Mkuu illituchukua muda mrefu kufikia maamuzi ya kuachana na hata kupata replace haikuwa ni swala la siku mojaUkitoa swala la dini; huyu uliye nae sasa na huyo uliyemwacha nani unaona ni zaidi??? Kama ni huyu wa sasa basi utashinda haya majaribu; kama ex bado unakumbuka mambo yake jua wazi hata ukioa utaendelea kukumbushia. Akili kichwani. Mambo ya dini ni weak point ya kuachana kama ulishakubali kuwa na affair na mtu wa dini tofauti. Unless unambie unatumia dini kama sababu ya kum replace huyu binti; deep inside mapenzi yamechuja.
Elia acha ubinafsi, dini tu ndio imekufanya umwache mwanamke unaempenda?pole sana, itakuchukua nusu karne kumpata unayempenda kwa dhati
Ladies, you think it was easy just like that? no no noUkimpenda mtu kwa dhati, unakuwa radhi na mambo mengi, kwani si mngebaki kila mtu na dini yake? kwani binadamu kufall in love si huwa inahappen tu, kwa hiyo ilibidi uende kanisani kwenu ndio utafute partner mwingine huko?
After all mimi ni mfuasi na sio kiongozi wa dini, hivi ww kuchakachua unatafuta dini yako? isitoshe urafiki ndio huzaa ndoa
EMT kwanza sija m-dump, tulikubaliana ku move on with our lives, wewe unajua hakuna dini inayo ruhusu ku do kabla ya ndoa hata dini za kienyeji haziruhusu, lakini watu tuna do. sitaki kuamini kwamba hujawahi kufanya mistake in your life! lakini kuendelea kufanya mistake nikitu ambacho sikitaki, marriage if a life time commitment, ikivunjika wanateseka watoto. can i put you in a group of angels? I dont thik so.
Nimekuelewa kaka, but that is the truth "DINI".. sometimes we do thinks, with HOPE! i thought atakubali kunifuata and she hoped the same to me.. mimba naamini hakuna ya bahati mbaya lazima mmoja wenu akusudie au afanye uzembe, sisi hatukuruhusu hikiSijakataa kawa watu wana do japokuwa dini zao zinakataza. Ninachopinga na wewe pale unaposema kuwa kuachana nae kwa sababu ya dini. Ina maana wakati unaanza uhuasiano nae, dini haukuwa dili kwako? How come now is an issue? Nakubali watu huwa wanafanya mistakes. Hili halina ubishi. Tatizo ni pale unapojaribu kujustify your mistake, tena kwa kutumia dini. That is not acceptable.
Noana sasa unakuja na sababu nyingine kuwa marriage is a life time commitment, ikivunjika wanateseka watoto. Thats is another excuse to justify your wrongdoing. Vipi kama wakati unamchakachua angepata mimba? Si bado mtoto angeteseka? The bottom line ni kuwa usisingizie kuachana nae kwa kigezo cha dini, wakati ulikuwa unamchakachua ukijua wazi kabisa kuwa ana dini tofauti.
Kwani nani kasema wewe ni kiongozi wa dini? Au una maana kuwa wafuasi wa dini kama yako ndio wanaoruhusiwa kuchakachua wanawake wa dini nyingine na viongozi hawarihusiwi? It is irrelevant kama wewe ni mfuasi au kiongozi wa dini. Sidhani kama kuna dini yoyote ambayo inatumia double standards kwa viongozi na wafuasi wake. Usitake ku complicated mambo hapa. Wakati unaanza urafiki na huyo mwanamke ulijua kabisa kuwa ana dini tofauti na yako unelss uniambie kuwa mlikuwa mnaongozana wote kwenda kanisani/msikitini. <br />
<br />
Kweli urafiki huzaa ndoa lakini wakati unaanza urafiki ambao utazaa ndoa, kama dini ni issue kwako then inabidi uliangalie hili mapema. Sio usubiri urafiki umeshakolea ndio uanze kufikiria na kujaribu kumshawishi mwenzako abadilishe dini. Unauliza hivi kuchakachua unatafuta dini yako? If not, kama kweli wewe unaiabudu dini yako, kwa nini tuu inapofika kuoa unaangalia dini yako? Kwa nini usiangalie hili wakati unachakachua? Kwanza dini agani inaruhusu kuchakachua kabla ya kuoa?<br />
<br />
Mkuu your hands are not clean at all. Usitumie kigezo cha dini hapa kujustify maamuzi ya kumwacha huyo mwanamke. To put it simply, you're hypocrite. Stop professing belief and opinion that you do not seem to hold in order to conceal your real motives for dumping the girl.
sijakataa kawa watu wana do japokuwa dini zao zinakataza. Ninachopinga na wewe pale unaposema kuwa kuachana nae kwa sababu ya dini. Ina maana wakati unaanza uhuasiano nae, dini haukuwa dili kwako? How come now is an issue? Nakubali watu huwa wanafanya mistakes. Hili halina ubishi. Tatizo ni pale unapojaribu kujustify your mistake, tena kwa kutumia dini. That is not acceptable. <br />
<br />
noana sasa unakuja na sababu nyingine kuwa marriage is a life time commitment, ikivunjika wanateseka watoto. Thats is another excuse to justify your wrongdoing. Vipi kama wakati unamchakachua angepata mimba? Si bado mtoto angeteseka? The bottom line ni kuwa usisingizie kuachana nae kwa kigezo cha dini, wakati ulikuwa unamchakachua ukijua wazi kabisa kuwa ana dini tofauti.