Is President Kagame behind General Imran Kombe's assasination?

Is President Kagame behind General Imran Kombe's assasination?

Kagame ali operate na ku accomplish hiyo mission bila serikali ya Tanzania kujua?

Inawezekana kabisa Tanzania hawakuwa na picha nzima. Sidhani gani Serkali ya Tanzania ingekuwa sehemu ya mauaji wa marais wawili tena wakitokea Tanzania!
 
mambo ya kusikitisha haya!

Kagame je kwa nini wewe usingiziwe mabo yote wewe??

Kuna ukweli!
 
Kagame huyuhuyu anahusishwa na Kifo cha Judge Prof Mwaikusa , RIP.
 
Tatizo letu tunajua sana kuongea,utekelezaji ni sifuri.Hainiingii akilini kuwa Kagame alihusika na mauaji ya Kombe hata kama habari hiyo itakuwa imetoka CIA.Iliwezekana vipi kwa yeye kupenyeza majasusi wake mpaka wakapanga njama na kutekeleza mauaji hayo bila ya sisi wenyewe kugundua njama hizo.Na kama aliweza kutekeleza yote hayo bila ya watu wetu wa usalama kugundua basi kuna haja tena ya haraka kuunda upya mfumo wetu wa usalama wa Taifa ili tuepukane na mabaya yanayoweza kuja kujitokeza nchini mwetu zaidi ya suala la kifo cha Imran.Kwa mtazamo wangu ninaona kuwa haya yote yanatokana na maadui wa Kagame ambao bado wako katika zama zao za uhutu na utusi na wameshindwa kumkabili huyu jamaa na hivyo kutafuta njia mbadala ya kumchonganisha na jirani zake ili wasaidiwe katika kumkabili na hivyo kumuondoa madarakani ili kuendeleza sera zao za kibaguzi.Ni nani ambaye hajui na haoni kasi ya maendeleo iliyopo nchini Rwanda kwa sasa hivi?Mwacheni ajenge nchi yake sababu kwa hali ilipokuwa imefikia nchini Rwanda kama si kwa yeye kujitokeza ninaamini kabisa hali ingekuwa mbaya zaidi ya yale tuliyoshuhudia.Na kila siku iendayo kwa Mungu huwa ninaomba atujaalie Makagame japo wawili tu,mmoja aende Somalia na wa pili aje Tanzania ili kumaliza porojo za mitaani na kurudisha watu katika utekelezaji wa majukumu ya ujenzi wa nchi na kuondoa uzembe usio na maana unaorudisha nyuma maendeleo kwa kisingizio cha demokrasia(Tanzania) na huyu sio wa ukoo wangu(Somalia)Mchawi wetu tunaye wenyewe,tusijaribu kufuata mambo ya nchi jirani kuficha matatizo yetu.I stand to be challenged.

katika watu useless ni wewe. unatumia akili zako ku decipher what you think its right. huna evidence unabwabwaja tu mdomo sio lazima uandike hapa kama hujui nini unaongea. mimi ni mtanznaia ila i hate watznania sijui elimu yenu inawasaidia nini wajinga sana nyinyi
 
wapo wanao sema majambazi ndio chanzo cha kifo cha huyu former TISS,wngine nanadai ni kutokana na mambo nyeti ya kiusalama wa nchi yetu mara wengine kagame anahusika¿

nini hasa kili muua Imrani kombe?
 
katika watu useless ni wewe. unatumia akili zako ku decipher what you think its right. huna evidence unabwabwaja tu mdomo sio lazima uandike hapa kama hujui nini unaongea. mimi ni mtanznaia ila i hate watznania sijui elimu yenu inawasaidia nini wajinga sana nyinyi

ooopsss hiyo kwere.
 
Mungu na waliohusika kumuua ndio wanajua. Pengine Apson Mwang'onda anaweza kuja na maelezo zaidi kuhusiana na tukio hilo
 
Walioua ni Askari wa Tz..Tena kwa risasi nyingi..Kagame hapo ahusiki..

Kwa ufupi aliuawa kinyama na Serikali ndiyo inayojua sababu..
 
Mrema wa TLP wakati huo nccr anajua hiyo siri alimkaanga mazima mchaga mwenziwe hizo ndizo tetesi za mjini.Mrema anavaa ngozi ya kondoo lkn ni mubaya!!
 
wapo wanao sema majambazi ndio chanzo cha kifo cha huyu former TISS,wngine nanadai ni kutokana na mambo nyeti ya kiusalama wa nchi yetu mara wengine kagame anahusika¿

nini hasa kili muua Imrani kombe?
Aliuawa na CDM by MCHANGE, NAPE, and Shonza
 
wapo wanao sema majambazi ndio chanzo cha kifo cha huyu former TISS,wngine nanadai ni kutokana na mambo nyeti ya kiusalama wa nchi yetu mara wengine kagame anahusika¿

nini hasa kili muua Imrani kombe?
Mbona serikali walishakiri na kushindwa mahakamani hadi kummegea mjane mamillioni?
 
wapo wanao sema majambazi ndio chanzo cha kifo cha huyu former TISS,wngine nanadai ni kutokana na mambo nyeti ya kiusalama wa nchi yetu mara wengine kagame anahusika¿

nini hasa kili muua Imrani kombe?

Alikua ansmpa mrema siri,ikabidi wenye system wamwondoe haraka kabla mambo hayaja haribika
 
speaking of devil anaweza akakutokea muda wowote chezea PK wewe


Je TISS Ina utaratibu kuwa na rekodi halisi za Viongozi mbalimbali? Faili la Kagame lina nini uko TISS? Ni muhimu sana kumuangalia mara mbilimbili wakati tunaelekea kwenye hii EAC. Si vizuri kuchukulia kila kitu kirahisirahisi na hasa kwa maslahi ya nchi yetu, na Usalama wetu pia.
Lakini katika nchi za EAC, Nchi yetu iko mashakani sana, kwani huu muangiliano umesababisha sana kuwa na raia wa nchi nyingine katika vyombo vyetu muhimu vya Usalama, Mfano, Wanyarwanda ambao walio wengi hujitambulisha kama raia.
 
katika watu useless ni wewe. unatumia akili zako ku decipher what you think its right. huna evidence unabwabwaja tu mdomo sio lazima uandike hapa kama hujui nini unaongea. mimi ni mtanznaia ila i hate watznania sijui elimu yenu inawasaidia nini wajinga sana nyinyi

Hiyo moral authority ya kutukana watanzania wote umeipatia wapi wewe binti???, Ndo maana JK aliamua kuwarudisha kwenu kwa dharau zenu za kijingajinga kama hizi.Na ningekufahamu wewe ningehakikisha ndani ya masaa 6 uwe umeshaondoka ndani ya mipaka ya TZ.Adahabu yako utaipata kwa Mods wanatakiwa wakutendee haki.
 
Walioua ni Askari wa Tz..Tena kwa risasi nyingi..Kagame hapo ahusiki..

Kwa ufupi aliuawa kinyama na Serikali ndiyo inayojua sababu..
Hapa ukiombwa ushahidi uko tayari mkuu?
 
Back
Top Bottom