I don't know about y'all but that Zari chick is a real looker. She is the truth.
wala siumii ila nachekelea domo kutumika. kwa wema hatumtaki. ww ndio wema anakunyima pumzi. me hadi kufanya hivi ni kuwaonesha tu kwamba hata wema ana supporters mlizidi kumuonea hapa nyuma.
soon mtafurahi zaidi wala sisemi sana. mark haya maneno. dina utalala chini ya keyboard ohooooooo hahahaaaaaaa
Mbona BAN tena....... nini kilitokea
Diamond piga Dudu tu hao wote malaya,afu we unakaa nyuma ya keyboard unamponda Diamond wakat hata demu classic huna
Wachape wachape wachapeee,...
Kusema ule ukweli Zari ana figure nzuri.
Huyo mdogo wke zari anachoblame mbn cha kingese kwan kuna ubaya yy kumuita chibu shemeji kisa yupo age sawa na yy!atulize mapepe mondi tayar kashamkwea bidada
hahaha zari mjanjaaaaaaa domo kajipindaaaaa kutambulisha kwa mama yake kumbe amesikia shoo za domo ghali sasa anamnyenga akapige shoo ya bure UG then mchezo kushneyyy . malaya akiamua kumtumia mwanaume utamuweza basi dina
Looks-wise, she is the truth.
And I rarely give such compliments.....just to put it into perspective.....
Iwe itakavokua Ila Zari mzuriii!Afu dai anajua kuwakomeshaaa!!Haa pombe zitamuua binti watu!Huruma sana aisee!Ila Zari kutoa wimbo na domo...Zari once said they were little carried away!!Ha ha ha
Weeee!!Akyananii!!Kujikomba nako kunalipia aiseeAnatamaniiiiii angekuwepo kule south heher sasa hivi misifa yotee ta red carpet kaikosaaaa lazima ulewe hata kama ni memeeeeeee
Weeee!!Akyananii!!Kujikomba nako kunalipia aisee