mke wa mkuu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 634
- 277
Nimekuta amesha futa! Lakini nimeliona hilo tamko lake sehemu! anasema amefanya uchunguzi wake na amegundua zilivujishwa na × wake anaitwa farouk ninacho jiuliza alimrecord bila kujijua? maana anaonekana ana jichua!
Kiblog chake ukifunguwa kinaonesha leo ni mwaka 2015 January yani nimechoka.
Hahah nimefanikiwa kuona alichokiandika hukoooooo
Ila i reserve my comments loh
si umesema hujaniquote mi nmeanza kukuquote,nmeeka ushahidi unauliza tena aaah usinkagie waya mie...Sasa ndio Uoneshe tatizo kwenye iyo quote, kipi ulichotajwa ama hata kuelekezwa kwako. I gues ulidhani unaambiwa wewe so ukatoa tu maneno kuja kwangu.
si umesema hujaniquote mi nmeanza kukuquote,nmeeka ushahidi unauliza tena aaah usinkagie waya mie...
kauli yako ina povu ndio " baadhi ya mabinti MNAendekeza njaa na umalaya" " nyuchi zenu"
kwann haijawa WANAendekeza njaa" "nyuchi zao" hapo ndo shida ilipo
Tatizo rutta hataki kuamini
Heheheh anaji-laveda
Hahahah
Itabidi nifungue account ya huko maana naona ubuyu wote wa mjini uko huko.Kama hii ningejionea mtu anavyojilaveda ila ndio siwezi.Thanks binti kiziwi kwa update
Nenda Raha tupu utaikuta!
mke wa mkuuJamani hapa mnamuone wema hizi video kazivujisha farooq ex wake zari wenyewe wana mabifu yao hata zari kakiri ni za kwake na lemutuz kathibitisha sasa edit iko wapi
bonyeza pakuendelea! itafunguka
Tumia browser nyingine kama unayo!
nenda kwa mtu anaye jiita kakayematikibokoyao!