Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana washindwe wao tuSahihi kabisa, wapi wengi sana
Ni kweli MkuuHata mimi i still believe kuwa mabint wema na wazur kama walivyokua mama zetu hata sasa bado wapo tena wengi tuu wala sio pesa kipaumbele, maisha simple kabisaa
Amenifata pm anasema pointi yako ameichukua na anaifanyia kazi
Wewe itabidi wazee wa ukoo wakutandike bakora.Tulia tulia mambo yasiwe mengi
Hivi babu sikudai kweli?Amenifata pm anasema pointi yako ameichukua na anaifanyia kazi
Amesema tujiandae kula pilau la harusi Mwezi Ujao tu 😜
Na ww utashuhudia navotandikwa?😁Wewe itabidi wazee wa ukoo wakutandike bakora.
Nafanya taratibu za kuwasiliana na mwanasheria wangu, jiandae tukutane kisutuAmenifata pm anasema pointi yako ameichukua na anaifanyia kazi
Amesema tujiandae kula pilau la harusi Mwezi Ujao tu 😜
Tena nitawaomba waongeze😅Na ww utashuhudia navotandikwa?😁
Zamu yako itafikaTena nitawaomba waongeze😅
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kimekukuta kitu[emoji23]haya ufike haraka
🤣🤣🤣🤣 mie hawawezi.Zamu yako itafika