likely to be among the best-performing," they wrote. "Moreover, the region has been largely immune from the current banking crisis...The continent's financial institutions did not venture into derivatives or sub-prime mortgages." Shanta Devarajan, the World Bank's chief economist for Africa, says the current downturn might be unfair to the continent, since it is "not remotely Africa's fault," but it should not alter the underlying trend: "There has definitely been a transition in the last few years. The continent now has huge potential." Or as Stephen Hayes, president and CEO of the Corporate Council on Africa, puts it, "Africa offers more opportunity than any place in the world."

Perhaps the most compelling evidence that Africa is now a business destination is China's new love for it. While the old superpowers still agonize over Africa's poverty, the new one is captivated by its riches. Trade between Africa and China has grown an average of 30% in the past decade, topping $106 billion last year. Chinese engineers are at work across the continent, mining copper in Zambia and cobalt in the Democratic Republic of Congo and tapping oil in Angola. Nor is this merely exploitative. China bought its access by agreeing to create a new infrastructure for Africa, building roads, railways, hospitals and schools across the continent. The current crisis is not expected to affect China's march in Africa: on the contrary, with the West's plans in Africa on hold at best, Beijing views it as an opportunity to extend China's lead. "We will continue to have a vigorous aid program here, and Chinese companies will continue to invest as much as possible," Chinese Foreign Minister Yang Jiechi said in South Africa in January. "It is a win-win solution." Dambisa Moyo, who wrote Dead Aid, says those who need convincing about Africa should ask themselves if they are convinced about China, "because if you back China, you're backing Africa." Ecobank CEO Ekpe says part of the explanation for China's zeal for Africa is a new way of looking at Africans. "[The Chinese] are not setting out to do good," he says. "They are setting out to do business. It's actually much less demeaning."

And that gets to what, for Africans, is the emotional heart of the matter — and why joining the business world means so much. Though it rarely occurs to Westerners who've been instructed that Africa needs their help, charity is humiliating. Not emergency charity, of course: when disaster strikes, emergency aid is always welcome, whether in New Orleans or Papua New Guinea. But long-term charity, living life as a beggar, is degrading. Andrew Rugasira, 40, runs Good African Coffee, a Ugandan company he set up in 2004 to supply British supermarkets under the motto "Trade, not aid." He is emblematic of a new generation of African antiaid, antistate entrepreneurs. For Rugasira, aid not only "undermines the creativity to lift yourself out of poverty" but also "undermines the integrity and dignity of the people. It says, These are people who cannot figure out how to develop." Aid even manages to silence those it is meant to help. "African governments become accountable to Western donors," says Rugasira, "and Africa finds itself represented not by Africans but by Bono and Bob Geldof. I mean, how would America react if Amy Winehouse dropped in to advise them on the credit crisis?"

And if that's a striking inversion, consider another one. Look back at the African growth figures once more. Compare them with this year's forecasts for the developed world. Who's the basket case now?
 
Tatizo yule dada anauliza maswali kama Larry King, anautoa mpira huku anaupeleka huku, which is fine.Lakini kuna maswali mengine yanahitaji mtu ayajibu one on one na kuyatolea maelezo.

Sasa kama sisi tungekuwa na serious press basi hiki kikao kilikuwa na headlines kibao.

"Kikwete hafanyi chochote tofauti dhidi ya janga la uchumi"

"Mkullo na Kikwete watofautiana kuhusu Washington"

Not exactly the picture of governmental unity and collective responsibility.

Hapo tuko wote mkuu. Lakini media yetu si unaijua ya washabiki. Na usisahau ni media ambayo ilitumika kumpamba Kikwete kwa miaka 10 yote. Na nadhani akina Salva na Ulimwengu wanastahili kubeba lawama kubwa kwa nchi hii kupata kiongozi embarrasing kama JK. Maana ukipitia Rai za miaka ya nyuma, zilikuwa ziko makini kuichambua serikali lakini wakimfagilia Kikwete. Wengi hatukujua kumbe jamaa wako tayari mifukoni. Leo tumeona Salva akibebwa na mzee. Kwa hiyo hakuna mhariri au mmiliki (hata Mengi ambaye siku zote hujifanya anapamba na ufisadi huku akimsifia Kikwete aliyeingia ikulu kwa pesa za ufisadi) ambaye angetoa hivyo vichwa vya habari
 
Kilandu,
the quetion did not require a genious to answer it. It was so simple what would the country do differently in its investment strategies in the wake of this financial crisis. Seriously I can think of a quick answer, Tourism, low the fees to attract more people to our wildlife attraction sites. Create more friendlier investment policy, since the current ones are not so attractive. Look at those policy that are not so attractive.
With due respect, I will rephraise the question... Mr. Kikwete, what is your Country doing differently in the wake of financial crisis!

Sasa mkuu hapa jibu lako liko nje kabisa ya swali na ndicho alichojaribu Kikwete kujibu kwa mapana zaidi lakini Bi. Aisha akamkata kauli..
Mkuu tunazungumzia Tanzania IMEFANYA NINI tofauti na policies zilizopo ili kukabiriana na hali mbaya ya Uchumi Duniani.. We have done nothing and to be truthfuly we can do nothing kwa sababu Tanzania na nchi zote maskini ni mabehewa yanayovutwa na kichwa -Nchi tajiri..
Sasa ukitazama Torisim, kupunguza taxes ni ujinga kabisa unless hufahamu nini kinachotokea - Dunia ipo in recession mkuu wangu, watu wanapoteza kazi, mahotel hata huiku nje yanapunguza wafanyakazi mengine yanafungwa...hakuna watalii kwa sababu ni wakati mgumu sana watu hawatumii fedha zao, na hasa wanaogopa matumizi yasiyokuwa ya lazima - Utalii ni mojawapo ya matumizi yasiyokuwa ya lazima!..

Hata hivyo binafsi nachofahamu mimi, Kikwete angeweza kabisa kutumia vita ya Ufisadi kuwa moja ya maangalizi ya hali hii mbaya ya kiuchumi kulingana na mazingira yetu..Lakini ukweli ni kwamba vita ya wahujumu Uchumi imeanza KABLA ya crisis hii na ukweli uatabakia kwamba hakuna kitu nchi maskini zinachoweza kufanya!..Pili hatuwezi kuingilia mashirika ya nje ktk utendaji kazi wake kwani mali hizo hazitengenezwi nchini, ajira yetu ni ktk services ya vitu kama simu, matangazo na kuuza bidhaa toka nje!..Tatu migodi yetu inamilikiwa na mashirika ya nje wenye mkataba hivyo ni wao wanao control kila kitu...Hivyo basi serikali yetu inategemea wageni na jibu litatokana na hali toka nje...Tanzania ni sokoni kwenye wanunuzi wanakokuja wageni kuuza au kuchuma mali..

Nitarudia kusema hivi.. Kikwete ALICHEMSHA na kujiuma uma kwa sababu hakuwa na jibu pia inajulikana muungwana ni domo zito, nimeona mahojiano yake mengi tu kuwa sii mzuri ktk kujieleza kama kina Mkapa...Na imemchukua hadi swali hilo liliporudiwa dakika ya 39 ndipo alipojieleza vizuri kuwa all we can do is to talk about it!..ndicho anachokifanya kila mwezi...to be aware of what is happening around us...
Kifupi ni kwamba sikuona hata mtu mmoja aliyejibu swali hilo zaidi ya kuongelea watakachoweza kufanya sio walichokifanya na kibaya zaidi ni kwamba hakuna nchi hata moja yenye mkakati mezani acha mbali wamefanya nini!..
 
Nitarudia kusema hivi.. Kikwete ALICHEMSHA na kujiuma uma kwa sababu hakuwa na jibu pia inajulikana muungwana ni domo zito, nimeona mahojiano yake mengi tu kuwa sii mzuri ktk kujieleza kama kina Mkapa...Na imemchukua hadi swali hilo liliporudiwa dakika ya 39 ndipo alipojieleza vizuri kuwa all we can do is to talk about it!.. be aware of what is happening around us...
Kifupi ni kwamba sikuona hata mtu mmoja aliyejibu swali hilo zaidi ya kuongelea watakachoweza kufanya sio walichokifanya na kibaya zaidi ni kwamba hakuna nchi hata moja yenye mkakati mezani acha mbali wamefanya nini!..

Mkandara,

Sawa kabisa, na aliweza kusema hivyo baada ya kuwasikiliza wenzake waliomfuatia walivyojibu, especially yule waziri wa South Africa.
 

...na ndicho alichojaribu Kikwete kujibu kwa mapana zaidi lakini Bi. Aisha akamkata kauli..

Pamoja na mengi mengine yalosemwa na kina Kiranga, hilo na kumkata kata kauli Rais mwenyeji wa mkutano mimi sikulipenda hata kidogo.

Nimemuandikia barua dada Isha kupitia CNN Africa kumwambia hilo, pamoja na swala la kuchukua zaidi ya saa nzima ya Rais. Nimemweleza pia swala la kushindwa kufuata itifaki wakati anafunga mkutano.

Mwisho nimemkumbusha kwamba alitakiwa ajaribu kulinda heshima ya Rais aliyefanya hisani ya kukubali kuja kwenye majadiliano ya wazi na viongozi walio chini yake, mawaziri wastaafu, watu wa NGOs ambao hawaongelei serikali yeyote, wote wako pale wanaulizwa swali lile lile. Kusipokuwa na moderation makini ya maswali gani yanaulizwa matokeo yake ndio waziri na Rais wanatofautiana au waziri wa Africa Kusini anaejua kupinda pinda lugha anafanya Rais wa nchi aonekane hajiwezi.

Nilisahau tu kumwambia kuhusu kile kinguo alicho underdress pale mbele ya forum ya wakuu wa nchi na mawaziri. Sijui nimwandikie tena? Kama siku hizi hakuna kina Nyerere wa kukataa kupelekeshwa pelekeshwa na Wamagharibi basi wananchi tutasema, tumeshaamka. Yani binti alitudharau dharau tu pale!
 

Attachments

Nilisahau tu kumwambia kuhusu kile kinguo alicho underdress pale mbele ya forum ya wakuu wa nchi na mawaziri. Sijui nimwandike tena? Kama siku hizi hakuna kina Nyerere wa kukataa kupelekeshwa pelekeshwa na Wamagharibi basi wananchi tutasema, tumeshaamka. Yani binti alitudharau dharau tu pale!


Kuhani
On right touch mkuu una nini na huyu mrembo aha ahha ahahha ha
 
[I said:
Nilisahau tu kumwambia kuhusu kile kinguo alicho underdress pale mbele ya forum ya wakuu wa nchi na mawaziri. Sijui nimwandike tena? Kama siku hizi hakuna kina Nyerere wa kukataa kupelekeshwa pelekeshwa na Wamagharibi basi wananchi tutasema, tumeshaamka. Yani binti alitudharau dharau tu pale!
[/I]

Kwi kwi kwi kwii kwii wenzio kile kivazi ndiyo kilifanya tuangalie ule mdahalo kwa muda wote (on right touch, no offense intended)
 
[/COLOR][/I]

Kwi kwi kwi kwii kwii wenzio kile kivazi ndiyo kilifanya tuangalie ule mdahalo kwa muda wote (on right touch, no offense intended)


sema pia kilichangia kwa namna moja kuhongwa mawe yetu ya thamani.....alitega watu pale!
 
Back
Top Bottom