Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

kiukweli kwa huyo mdada walaaaaaa bora ungeruka na Lulu au Menina ndiyo ningesema Yes , hapo unatumika Kaka ohoooo! haya we :ranger:
binamu LuLu?? si bora aende kwa aunty lulu kuliko lulu andunje aliyeshindikana kwa umalaya mbezi nzima washamchokonoa sana, mtoto anapenda dudu yule God forbid, yani kama dozi kutwa mara Tatu, mi sishaur, ndomo akita mke mwema aende kwa ROSE MUHANDO atamfaa
 
ahahahah wapiii kuwadiii bora wa mwaka asiyekuwa na mpinzani halima kimwana, eeh na yeye alikuwa south kumbe? dah!! kama namuona mama ubaya alivyonuna vile maana walikuwa haziivi, ila ndomo alishamwambia mama ubaya kuwa hawez kuwagombanisha yeye na halima, wametoka mbali, dahhhhh halima umetishaaaaa, KUWADI FIRST CLASS kaenda south, utamuwezea wapi Dinazarde? , tukomeshe halima

yaani kumbe kipindi kile walisema dai kagombana na halima kumbe si kweli daah
lazma aumie mrs BMW mana kaonekana ye embe tunda la msimu
 
Last edited by a moderator:
Mama ubaya kanubaje?? Nyota ya zari kali maana tuzo tatu si mchezo, mama ubaya nyota yake mwisho bamaga kwa shigongo na ndio maana ndomi hakupata tuzo, ila mtoto zari ana nyota mpaka ndomo kapata tuzo tatu, mama ubaya popote ulipo ndimu zinakuhusu, pole sana aiseeh, cha msingi we njoo uku jamii forum tupige umbea tu maana huna jipya

kweli maana ht ile nyimbo ya no one ilitoka yuko na penny hadi kuvuma kote ndo akahamia kwa wema
 
I don't know about y'all but that Zari chick is a real looker. She is the truth.

IMG_4330.JPG

Wantuzu ugonjwa wenu wanawake weupe tunawajua.
 
Mama ubaya kanubaje?? Nyota ya zari kali maana tuzo tatu si mchezo, mama ubaya nyota yake mwisho bamaga kwa shigongo na ndio maana ndomi hakupata tuzo, ila mtoto zari ana nyota mpaka ndomo kapata tuzo tatu, mama ubaya popote ulipo ndimu zinakuhusu, pole sana aiseeh, cha msingi we njoo uku jamii forum tupige umbea tu maana huna jipya

Yaaan rangi zotee kazionaaa heheeeee, ,mama chibu alikua ana hamu na wajukuu kawapata kwa zari sasaa tena watatu yolooo dai piga mimba huyooo azae kanne
 
Nkwingwa, huyo hata angekuwa mweusi bado angekuwa bomba tu.

I mean, nimejaribu kutafuta kasoro lakini wapi!

Halafu hapo unaambiwa tayari ana watoto watatu.

Dogo Diamond atakuwa anafaidi sana.

Oh well, ngoja tuache project iendelee.

Bora yako umesema ukweli wengine humu wanamponda huku moyon wanatamani wao ndio wawe Diamond
 
Bora yako umesema ukweli wengine humu wanamponda huku moyon wanatamani wao ndio wawe Diamond

Zari mzuri bana.

Na kusema ukweli kamuacha Wema kwa maili nyingi tu.

Huyo Wema sidhani hata 30 kafikisha lakini mwili wake umekongoroka utadhani bi kizee anayetegemea plastic surgery.

Kwenye looks department Zari ni moto chini.

Chibu atakuwa anafaidi sana (hata kama ni kwa muda mfupi tu).
 
Zari mzuri bana.

Na kusema ukweli kamuacha Wema kwa maili nyingi tu.

Huyo Wema sidhani hata 30 kafikisha lakini mwili wake umekongoroka utadhani bi kizee anayetegemea plastic surgery.

Kwenye looks department Zari ni moto chini.

Chibu atakuwa anafaidi sana (hata kama ni kwa muda mfupi tu).

Yaaan ni mzuri, hebu patia picha bado hajazaa alikuwajeee nahisi alikua ni motoo yaan hapo team.wema walie tu, daimond anafaidiiii kapata demu na watoto juu watatu kwa mkupuo hehee ngoja niandae ndimu niwasaidie wenye vichefuchefu
Wema ashachoka
 
Mama ubaya kanubaje?? Nyota ya zari kali maana tuzo tatu si mchezo, mama ubaya nyota yake mwisho bamaga kwa shigongo na ndio maana ndomi hakupata tuzo, ila mtoto zari ana nyota mpaka ndomo kapata tuzo tatu, mama ubaya popote ulipo ndimu zinakuhusu, pole sana aiseeh, cha msingi we njoo uku jamii forum tupige umbea tu maana huna jipya

warumi una maneno wewe loooh
 
Last edited by a moderator:
Huyu Dada zari the ladyboss anapenda sana show off kila star yuko nae unaweza kukuta hats kwa ndugu yetu anaona nyota INA ng'aa so analeta ukaribu....so mchz wetu take care sana
 
Back
Top Bottom